Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

Paschal Mayalla;

Hoja yako iko ktk sentensi hizi mbili;

1. CNN hawakutafuta taarifa sahihi toka "authoritative sources" juu ya sababu za kukamatwa kwa M/kiti wa CHADEMA Mh. Freeman A. Mbowe na polisi

2. CNN hawakupata taarifa sahihi kuhusu kukamatwa kwa Freeman Mbowe kutoka kile ambacho umekiita tena kama "reliable sources"

MASWALI KWAKO:

å Kwanza hebu tupe tofauti ya "authoritative sources" na "reliable sources"

å Pili, una habari kuwa kabla ya CNN na ALJAZEERA kutangaza kimataifa taarifa za kukamatwa kwa Mbowe, Tanpol kupitia msemaji wake Msiime walitoa official press release kueleza sababu ya kumakamata Mbowe kuwa ana tuhuma za ugaidi wa kuua viongozi wa serikali..?

å Tatu, ina maana wewe Paschal Mayalla huna taarifa kabisa kuwa M/,kiti CHADEMA taifa ndugu Freeman Mbowe alikamatwa usiku wa saa 8 hotelini akiwa amelala akiwa tayari kuhudhuria kikao halali cha ndani cha chama chake ili kujadili umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya wananchi kuanzia sasa?

å Hivi, Paschal Mayalla kwa akili ya kawaida tu isiyohitaji usomi wako huwezi kuelewa kabisa kuwa sababu ya kumkamata saa 8 za usiku ilikuwa ni "amri toka juu kwa RPC Mwanza" na ilikuwa ili kuzuia na kuhakikisha CHADEMA wasikutane kujadili mambo ya katiba?

å Hivi Mr Paschal Mayalla kwa akili ya kawaida tu, ni mtu gani mwenye akili timamu atashindwa kutambua kuwa huu ni mpango mahususi wa watawala?

å Na hivi Paschal Mayalla huoni kabisa kuwa hawa watawala ni wajinga na wapumbavu?

å Kwa sababu kama kweli Freeman Mbowe ni gaidi na wanajua hili muda mrefu kama walivyosema wenyewe, hebu jiulize ni kwanini sasa wakakosa akili na busara ya namna ya kumkamata ili kuzuia maswali kama haya kiasi cha kumkamata ktk mazingira yale...?

å Hivi Bwana Mayalla, Don't you really see that, all who planned that are desparate for something, stupid and ignorant...???

Sasa kwa taarifa hawa waliofanya hivi kwa kutumia akili hizo mbovu kabisa ndiyo viongozi wanaoongoza Tanzania hii na ndiyo hao wakabuni tozo za miamala ya simu, umeme na mafuta maana nchi yetu siyo tajiri tena...!!

å Changamoto kwako ni hii, kuwa, Kama Press Release ya polisi siyo Authoritative wala reliable sources toka serikalini, basi unaonaje sasa wewe utueleze mamlaka halali ambazo zingeweza kutupatia taarifa rasmi ni zipi iwapo polisi ambao ndiyo waliokamata siyo reliable wala authoritative sources...?

MWISHO:

##Wakati mwingine ndugu Paschal Mayalla, kama huna cha kuandika ktk jukwaa hili, basi ni vyema sana kuacha kuandika chochote cha kijinga na badala yake soma tu maandiko ya wengine wanayoandika...

## I know una haki ya kusema na kuandika lolote ukiitumia haki yako ya kikatiba ya kutoa maoni yako...

Lakini usisahau kuwa wewe ni verified member hapa na ni mwandishi wa habari unayejulikana na kila mtu. Kujaribu kuleta mambo yanayo lack authenticity hapa, ni kushusha reputation yako kwa viwango vya chini sana...

##Mathalani kwenye ishu ya kukamatwa Freeman Mbowe na polisi na sababu walizozitoa, hivi ni mtu gani mwenye akili timamu, mwerevu na anayefikiri vizuri anaweza kuamini maelezo ya polisi...?

##kwa ushahidi wa kimazingira, ni wazi kuwa the whole police arrest incident of Mr Freeman Mbowe is completely a framework from the government authorities kwa sababu wanazozijua wao...!!

## Tatizo lenu nyie wengi wa waandishi wa habari wa Tanzania ni upumbavu na ujinga mliobeba ktk bongo zenu ambazo huwasukuma kufanya shughuli zenu za uandishi wa habari kwa misukumo ya kisiasa na wanasiasa...

##Kwani nani asiyejua kuwa, wakati mwingine huwa mnaandaliwa habari na wanasiasa wenye nguvu na wanaopenda kusifiwa na kutukuzwa kisha wanawapa fedha kidogo na kuwamuuru mkarushe kwenye TV zenu au mkaandike kwenye magazeti yenu vivyo hivyo kama zilivyo na nyie foolishly na kwa kuuza utu wenu mnafanya vile...?

Nyie waandishi wa habari wa aina yako au Musiba, hamwezi kuelewa na lazima mshangae tu aina ya utoaji wa habari kwa waandishi na vyombo vya habari huru na makini kama CNN, Aljazeera, SkyNews, BBC, DW nk nk

##Serikali ya Tanzania chini ya CCM ya Samia Suluhu Hasssan inajibagaza na kujidhalilisha yenyewe kwa matendo yake maovu toka kwa watendaji wake wajinga na wapumbavu wakiwemo wengi wa maofisa wa vyombo vya dola hususani Polisi na TISS...

Hampaswi kumlaumu mtu wala CNN au Aljazera TV bali jilaumuni nyie wenyewe...

Kuna methali moja inasema;

"..Mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe..."

Nyumba ya mwanamke huyu katika methali hiyo ni nchi yetu TANZANIA. Na mwanamke mpumbavu anayesemwa hapa ni Samia Suluhu Hassan na serikali yake yote chini ya Chama Cha Mapinduzi - CCM....
Mkuu umemaliza yote kabisa. Tatizo liko hapa
FB_IMG_1589682992908.jpg
 
Hivi unaposema wanaandika pasipo vyanzo vya kuaminika,naomba nikuulize hivyo vyombo vya kuaminika unavyotaka wewe ni vipi??
Polisi walisema wamemshitaki kwa makosa ya ugaidi,sote tunajua mfumo wa Tanzania ulivyo hata polisi waliomkamata walisema wamepokea maelekezo maana yake ni kuwa RPC alipkea maelekezo kutoka kwa IGP na IGP anayatoa kwa RAIS sasawewe kwa akili yako tueleze kama kuna MTU anayeweza MPA maelekezo IGP tofauti na Rais??
Taarifa ya Msemaji wa Polisi, David Misime imesema kuwa Mbowe hakukamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuandaa kongamano la Katiba mpya jijini Mwanza bali alifahamu tuhuma zinazomkabili .

"Mbowe alikuwa anafahamu fika kuwa tuhuma zinazomkabili zilikuwa zinachunguzwa na wakati wowote angehitajika Polisi kwa hatua za kisheria mara tu uchunguzi wake utakapokamilika.

Hatua hiyo imefikiwa sasa,"
alisema Misime.

Hivyo, kilichoongelewa CNN na profesa Cheeseman ni maoni yake mwenyewe na angetumia maneno kama "nadhani" na "nahisi" serikali imeamua kumkata kutokana na hayo angeeleweka kuwa haenezi propaganda.

Kisha akaenda mbali zaidi kueleza kuwa ndani ya serikali kuna hardliners na masalia ya hayati Magufuli, kwani walitaka masalia waende na Magufuli na yataondoka taratibu kama shida ni masalia?

Kwa kuwa dhamira yao ya kuona Magufuli hayupo imetimia sasa wanakuwa "frustrated" kuona hakuna dalili za kubadili kila kitu kwa faida yao.

Lakini pia Profesa Cheeseman hapaswi kutumia elimu yake kuwahadaa watazamaji na walaji habari walioko hukohuko majuu kwa maslahi yake binafsi.
 
Madai ya profesa Cheeseman kupitia CNN kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!, hayana ukweli wowote ule.

Propaganda ni kuendeleza mbagazo wa taswira dhidi ya serikali ya Tanzania na nchi kwa ujumla.

Ingekuwa ni kuendeleza "mbagazo dhidi ya nchi ya Tanzania" ningekuunga mkono kukemea...

Lakini kama serikali ndiyo inayobagazwa, acha iwe hivyo maana serikali ni kikundi cha watu wachache chenye malengo na maslahi fulani mabaya au mazuri...

å Kuna serikali nzuri, kuna serikali mbaya na za kishetani

å Kuna serikali halali na kuna serikali haramu..

å Serikali hufa na kupita, nchi hudumu kizazi na kizazi...

å Hii serikali ya CCM ni haramu, acha ijisadie kujibagaza yenyewe..

å Hii serikali ya CCM na Samia Suluhu Hassan ni mbaya na si halali, ni lazima ibagazwe na kusemwa vibaya. Tatizo ni lake. Haitaki kujirekebisha ili iwe serikali nzuri...!

BACK TO THE TOPIC:

1. Kama hakukamatwa kwa "AMRI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN" ili kuzuia kongamano la kikatiba la ndani la CHADEMA, ukweli wa "amri ya Rais" ya kukamatwa kwake na sababu ni nini sasa? Ni Ugaidi kama ilivyosema?

2. Kama ni gaidi kweli, hapa ndipo tatizo lilipo...

Kwamba, inawezekana hujui kuwa polisi walisema kuwa wanamjua Freeman Mbowe ni gaidi wa "kuua viongozi wa serikali" kwa muda mrefu. Sasa kama walikuwa wanajua hili, ikawaje wakawa wajinga na wapumbavu wa kiwango kile hata kumkamata ktk mazingira yale...?

3. Mimi nadhani wasingekuwa wajinga na wapumbavu iwapo wangefanya hivi:

Kwamba wangewasuburi wafanye kongamano lao kesho yake huku polisi wa Mwanza na Tanzania yote wakiwa wamezunguka eneo la Kongamano na wakiwa na magari yao yote ya deraya, mabomu yote na bunduki zote ili CHADEMA wangemaliza tu kongamano lao, basi, wanamkamata gaidi wao Mbowe..

Unaonaje? Je, hwangefanya vile unadhani ingeleta maswali kweli?

Yes, obviously yangekuwapo maswali lakini si haya tunayojadili hapa leo. Yangekuwa mengine kabisa..!!

Lakini kwa kuwa, serikali hii iko so desperate na anguko lake, wote huko hawana akili mpaka na Rais wao...

CONCLUSION:

Hakuna mtu mwerevu atakayeshindwa kung'amua kuwa kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni mpango mahususi ukihusisha serikali yote chini ya mwongozo wa Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe...

Anayebisha kwenye hili atakuwa ndiye mjinga pekee...
 
Paschal Mayalla;

Hoja yako iko ktk sentensi hizi mbili;

1. CNN hawakutafuta taarifa sahihi toka "authoritative sources" juu ya sababu za kukamatwa kwa M/kiti wa CHADEMA Mh. Freeman A. Mbowe na polisi

2. CNN hawakupata taarifa sahihi kuhusu kukamatwa kwa Freeman Mbowe kutoka kile ambacho umekiita tena kama "reliable sources"

MASWALI KWAKO:

å Kwanza hebu tupe tofauti ya "authoritative sources" na "reliable sources"

å Pili, una habari kuwa kabla ya CNN na ALJAZEERA kutangaza kimataifa taarifa za kukamatwa kwa Mbowe, Tanpol kupitia msemaji wake Msiime walitoa official press release kueleza sababu ya kumakamata Mbowe kuwa ana tuhuma za ugaidi wa kuua viongozi wa serikali..?

å Tatu, ina maana wewe Paschal Mayalla huna taarifa kabisa kuwa M/,kiti CHADEMA taifa ndugu Freeman Mbowe alikamatwa usiku wa saa 8 hotelini akiwa amelala akiwa tayari kuhudhuria kikao halali cha ndani cha chama chake ili kujadili umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya wananchi kuanzia sasa?

å Hivi, Paschal Mayalla kwa akili ya kawaida tu isiyohitaji usomi wako huwezi kuelewa kabisa kuwa sababu ya kumkamata saa 8 za usiku ilikuwa ni "amri toka juu kwa RPC Mwanza" na ilikuwa ili kuzuia na kuhakikisha CHADEMA wasikutane kujadili mambo ya katiba?

å Hivi Mr Paschal Mayalla kwa akili ya kawaida tu, ni mtu gani mwenye akili timamu atashindwa kutambua kuwa huu ni mpango mahususi wa watawala?

å Na hivi Paschal Mayalla huoni kabisa kuwa hawa watawala ni wajinga na wapumbavu?

å Kwa sababu kama kweli Freeman Mbowe ni gaidi na wanajua hili muda mrefu kama walivyosema wenyewe, hebu jiulize ni kwanini sasa wakakosa akili na busara ya namna ya kumkamata ili kuzuia maswali kama haya kiasi cha kumkamata ktk mazingira yale...?

å Hivi Bwana Mayalla, Don't you really see that, all who planned that are desparate for something, stupid and ignorant...???

Sasa kwa taarifa hawa waliofanya hivi kwa kutumia akili hizo mbovu kabisa ndiyo viongozi wanaoongoza Tanzania hii na ndiyo hao wakabuni tozo za miamala ya simu, umeme na mafuta maana nchi yetu siyo tajiri tena...!!

å Changamoto kwako ni hii, kuwa, Kama Press Release ya polisi siyo Authoritative wala reliable sources toka serikalini, basi unaonaje sasa wewe utueleze mamlaka halali ambazo zingeweza kutupatia taarifa rasmi ni zipi iwapo polisi ambao ndiyo waliokamata siyo reliable wala authoritative sources...?

MWISHO:

##Wakati mwingine ndugu Paschal Mayalla, kama huna cha kuandika ktk jukwaa hili, basi ni vyema sana kuacha kuandika chochote cha kijinga na badala yake soma tu maandiko ya wengine wanayoandika...

## I know una haki ya kusema na kuandika lolote ukiitumia haki yako ya kikatiba ya kutoa maoni yako...

Lakini usisahau kuwa wewe ni verified member hapa na ni mwandishi wa habari unayejulikana na kila mtu. Kujaribu kuleta mambo yanayo lack authenticity hapa, ni kushusha reputation yako kwa viwango vya chini sana...

##Mathalani kwenye ishu ya kukamatwa Freeman Mbowe na polisi na sababu walizozitoa, hivi ni mtu gani mwenye akili timamu, mwerevu na anayefikiri vizuri anaweza kuamini maelezo ya polisi...?

##kwa ushahidi wa kimazingira, ni wazi kuwa the whole police arrest incident of Mr Freeman Mbowe is completely a framework from the government authorities kwa sababu wanazozijua wao...!!

## Tatizo lenu nyie wengi wa waandishi wa habari wa Tanzania ni upumbavu na ujinga mliobeba ktk bongo zenu ambazo huwasukuma kufanya shughuli zenu za uandishi wa habari kwa misukumo ya kisiasa na wanasiasa...

##Kwani nani asiyejua kuwa, wakati mwingine huwa mnaandaliwa habari na wanasiasa wenye nguvu na wanaopenda kusifiwa na kutukuzwa kisha wanawapa fedha kidogo na kuwamuuru mkarushe kwenye TV zenu au mkaandike kwenye magazeti yenu vivyo hivyo kama zilivyo na nyie foolishly na kwa kuuza utu wenu mnafanya vile...?

Nyie waandishi wa habari wa aina yako au Musiba, hamwezi kuelewa na lazima mshangae tu aina ya utoaji wa habari kwa waandishi na vyombo vya habari huru na makini kama CNN, Aljazeera, SkyNews, BBC, DW nk nk

##Serikali ya Tanzania chini ya CCM ya Samia Suluhu Hasssan inajibagaza na kujidhalilisha yenyewe kwa matendo yake maovu toka kwa watendaji wake wajinga na wapumbavu wakiwemo wengi wa maofisa wa vyombo vya dola hususani Polisi na TISS...

Hampaswi kumlaumu mtu wala CNN au Aljazera TV bali jilaumuni nyie wenyewe...

Kuna methali moja inasema;

"..Mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe..."

Nyumba ya mwanamke huyu katika methali hiyo ni nchi yetu TANZANIA. Na mwanamke mpumbavu anayesemwa hapa ni Samia Suluhu Hassan na serikali yake yote chini ya Chama Cha Mapinduzi - CCM....
Umepiga kwenye mshono. Paskal alikuwa mwandishi wa viwango vya kina Jenerali Ulimwengu, Lula wa Ndali Mwananzela na kina Mzee Mwanakijiji. Lakini kwa sasa amekuwa useless anaongozwa na mkuno wa njaa ya tumbo.

Umempa za uso. Haaminiki tena.
 
Pascal unadhani ni wewe pekee umeskiza CNN?

Hakuna sehemu huyo Prof amesema Rais ameagiza Freeman akamatwe.

Kwanini umeamua kudanganya watu?

Of course, inafahamika mrengo wa utoaji habari wako ulibadilika baada ya kuletewa kashkashi na serikali iliyopita.

Lakini sikuwahi kujua ulibadilika kiasi cha kutumia uongo kujenga hoja.
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Nadhani wewe ndo umezusha hapa kwa maslahi yako.Nilivyomuelewa huyo profesa amesema ni either Mama kaagiza hayo mambo au mama kazidiwa nguvu na watu wa mwendazake ambao bado wapo wengi serikalini,na akasisitiza kuwa kwa maoni yake mama mpaka sasa ameshindwa kuweka mfumo mzima utakoendana na maono yake
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Paskali ninachokupendea wewe ni hustler usiekata tamaa. Bado unaendelea kufukuzia teuzi japo zimekuwa zikikulamba chenga ya mwili kila mara tokea enzi za mwendazake.

Tukirudi kwenye mada yako naona kidogo umeamua kujitoa ufahamu kwa maslahi yako binafsi. Haiwezekani mtu mwenye upeo wako tunaekufahamu wewe Pasco eti hujui kinachoendelea hapa nchini.

Huoni ukiukwaji wa sheria, ukandamizaji wa haki za binadamu, uvunjifu wa katiba, kodi kandamizi na zakinyonyaji kwa raia, unyanyasaji na ubambikiaji kesi unaonendelea?

Pasco kweli huyaoni yote haya? Huo upofu umeupata wapi Pasco?

Muogope Mungu mkuu.
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Umeandika ironically, lengo ni kufikisha ujumbe kuwa Mbowe kakamatwa kwa amri ya Rais ili kupunguza harakati za katiba mpya na vuguvugu la kupinga tozo za miamala.

Umempamba kwa stahiki yake huyo proffessor kujenga picha kuwa report ya CNN imeshiba isipuuzwe.

Very few will understand you.

Well ploted.
 
Kama ni kweli kwanini polisiccm wanahaha kutafuta mtu wa kumuwekea Mbowe dhamana ili wanuachie? Gaidi anayepanga mpango wa kuwaua Viongozi wa juu wa Serikali tangu lini akapewa dhamana? Serikali haramu ndivyo zilivyo ndiyo ni haramu kwa sababu haikuchaguliwa katika uchaguzi huru na wa haki.

Hivi ni uongo kwamba Mbowe amekamatwa na polisi wa Ccm?
Kwamba vyombo vya nje ni mabeberu? Mayala una matatizo ya kujipendekeza
 
Wanabodi,

Wiki iliyopita nilialikwa TBC kwenye kipindi cha Mizani, kinachoendeshwa na Dr. Ayoub Rioba. Mada kwenye kipindi hicho ni "Dhima ya Vyombo vya Habari Kulinda Maslahi ya Taifa".

Kwenye mjadala kuliibuka hoja jinsi Vyombo vya habari vya nje vinavyoibagaza Africa katika ripoti zake. Kwao kuibagaza Africa ndio maslahi kwao kwa mataifa yao.

Juzi Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe amekatwa na Polisi na tuhuma za kijinai.

CNN wameripoti hivi:



Katika ripoti hiyo, kwanza CNN, hawakutafuta any authoritative source Kutoka nchini Tanzania, zaidi ya kuokoteza habari hiyo kama ilivyoripotiwa na media mbalimbali za ndani.

Kwa vile CNN ni chombo cha kibeberu, hivyo kina agenda ya kubagaza, CNN wakamtafuta Prof. Nic Cheeseman, ni Professor wa Democracy, University of Birmingham, kabla ya hapo, alikuwa Director wa African Studies Centre at Oxford University, ili kuichambua habari hiyo.

Prof. Huyo akatunga uongo wa wazi wa mchana kweupe kuwa Freeman Mbowe, amekamatwa kwa amri ya rais Samia ili ku divert attention ya vuguvugu la katiba na tozo kwenye miamala ya simu!.

Huu sio uongo wa mchana kweupe?. Yaani hata kwa akili ya kawaida tuu, yaani Rais wetu Samia atoe amri ya Kukamatwa kwa Mbowe, kisa ni vuguvugu la mjadala wa katiba mpya na tozo za miamala?!, Watanzania tusijue, aliyemkamata Mbowe, amezungumza na sababu ametoa, CNN badala ya kutafuta the reliable sources, wanatuletea wazushi na kutuletea uzushi!. Ukisikia Ajenda hasi ndio hizi!.

Kwa vile hii ni lugha ya watu, na pia naufahamu uwezo wa wengi wetu kwenye uelewa hizi lugha za watu, hivyo ili kuwasaidia wale wenzangu na mimi, sikiliza kwa makini jibu la swali la pili.
"it is a crackdown, she has launched or pretended to launch all along"

Watanzania Wazalendo lazima tuwe makini sana na Vyombo hivi, unaweza kujikuta unasambaza taarifa ya kuibagaza nchi yako, rais wako na watu wako bila kujijua.

Uzalendo wa kweli ni kutanguliza mbele maslahi ya nchi yako, maslahi ya taifa lako, maslahi ya watu wako.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Tutawasifia wakitupa $600M za wizara za Afya na chanjo lakini kukosolewa hatutaki

DFF9D86A-7E2E-4C46-85A5-6CD7DA8B1B19.png
 
Back
Top Bottom