Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,566
- 46,111
Route ya kigoma imekuwepo muda wote,wamewaka mfumo wa ICT?
Sent using Jamii Forums mobile app
Paschal bwana, Sasa hata mabehewa yenyewe wanayahamisha from one route to another on a trial and error basis Unadhani kwa muda huu mfupi waliozindua hiyo route yao watakuwa tayari kuincorporate ICT systems kwa ajili ya booking?.
Kusimika mifumo ya ICT plus booking bado inahitaji muda.
ROMA haikujengwa siku moja
Unanikumbusha wale waliokuwa wakimbeza JK kujenga shule za kata wakati hakuna walimu wa kutosha, Sasa hivi kuna walimu kibao hadi kazi hawana!
Maendeleo ni hatua, cha msingi tuombe hatua zipigwe harakaharaka
Sent using Jamii Forums mobile app