Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,649
- 102,682
Natoa rai kwa wana CCM wote tuisusie Sahara media ya Antony Dialo kwa sababu ya uasi wake.
Fisadi Dialo hapaswi kuchekewa na yeyote mpenda haki na asiye mnufaika wa magenge ya kihuni ndani ya CCM.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Wanaccm wengi ni wazee, au vijana maslahi, hivyo hamna impact yoyote kwenye nchi hii.