Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Aslam aleykum, bwana Yesu asifiwe wana board,
Kwanza naomba nimshukuru Mungu kwa kutuamsha tena katika Jumapili tulivu sana kwenye nchi yetu iliojaa amani.
Africa ni bara lililojaliwa rasilimali nyingi sana lakini ndio bara masikini kuliko mabara yote hii ni kutokana na aina ya uongozi wa rushwa ufisadi na wizi ambao rasilimali hunufaisha watu wachache waliopo kwenye system.
Wakuu ni marachache sana Africa inakuwa inapata viongozi wenye mapenzi ya kweli na uzalendo dhidi ya nchi zao viongozi wenye dhamira ya zati ya kuzikomboa nchi zao dhidi ya ufisadi rushwa na unyonyaji dhidi ya neo-colonialism.Siku zote ukiingilia maslai ya mzungu especial dollar lazima utengenezewe visanga na wapandikizwe wasaliti wachache ili wakung'oe.
Tunaona Gadaffi alivyoingia cha kwanza alisimamia rasilimali ya mafuta iwanufaishe walibya wote wazungu walipogoma aliwaambia kama walibya waliishi miaka zaid ya 47 bila mafuta basi wataweza kuishi tena bila mafuta same to Rais Magufuli kwenye madini pili Gadaffi alizuia matumizi ya dollar na kutaka kuintroduce pesa mpya ili waafrika waache kutumia dollar same to Rais Magufuli alivyopiga marufuku matumizi ya dollar.
NATO wakamtengenezea kikundi cha wasaliti wakajifanya wanataka demokrasia uchwara wakampindua na kumuua Gadaffi kikatili na kinyama sana walishangilia sana lakini leo Libya sio Libya ile ya Gadaffi wa libya leo wanalia sana rasilimali zote zinaibiwa hazinufaishi tena walibya.
The same to Tanzania baada ya kutangaza vita za kiuchumi tunaanza kuhujumia especial kwenye uchumi na shilingi yetu bila kusahau wanawatumia upinzani uchwara kudai madai yaleyale ya demokrasia uchwara.
Tumeshuhudia majaribio kadhaa yakigonga mwamba kama vile operesheni UKUTA yenye lengo la kusababisha vurugu kama Libya. Naomba kuwahusia watanzania wenzangu kuwa kuna msemo unasema we dont know what we have until you lose it. Tuweni makini rais tumepata hivyo tusikubali kurubuniwa watanzania hatuli demokrasia tunakula chakula. First piority yetu ni maendeleo sio bunge live, sio mikutano ya kisiasa na wala sio freedom ya kutukana viongozi wetu.
Kwanza naomba nimshukuru Mungu kwa kutuamsha tena katika Jumapili tulivu sana kwenye nchi yetu iliojaa amani.
Africa ni bara lililojaliwa rasilimali nyingi sana lakini ndio bara masikini kuliko mabara yote hii ni kutokana na aina ya uongozi wa rushwa ufisadi na wizi ambao rasilimali hunufaisha watu wachache waliopo kwenye system.
Wakuu ni marachache sana Africa inakuwa inapata viongozi wenye mapenzi ya kweli na uzalendo dhidi ya nchi zao viongozi wenye dhamira ya zati ya kuzikomboa nchi zao dhidi ya ufisadi rushwa na unyonyaji dhidi ya neo-colonialism.Siku zote ukiingilia maslai ya mzungu especial dollar lazima utengenezewe visanga na wapandikizwe wasaliti wachache ili wakung'oe.
Tunaona Gadaffi alivyoingia cha kwanza alisimamia rasilimali ya mafuta iwanufaishe walibya wote wazungu walipogoma aliwaambia kama walibya waliishi miaka zaid ya 47 bila mafuta basi wataweza kuishi tena bila mafuta same to Rais Magufuli kwenye madini pili Gadaffi alizuia matumizi ya dollar na kutaka kuintroduce pesa mpya ili waafrika waache kutumia dollar same to Rais Magufuli alivyopiga marufuku matumizi ya dollar.
NATO wakamtengenezea kikundi cha wasaliti wakajifanya wanataka demokrasia uchwara wakampindua na kumuua Gadaffi kikatili na kinyama sana walishangilia sana lakini leo Libya sio Libya ile ya Gadaffi wa libya leo wanalia sana rasilimali zote zinaibiwa hazinufaishi tena walibya.
The same to Tanzania baada ya kutangaza vita za kiuchumi tunaanza kuhujumia especial kwenye uchumi na shilingi yetu bila kusahau wanawatumia upinzani uchwara kudai madai yaleyale ya demokrasia uchwara.
Tumeshuhudia majaribio kadhaa yakigonga mwamba kama vile operesheni UKUTA yenye lengo la kusababisha vurugu kama Libya. Naomba kuwahusia watanzania wenzangu kuwa kuna msemo unasema we dont know what we have until you lose it. Tuweni makini rais tumepata hivyo tusikubali kurubuniwa watanzania hatuli demokrasia tunakula chakula. First piority yetu ni maendeleo sio bunge live, sio mikutano ya kisiasa na wala sio freedom ya kutukana viongozi wetu.