Ndg huwa naumia sana hawa wanaojiita wanaharakati uchwara au waandishi, wanaunga mkono chochote wakipata teuzi wanakaa kimya.Kwa akili kama hz nasema "TANZANIA HAITAKUJA KUPATA MAENDELEO HATA SKU 1" Yaan mwaka 2021 watu mnawaza nani atashika madaraka mwaka 2025 like serious?...
Nyongeza mshahara iwe haki na sio hisani ya mtu mmoja. Una hakika gani akishachaguliwa 2025 hamtakaa tena 6 years kupata nyongeza.Toka aniondolee dhulma ya loan board na kunipandisha daraja akili inaniambia Mama anafaa..
Miaka mitano iliyopita sikuwa na uhakika na nyongeza ya mshahara. Naamini Mwakani mambo yatakuwa vizuri. Cha msingi tumuombee afya,uhai,busara,hekima,utu na uzima kwa YEYE Mwenye Uwezo wa yote.
Tutoe na mifano kidogo ya viongozi akina mama.Kiukweli wanawake hii nchi hawaiwezi.
Kwa upande mwingine ndio vizuri tuanze kumchuja mtu mapemaKwa akili kama hz nasema "TANZANIA HAITAKUJA KUPATA MAENDELEO HATA SKU 1" Yaan mwaka 2021 watu mnawaza nani atashika madaraka mwaka 2025 like serious?...
Graduates nao vipi ambao hawana ajira? Kuongeza tozo kunasaidia niniAmefanya vizuri hapo, ila shida ni moja watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo. Kwa data za karibuni ni takribani watanzania milioni 40. Hawa Leo karibu wote wanalia kilio kikubwa kutokana na kupanda gharama za pembejeo mra mbili ya awali...
Kama uanamke na uanaume sio sifa toshelezi za uongozi, kwanini mleta nada anasema 2025 tuchague mwanamke?Tutoe na mifano kidogo ya viongozi akina mama.
Makinda na Ndugai. Najua zama tofauti
Suala ni utendaji tu, uanamke na uanamme sio sifa tosheleza za uongozi
Kwa akili hizi tutachelewa sanaZamu ya Magufuli imeshapita hata mukimtaja harudii, tunashukuru kwa mazuri aliyoyafanya,...
Nyongeza mshahara iwe haki na sio hisani ya mtu mmoja. Una hakika gani akishachaguliwa 2025 hamtakaa tena 6 years kupata nyongeza.
AMKA ww