Uchaguzi 2020 Watanzania tusiwe wepesi wa kusahau. Hakuna Mbunge wa CCM anaenda Bungeni kuwakilisha Wananchi

Tukiwa tunajiandaa kuchagua viongozi wetu wa kutuwakilisha bungeni awamu ijayo, tunatakiwa kutafakari baadhi ya matukio yaliyotokea Bunge la awamu inayomaliza muda wake.

Huu ndyo muda wetu sisi kama wawakilishwaji kuamua ni nani anafaa kutuwakilisha bungeni. Na huu ndiyo muda sahihi kuwawajibisha wale wote walioshindwa kutuwakilisha ipasavyo.

Watanzania wenzangu, tusiwe wepesi kusahau kama kuku wa kienyeji. Bunge lililopita tuseme tu na ukweli, wabunge wa CCM wote waliishia kuiwakilisha serikali na sio sisi tuliiwatuma uko wakaisimamie serikali na kuwakilisha matatizo yetu.

Ni wabunge wachache sana waliojaribu kuwakilisha matatizo yetu kama wakina Bashe ila baada ya wao kupewa vyeo nao wakafyata mkia.

Tusiwe wepesi kusahau kuwa wabunge hawa hawa wa CCM walikubali hoja ya bunge lisiwe live huku wananchi tuliowachagua tukakosa haki yetu ya kujua tunawakilishwaje na wabunge tuliowachagua. Tena hapa anayetakiwa kuwajibishwa akiwa wa kwanza kabisa ni Nape mbunge wa jimbo la Mtama maana ndye aliyeweka bunge gizani.

Hawa hawa wabunge wameshindwa hata kutetea maslai ya Watumishi/Wafanyakazi huku wakijali posho na viinua mgongo vyao tu.

Report za CAG Assad, miaka miwili mfululizo zimekuja na madudu chungu nzima hasa ya upotevu wa matrilion ila hakuna hata mbunge mmoja wa CCM aliyefungua kinywa chake kuhoji serikali juu ya izo pesa.

Budget iliyokuwa ikipitishwa kwa mbwembwe na Wabunge wa CCM huku wakitukana Wapinzani nazo zilikuwa budget hewa. Utekelezaki hata 50% ilikuwa haifiki.

Mbali na hapo, Rais alikuwa anachukua pesa hazina bila kuidhinishwa na bunge kwa matumizi ambayo hayajaidhinishwa na bunge lakini wabunge wa CCM hawakuweza kufunua midomo yao na kuhoji zaidi ya kukenua na kusifia juhudi. Hapa ndyo wananchi tunajiuliza hivi Wabunge kazi yao ni nini uko mjengoni?

( ref: pesa zilizotumika kununua korosho. Je hasara au faida iliyopatikana bunge lilihoji, Vp na zile zilizonunua ndege kwa cash?).

Tusisahau kuwa ndyo hili bunge limekuja na visheria vipya vipya vya ajabu ambavyo hata vingine Rais John Pombe Magufuli alikataa kuzipitisha kama ile ya Kikokoto kipya cha mafao ya watumishi. Mbali ya hapo ndyo bunge hili hili liipitisha sheria ya kuwapa kinga viongozi wakuu wa mihimili ya serikali. ( hapa ndyo unajua wabunge wameenda kuwakilisha serikali na si wananchi)

Kwa kifupi, Watanzania wenzangu tuwe makini sana na wabunge tunaochagua. Ninawakakikishieni mkirudia makosa yale yale, kabla ya 2024 katiba yetu itabadilishwa na Rais Magufuli kuongezewa muda kama sio kufanywa Rais wa Maisha.

Asilimia kubwa ya wabunge wa CCM wanachojali ni kujitengenezea mazingira ya kuendelea kukaa bungeni huku wakisahau nini wanatakiwa kufanya wanapochaguliwa na wananchi kuwa mjengoni.
Na wale wa wapinzani inakuwaje? Akili za kushikiliwa na DJ mlevi wa konyagi.
 
Dah! ndugu yangu, nimeguswa sana na bandiko lako, kiukwel umeongea kwa upeo wa juu sana sema naskitisha hili bandiko kukaa jamii forum peke yake sababu jamii forum ni mtandeo unaotumiwa na watu wenye wered wa hali ya juu na ivyo huu ujumbe wako kuwafikia watu wa chache, kimsingi bandiko kama hili lilitakiwa litumwe na kwenye baadhi ya mitandao mingine ya kijamii ili hata wale watu ambao sio members wa jamii forum wapate kulisoma maana miaka hii mitano tumeshuhudia madudu matupu yaliyokuwa yanafanywa na hawa ma bwege ambao tunawaita wawakilishi wetu kimsingi hatutakiwi kurudia makosa sasa cha kusikitisha ni kwamba hawa wengine watapataje huu ujumbe ili nao waweze kufanya maamuzi sahihi kwenye box la kula?
 
Tukiwa tunajiandaa kuchagua viongozi wetu wa kutuwakilisha bungeni awamu ijayo, tunatakiwa kutafakari baadhi ya matukio yaliyotokea Bunge la awamu inayomaliza muda wake.

Huu ndyo muda wetu sisi kama wawakilishwaji kuamua ni nani anafaa kutuwakilisha bungeni. Na huu ndiyo muda sahihi kuwawajibisha wale wote walioshindwa kutuwakilisha ipasavyo.

Watanzania wenzangu, tusiwe wepesi kusahau kama kuku wa kienyeji. Bunge lililopita tuseme tu na ukweli, wabunge wa CCM wote waliishia kuiwakilisha serikali na sio sisi tuliiwatuma uko wakaisimamie serikali na kuwakilisha matatizo yetu.

Ni wabunge wachache sana waliojaribu kuwakilisha matatizo yetu kama wakina Bashe ila baada ya wao kupewa vyeo nao wakafyata mkia.

Tusiwe wepesi kusahau kuwa wabunge hawa hawa wa CCM walikubali hoja ya bunge lisiwe live huku wananchi tuliowachagua tukakosa haki yetu ya kujua tunawakilishwaje na wabunge tuliowachagua. Tena hapa anayetakiwa kuwajibishwa akiwa wa kwanza kabisa ni Nape mbunge wa jimbo la Mtama maana ndye aliyeweka bunge gizani.

Hawa hawa wabunge wameshindwa hata kutetea maslai ya Watumishi/Wafanyakazi huku wakijali posho na viinua mgongo vyao tu.

Report za CAG Assad, miaka miwili mfululizo zimekuja na madudu chungu nzima hasa ya upotevu wa matrilion ila hakuna hata mbunge mmoja wa CCM aliyefungua kinywa chake kuhoji serikali juu ya izo pesa.

Budget iliyokuwa ikipitishwa kwa mbwembwe na Wabunge wa CCM huku wakitukana Wapinzani nazo zilikuwa budget hewa. Utekelezaki hata 50% ilikuwa haifiki.

Mbali na hapo, Rais alikuwa anachukua pesa hazina bila kuidhinishwa na bunge kwa matumizi ambayo hayajaidhinishwa na bunge lakini wabunge wa CCM hawakuweza kufunua midomo yao na kuhoji zaidi ya kukenua na kusifia juhudi. Hapa ndyo wananchi tunajiuliza hivi Wabunge kazi yao ni nini uko mjengoni?

( ref: pesa zilizotumika kununua korosho. Je hasara au faida iliyopatikana bunge lilihoji, Vp na zile zilizonunua ndege kwa cash?).

Tusisahau kuwa ndyo hili bunge limekuja na visheria vipya vipya vya ajabu ambavyo hata vingine Rais John Pombe Magufuli alikataa kuzipitisha kama ile ya Kikokoto kipya cha mafao ya watumishi. Mbali ya hapo ndyo bunge hili hili liipitisha sheria ya kuwapa kinga viongozi wakuu wa mihimili ya serikali. ( hapa ndyo unajua wabunge wameenda kuwakilisha serikali na si wananchi)

Kwa kifupi, Watanzania wenzangu tuwe makini sana na wabunge tunaochagua. Ninawakakikishieni mkirudia makosa yale yale, kabla ya 2024 katiba yetu itabadilishwa na Rais Magufuli kuongezewa muda kama sio kufanywa Rais wa Maisha.

Asilimia kubwa ya wabunge wa CCM wanachojali ni kujitengenezea mazingira ya kuendelea kukaa bungeni huku wakisahau nini wanatakiwa kufanya wanapochaguliwa na wananchi kuwa mjengoni.
Uko sahihi
 
Tukiwa tunajiandaa kuchagua viongozi wetu wa kutuwakilisha bungeni awamu ijayo, tunatakiwa kutafakari baadhi ya matukio yaliyotokea Bunge la awamu inayomaliza muda wake.

Huu ndyo muda wetu sisi kama wawakilishwaji kuamua ni nani anafaa kutuwakilisha bungeni. Na huu ndiyo muda sahihi kuwawajibisha wale wote walioshindwa kutuwakilisha ipasavyo.

Watanzania wenzangu, tusiwe wepesi kusahau kama kuku wa kienyeji. Bunge lililopita tuseme tu na ukweli, wabunge wa CCM wote waliishia kuiwakilisha serikali na sio sisi tuliiwatuma uko wakaisimamie serikali na kuwakilisha matatizo yetu.

Ni wabunge wachache sana waliojaribu kuwakilisha matatizo yetu kama wakina Bashe ila baada ya wao kupewa vyeo nao wakafyata mkia.

Tusiwe wepesi kusahau kuwa wabunge hawa hawa wa CCM walikubali hoja ya bunge lisiwe live huku wananchi tuliowachagua tukakosa haki yetu ya kujua tunawakilishwaje na wabunge tuliowachagua. Tena hapa anayetakiwa kuwajibishwa akiwa wa kwanza kabisa ni Nape mbunge wa jimbo la Mtama maana ndye aliyeweka bunge gizani.

Hawa hawa wabunge wameshindwa hata kutetea maslai ya Watumishi/Wafanyakazi huku wakijali posho na viinua mgongo vyao tu.

Report za CAG Assad, miaka miwili mfululizo zimekuja na madudu chungu nzima hasa ya upotevu wa matrilion ila hakuna hata mbunge mmoja wa CCM aliyefungua kinywa chake kuhoji serikali juu ya izo pesa.

Budget iliyokuwa ikipitishwa kwa mbwembwe na Wabunge wa CCM huku wakitukana Wapinzani nazo zilikuwa budget hewa. Utekelezaki hata 50% ilikuwa haifiki.

Mbali na hapo, Rais alikuwa anachukua pesa hazina bila kuidhinishwa na bunge kwa matumizi ambayo hayajaidhinishwa na bunge lakini wabunge wa CCM hawakuweza kufunua midomo yao na kuhoji zaidi ya kukenua na kusifia juhudi. Hapa ndyo wananchi tunajiuliza hivi Wabunge kazi yao ni nini uko mjengoni?

( ref: pesa zilizotumika kununua korosho. Je hasara au faida iliyopatikana bunge lilihoji, Vp na zile zilizonunua ndege kwa cash?).

Tusisahau kuwa ndyo hili bunge limekuja na visheria vipya vipya vya ajabu ambavyo hata vingine Rais John Pombe Magufuli alikataa kuzipitisha kama ile ya Kikokoto kipya cha mafao ya watumishi. Mbali ya hapo ndyo bunge hili hili liipitisha sheria ya kuwapa kinga viongozi wakuu wa mihimili ya serikali. ( hapa ndyo unajua wabunge wameenda kuwakilisha serikali na si wananchi)

Kwa kifupi, Watanzania wenzangu tuwe makini sana na wabunge tunaochagua. Ninawakakikishieni mkirudia makosa yale yale, kabla ya 2024 katiba yetu itabadilishwa na Rais Magufuli kuongezewa muda kama sio kufanywa Rais wa Maisha.

Asilimia kubwa ya wabunge wa CCM wanachojali ni kujitengenezea mazingira ya kuendelea kukaa bungeni huku wakisahau nini wanatakiwa kufanya wanapochaguliwa na wananchi kuwa mjengoni.
70% ya raia wa hili koloni la ccm ni vichwa panzi ndio maccm yanawachezea akili kwa jinsi yanavyotaka.


Na Sasa nchi imeshatolewa kwenye uchumi wa kati wa chini, sijui tuwaambia nini watu
 
Capture.JPG
 
Umeandika kwa ureefu sana lakini haya uliyoyaandika ni maoni yako ambayo si kweli.

CCM inasimamia wabunge na viongozi wake ngazi mbalimbali kwa ukaribu sana. Hivi karibuni CCM imeboresha Katiba yake kwamba kada wa chama ambaye ana cheo ndani ya chama hawezi wakati huo huo kiwa kiongozi wa serikali ukiacha wale ambao wanaingia kwa nafasi zao kwenye kamati bila ya kuwa na nguvu za kimaamuzi.

Kama umefanya research ambayo imelenga kuinanga CCM ungejitahidi hata kinafiki kumulika upande wa pili ambao vitendo vyao vya wazi kabisa kuwa hawawakilishi majimbo yao bali matakwa ya viongozi wa vyama vyao.

Angalia issue ya COVID, Bajeti na hoja za msingi wamekuwa wakitoka bungeni kwa matakwa ya viongozi wao....

Mzee umetopola
Upupu mtupu uliomwaga hapa, wewe utakuwa Kibajaji au yule lofa Mlinga....
 
angalau bunge lijalo liwe na sura mpya kuliko zile za zamani zilizoenda dhalilisha hadhi ya bunge kina nkamia,kessy,kange kwa uwezo wo mdogo wa kujenga hoja waliwekeza kwenye kumsifia mpitaji badala ya hoja za kitaifa,mollel,waitara,msukuma,kessy, hawa wasirudi watakwenda dhalilisha bunge na kuleta habari za kusifia mtu sababu ya tumbo
 
Ukiwa maskini afu huna ajira ni tatizo kubwa Sana Sasa Wewe unataka kutuambia kuwa wachadema ndo waliokuwa wakiwakilisha wananchi?😜😜😜😜🤑🤑🤑
 
Umenena vema kiongozi nikikumbuka kuzima bunge live,kupitisha sheria kandamizi za vyombo vya habar,kupenyeza kuongezwa kwa mda wa madaraka wa namba 1,kikotoo cha kudhurumu wanyonge huku wao wakikomba 100% na mengine mengi
 
Tukiwa tunajiandaa kuchagua viongozi wetu wa kutuwakilisha bungeni awamu ijayo, tunatakiwa kutafakari baadhi ya matukio yaliyotokea Bunge la awamu inayomaliza muda wake.

Huu ndyo muda wetu sisi kama wawakilishwaji kuamua ni nani anafaa kutuwakilisha bungeni. Na huu ndiyo muda sahihi kuwawajibisha wale wote walioshindwa kutuwakilisha ipasavyo.

Watanzania wenzangu, tusiwe wepesi kusahau kama kuku wa kienyeji. Bunge lililopita tuseme tu na ukweli, wabunge wa CCM wote waliishia kuiwakilisha serikali na sio sisi tuliiwatuma uko wakaisimamie serikali na kuwakilisha matatizo yetu.

Ni wabunge wachache sana waliojaribu kuwakilisha matatizo yetu kama wakina Bashe ila baada ya wao kupewa vyeo nao wakafyata mkia.

Tusiwe wepesi kusahau kuwa wabunge hawa hawa wa CCM walikubali hoja ya bunge lisiwe live huku wananchi tuliowachagua tukakosa haki yetu ya kujua tunawakilishwaje na wabunge tuliowachagua. Tena hapa anayetakiwa kuwajibishwa akiwa wa kwanza kabisa ni Nape mbunge wa jimbo la Mtama maana ndye aliyeweka bunge gizani.

Hawa hawa wabunge wameshindwa hata kutetea maslai ya Watumishi/Wafanyakazi huku wakijali posho na viinua mgongo vyao tu.

Report za CAG Assad, miaka miwili mfululizo zimekuja na madudu chungu nzima hasa ya upotevu wa matrilion ila hakuna hata mbunge mmoja wa CCM aliyefungua kinywa chake kuhoji serikali juu ya izo pesa.

Budget iliyokuwa ikipitishwa kwa mbwembwe na Wabunge wa CCM huku wakitukana Wapinzani nazo zilikuwa budget hewa. Utekelezaki hata 50% ilikuwa haifiki.

Mbali na hapo, Rais alikuwa anachukua pesa hazina bila kuidhinishwa na bunge kwa matumizi ambayo hayajaidhinishwa na bunge lakini wabunge wa CCM hawakuweza kufunua midomo yao na kuhoji zaidi ya kukenua na kusifia juhudi. Hapa ndyo wananchi tunajiuliza hivi Wabunge kazi yao ni nini uko mjengoni?

( ref: pesa zilizotumika kununua korosho. Je hasara au faida iliyopatikana bunge lilihoji, Vp na zile zilizonunua ndege kwa cash?).

Tusisahau kuwa ndyo hili bunge limekuja na visheria vipya vipya vya ajabu ambavyo hata vingine Rais John Pombe Magufuli alikataa kuzipitisha kama ile ya Kikokoto kipya cha mafao ya watumishi. Mbali ya hapo ndyo bunge hili hili liipitisha sheria ya kuwapa kinga viongozi wakuu wa mihimili ya serikali. ( hapa ndyo unajua wabunge wameenda kuwakilisha serikali na si wananchi)


Haya ni machache tu nikiendelea kuandika madudu na udhaifu wa wabunge wa ccm naweza andika hata kitabu kizima.
Kwa kifupi, Watanzania wenzangu tuwe makini sana na wabunge tunaochagua. Ninawakakikishieni mkirudia makosa yale yale, kabla ya 2024 katiba yetu itabadilishwa na Rais Magufuli kuongezewa muda kama sio kufanywa Rais wa Maisha.

Asilimia kubwa ya wabunge wa CCM wanachojali ni kujitengenezea mazingira ya kuendelea kukaa bungeni huku wakisahau nini wanatakiwa kufanya wanapochaguliwa na wananchi kuwa mjengoni.
Well said
 
Tukiwa tunajiandaa kuchagua viongozi wetu wa kutuwakilisha bungeni awamu ijayo, tunatakiwa kutafakari baadhi ya matukio yaliyotokea Bunge la awamu inayomaliza muda wake.

Huu ndyo muda wetu sisi kama wawakilishwaji kuamua ni nani anafaa kutuwakilisha bungeni. Na huu ndiyo muda sahihi kuwawajibisha wale wote walioshindwa kutuwakilisha ipasavyo.

Watanzania wenzangu, tusiwe wepesi kusahau kama kuku wa kienyeji. Bunge lililopita tuseme tu na ukweli, wabunge wa CCM wote waliishia kuiwakilisha serikali na sio sisi tuliiwatuma uko wakaisimamie serikali na kuwakilisha matatizo yetu.

Ni wabunge wachache sana waliojaribu kuwakilisha matatizo yetu kama wakina Bashe ila baada ya wao kupewa vyeo nao wakafyata mkia.

Tusiwe wepesi kusahau kuwa wabunge hawa hawa wa CCM walikubali hoja ya bunge lisiwe live huku wananchi tuliowachagua tukakosa haki yetu ya kujua tunawakilishwaje na wabunge tuliowachagua. Tena hapa anayetakiwa kuwajibishwa akiwa wa kwanza kabisa ni Nape mbunge wa jimbo la Mtama maana ndye aliyeweka bunge gizani.

Hawa hawa wabunge wameshindwa hata kutetea maslai ya Watumishi/Wafanyakazi huku wakijali posho na viinua mgongo vyao tu.

Report za CAG Assad, miaka miwili mfululizo zimekuja na madudu chungu nzima hasa ya upotevu wa matrilion ila hakuna hata mbunge mmoja wa CCM aliyefungua kinywa chake kuhoji serikali juu ya izo pesa.

Budget iliyokuwa ikipitishwa kwa mbwembwe na Wabunge wa CCM huku wakitukana Wapinzani nazo zilikuwa budget hewa. Utekelezaki hata 50% ilikuwa haifiki.

Mbali na hapo, Rais alikuwa anachukua pesa hazina bila kuidhinishwa na bunge kwa matumizi ambayo hayajaidhinishwa na bunge lakini wabunge wa CCM hawakuweza kufunua midomo yao na kuhoji zaidi ya kukenua na kusifia juhudi. Hapa ndyo wananchi tunajiuliza hivi Wabunge kazi yao ni nini uko mjengoni?

( ref: pesa zilizotumika kununua korosho. Je hasara au faida iliyopatikana bunge lilihoji, Vp na zile zilizonunua ndege kwa cash?).

Tusisahau kuwa ndyo hili bunge limekuja na visheria vipya vipya vya ajabu ambavyo hata vingine Rais John Pombe Magufuli alikataa kuzipitisha kama ile ya Kikokoto kipya cha mafao ya watumishi. Mbali ya hapo ndyo bunge hili hili liipitisha sheria ya kuwapa kinga viongozi wakuu wa mihimili ya serikali. ( hapa ndyo unajua wabunge wameenda kuwakilisha serikali na si wananchi)


Haya ni machache tu nikiendelea kuandika madudu na udhaifu wa wabunge wa ccm naweza andika hata kitabu kizima.
Kwa kifupi, Watanzania wenzangu tuwe makini sana na wabunge tunaochagua. Ninawakakikishieni mkirudia makosa yale yale, kabla ya 2024 katiba yetu itabadilishwa na Rais Magufuli kuongezewa muda kama sio kufanywa Rais wa Maisha.

Asilimia kubwa ya wabunge wa CCM wanachojali ni kujitengenezea mazingira ya kuendelea kukaa bungeni huku wakisahau nini wanatakiwa kufanya wanapochaguliwa na wananchi kuwa mjengoni.
Wabunge wa ccm ndio waliopitisha mikataba kibao ya kifisadi huku wakipiga meza na kushangilia wakati wenzao wa upinzani wakitoka nje kugomea,leo hii hao hao wanapiga meza wakishangilia Rais anavyoiponda mikataba mibovu ileile waliowahi kuipitisha kabla mwaka huu wabunge wote wa ccm mtakula mlikopeleka mbongo huu niujingi mnakuja tuomba kura ili mkawakilishe nani ?
 
Back
Top Bottom