Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
- Thread starter
- #21
Hapo ndo tnakamatika, binafsi siwezi kaa bila bandoAsubuuutuu...we unaweza kukaa bila bando? Kufilisika tutafilisika sisi... tungeweza kwa kweli tungegoma kutumia bando japo siku 2 tu ndo wangeelewa umuhimy wetu. Mxiuuuu