Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Rejea za Mwandishi kuhusu media za Mabeberu.






Mimi binafsi sioni tatizo CNN kuripoti kushikiliwa kwa Freeman Mbowe ni kwa amri ya Rais huo ndio ukweli usiopingika. Polis hawawezi mshikilia mtu kwanza halafu ndio watafute ashahidi wa kumtuhumu. Any action like that must be communicated to the President before taking such action to arrest the Chairman of the main opposition party. Kwa nchi zenye siasa uchwara tu ndio wanaoweza kuja na hoja mfu kiasi hiki.
 
Mimi binafsi sioni tatizo CNN kuripoti kushikiliwa kwa Freeman Mbowe ni kwa amri ya Rais huo ndio ukweli usiopingika. Polis hawawezi mshikilia mtu kwanza halafu ndio watafute ashahidi wa kumtuhumu. Any action like that must be communicated to the President before taking such action to arrest the Chairman of the main opposition party. Kwa nchi zenye siasa uchwara tu ndio wanaoweza kuja na hoja mfu kiasi hiki.
Kwenye issue kama hizi anaetazamwa ni Rais sio mtu mwingine, Unaona Ubalozi wa marekani, Bunge la Marekani hawawezi kuwalaumu Police rather the head of state. Anaeshikilia mahusiana ya kimataifa ni Rais mwenyewe sio mtu mwingine.
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Rejea za Mwandishi kuhusu media za Mabeberu.






Umeanza kupoteza credibility , nazani hii account is hacked
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskalittt
Rejea za Mwandishi kuhusu media za Mabeberu.






Mkuu kuhusu uzalendo usiwe na shaka hakuna watu wazalendo kama wapizani kwenye nchi hii ila polisi na usalama wenu wa ccm taifa ndiyo mnao haribu hili Taifa kwa kutengeneza mambo ya hovyo kabisa , halafu yanafumbiwa macho kwa kigezo cha uzalendo, uzalendo gani wa kutengeneza kesi za kubumba bumba kama Taifa hili halina misingi ya kiinteligensia?
Hata ukijaribu kuwatuhumu CNN jaribu kujiuliza GAIDI Mbowe ameanza kuwa GAIDI juzi baada ya kuwa mstari wa mbele kwenye chokochoko anazo dai mama kudai Katiba Mpya ni Chokochoko?
Hakuna jambo linalo udhi sana kwa wananchi wazalendo kama kubambikiana kesi za kukomoana , kwa nyie wanaccm jambo hilo KWENU ni furaha kwa vile hamjawahi kufeel maumivu ya wengine.
 
Pascle unatafuta uteuzi na hautaupata! WEW NI FUNGU LA KUKOSA. Warioba alikuita TBC utetee huo ujinga wako. Hatushangai kusikia ulitetea maana uliitwa na chombo cha umma utetee serikali, tena kwa kulipwa posho kwa mda wako.
Matter of fact; mbowe alikamatwa kwa maelekezo. TANGU LINI KUDAI KATIBA LIKAWA JAMBO LA UGAIDI. Alafu unatetea upumbavu mtu. Mayala kama jina lako njaa unaivalia kibwalya. Umri umekwenda sas hauna means za kupata mkate ukaona uwalambelambe uliokuwa unawakosoa ili upate posho ya kutukana CNN. Watakuwekea BAN ukose makongomano ya nje ndo akili itakukaa saw
 
Mleta mada ni wale wale wachumia tumbo!! Lini mtakuwa na values za ukweli??? Yaani msikilize dhamira zenu zinasema nini??

Wewe unadhani ni nani Tanzania anaweza kuruhusu ubambikizaji wa makosa makubwa kama ya ugaidi???? Be true to yourself!!
Uwaziri nafasi zimejaa. Ubunge zimejaa. Ukuu wa mkoa na wilaya zimejaa. Labda utapata ukurugenzi!!!
 
Paschal unashindwa kuelewa kuwa Rais wetu ni Mkuu wa nchi, Ni Amiri jeshi Mkuu, na kubwa zaidi Ni Mwenyekiti wa CCM taifa??? Na kubwa kuliko yote ni kuwa Rais wetu hashitakiwi na wala halazimishwi kufuata ushauri wa mtu yeyote wakati akitekeleza majukumu yake???

Kutokana na sifa hizo alizonazo, hawez kuepuka chochote kinachofanywa na vyombo vyake vya ulinzi na usalama. kwa vyovyote vile matukio yote yanayotokea katika nchi ni lazima yawe na baraka zake.
Kwa hiyo, hili la mbowe ana mkono wake na hawez kukwepa lawama.
 
Wanabodi,
Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.
Paskali

Kitendo cha kubambikia watu mashitaka hakijapokelewa vyema na watanzania. Tutende HAKI siku zote. Kuwaonea watu na kuwaweka watu magerezani huku wewe ukila na kushiba ni kumkosea Muumba mbingu na Dunia.
Mkuu Akasankara , kwani ni yeye?, yaani wewe unakuwa kama hawa mabeberu?, maadam kesi inasikilizwa, nashauri tusiingilie uhuru wa mahakama, nadhani hata Mama hapendi hizo mambo.
Wewe usiwe kama wale mabeberu kudhania hiyo kesi ni mpango wa Mama.
Mimi kwa maoni yangu, hii wiki inayoanza kesho haiishi kabla DPP hajapeleka Nolle!.
P
 
Mkuu Akasankara , kwani ni yeye?, yaani wewe unakuwa kama hawa mabeberu?, maadam kesi inasikilizwa, nashauri tusiingilie uhuru wa mahakama, nadhani hata Mama hapendi hizo mambo.
Wewe usiwe kama wale mabeberu kudhania hiyo kesi ni mpango wa Mama.
Mimi kwa maoni yangu, hii wiki inayoanza kesho haiishi kabla DPP hajapeleka Nolle!.
P
Hiyo mahakama inayoambiwa isiingiliwe uhuru wake, Je iko huru?
 
umeanza kum
Mkuu Akasankara , kwani ni yeye?, yaani wewe unakuwa kama hawa mabeberu?, maadam kesi inasikilizwa, nashauri tusiingilie uhuru wa mahakama, nadhani hata Mama hapendi hizo mambo.
Wewe usiwe kama wale mabeberu kudhania hiyo kesi ni mpango wa Mama.
Mimi kwa maoni yangu, hii wiki inayoanza kesho haiishi kabla DPP hajapeleka Nolle!.
P
umeanza kumega kwa upendeleo sasa! huyo ni mama tu siyo ndo mnene wa nchi bana!
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom