Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
Unafiki unatumaliza Watanzania.
Kodi zilizokuwa zikitozwa na serikali ya Awamu ya Tano kwa wafanyabiashara na wajasiria mali, wengi waliitikia wakisema mafisadi hao au wahujumu uchumi.
Kipindi cha Awamu ya Tano uonezi mwingi wa kupora, kunyang'anya, kubambika kodi na hata watu kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi za uongo za uhujumu uchumi zilikuwepo tena nyingi sana.
Lengo lake kupata fedha kwa udi na uvuma kwa miradi ya SGR na Stiglaz Umeme na mingine mingi.
Kuna wananchi walishangilia sana uonezi uliofanywa.
Wapo viongozi walio kundi hili, Waziri Mpango wakati huo hakosekani humo.
Sasa Awamu ya Sita imerekebisha hilo ili KODI IWE KWA WATANZANIA WOTE.
Na hili linatekelezwa kwa kupitia TOZO za miamala ambazo zinamgusa kila mtu.
Hapo ndio unaona unafiki wa watu.
Hawapendi kuchangia kodi kwa maendeleo, wao wanafikiri kundi fulani tu ndio litoe kodi ili wao waneemeke.
Mshindwe, lipeni kodi Watanzania.
Kodi zilizokuwa zikitozwa na serikali ya Awamu ya Tano kwa wafanyabiashara na wajasiria mali, wengi waliitikia wakisema mafisadi hao au wahujumu uchumi.
Kipindi cha Awamu ya Tano uonezi mwingi wa kupora, kunyang'anya, kubambika kodi na hata watu kuwekwa ndani na kufunguliwa kesi za uongo za uhujumu uchumi zilikuwepo tena nyingi sana.
Lengo lake kupata fedha kwa udi na uvuma kwa miradi ya SGR na Stiglaz Umeme na mingine mingi.
Kuna wananchi walishangilia sana uonezi uliofanywa.
Wapo viongozi walio kundi hili, Waziri Mpango wakati huo hakosekani humo.
Sasa Awamu ya Sita imerekebisha hilo ili KODI IWE KWA WATANZANIA WOTE.
Na hili linatekelezwa kwa kupitia TOZO za miamala ambazo zinamgusa kila mtu.
Hapo ndio unaona unafiki wa watu.
Hawapendi kuchangia kodi kwa maendeleo, wao wanafikiri kundi fulani tu ndio litoe kodi ili wao waneemeke.
Mshindwe, lipeni kodi Watanzania.