Nenda pale TRA ukaone ina maana wenye uwezo na waliosoma ni wachaga tuu, karibu kila nafasi imeshikwa na mchaga katika hali ya kawaida huwezi kusema wao ndiyo wana uwezo tu utaona matangazo lakini utashangaa. pale TRA kuna nafasi za kazi za ndani lakini utashangaa anatolewa mtu nje mchaga aje kujaza nafasi. Kwa kweli panahitaji kuchunguzwa kwa umakini vinginevyo ile taasisi ni ya kabila moja UCHAGAAA tuuuu.