dhahabuinang'aa
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 134
- 28
watanzania kila uchaguzi idadi ya wapiga kura inazidi kupungua
kibaya zaidi utawasikia wakidai mbunge wetu hatufai mara kairanja hana jipya
je kama we huendi kupiga kura unategemea nini?
muda wa masaa unajiharibia maisha ya miaka 5!
watanzania tubadilike tujiandikishe na tuone umhimu wa kupiga kura ni mhimu.
je kama hatupigi nani wa kulaumiwa?
na nini shuluhisho lake?
kibaya zaidi utawasikia wakidai mbunge wetu hatufai mara kairanja hana jipya
je kama we huendi kupiga kura unategemea nini?
muda wa masaa unajiharibia maisha ya miaka 5!
watanzania tubadilike tujiandikishe na tuone umhimu wa kupiga kura ni mhimu.
je kama hatupigi nani wa kulaumiwa?
na nini shuluhisho lake?