Watanzania tusimlaumu Rais Samia, anajitahidi sana kuiongoza nchi yetu

Fukua

JF-Expert Member
Jun 1, 2022
546
479
Mwenyezi Mungu awabariki wote.

Kiukweli ameirithi nchi ikiwa katika Hali mbaya sana, pia Dunia ikiwa KWENYE Hali ngumu sana kiuchumi kutokana na COVID-19.

Mama au mwanamke huyu kuliongoza taifa letu Hadi Sasa kufikia hapa ni uwezo mkubwa sana.

Madhara/ matokeo ya uongozi wa awamu ya Tano kiuchumi, kidemokrasia na kidiplomasia bado utaliathiri taifa hili Kwa kipindi Cha zaidi ya miaka 20 ijayo tusipochukua juhudi za makusudi kurekebisha na mama Hilo liko mikononi mwako.

Ninaunga mkono tozo lkn kuwe na ufafanuzi unaoeleweka Kwa wananchi kuhusu faida au miradi inayojengwa na tozo hizi.

Ninaamini mama una Nia njema KWENYE jambo hili lkn kuwa makini na watendaji WAKO wanaweza wakafanya hovyo na hatutakuwa na WA kumlaumu zaidi Yako.

SI vibaya mkirekebisha baadhi ya mambo kadhaa kuhusu tozo. Mama yetu Hali ni ngumu korona imeathiri vipato vyetu sisi wananchi WAKO.

Wachache wanaolia kuhusu tozo usiwapuuze ni wananchi WAKO, pengine Kuna umuhimu.

Tuitungie TOZO Sheria Ili kuilinda. Isiishie kesho baada ya wewe kupumzika uongozi 2030.

Ninakubali kabisa kwamba muundo na utaratibu wa TOZO ukipangiliwa vyema utaleta mafanikio makubwa sana Kwa taifa letu.

Niomba radhi kama nimekukwaza na kuwakwaza viongozi wangu.

MUNGU MBARIKI RAISI WETU, MUNGU IBARIKI SERIKALI NA TANZANIA, MUNGU WABARIKI HATA WALE WAPINGAJI WETU WAKUU WAJALIE MAISHA MAREFU ILI WAYASHUHUDIE MAFANIKIO YA MAMA, CCM NA TOZO HIZI WANAZOPINGA BILA HOJA.

NIBARIKI NA MM AFYA TELE ILI NIENDELEE KUWAELIMISHA WACHACHE WALIOACHWA NYUMA WASIOONA JUHUDI KUBWA ZA MAMA YETU KWA TAIFA LETU.
 
Mwenyezi Mungu awabariki wote.

Kiukweli ameirithi nchi ikiwa katika Hali mbaya sana, pia Dunia ikiwa KWENYE Hali ngumu sana kiuchumi kutokana na COVID-19.

Mama au mwanamke huyu kuliongoza taifa letu Hadi Sasa kufikia hapa ni uwezo mkubwa sana.

Madhara/ matokeo ya uongozi wa awamu ya Tano kiuchumi, kidemokrasia na kidiplomasia bado utaliathiri taifa hili Kwa kipindi Cha zaidi ya miaka 20 ijayo tusipochukua juhudi za makusudi kurekebisha na mama Hilo liko mikononi mwako.

Ninaunga mkono tozo lkn kuwe na ufafanuzi unaoeleweka Kwa wananchi kuhusu faida au miradi inayojengwa na tozo hizi.

Ninaamini mama una Nia njema KWENYE jambo hili lkn kuwa makini na watendaji WAKO wanaweza wakafanya hovyo na hatutakuwa na WA kumlaumu zaidi Yako.

SI vibaya mkirekebisha baadhi ya mambo kadhaa kuhusu tozo. Mama yetu Hali ni ngumu korona imeathiri vipato vyetu sisi wananchi WAKO.

Wachache wanaolia kuhusu tozo usiwapuuze ni wananchi WAKO, pengine Kuna umuhimu.

Tuitungie TOZO Sheria Ili kuilinda. Isiishie kesho baada ya wewe kupumzika uongozi 2030.

Ninakubali kabisa kwamba muundo na utaratibu wa TOZO ukipangiliwa vyema utaleta mafanikio makubwa sana Kwa taifa letu.

Niomba radhi kama nimekukwaza na kuwakwaza viongozi wangu.

MUNGU MBARIKI RAISI WETU, MUNGU IBARIKI SERIKALI NA TANZANIA, MUNGU WABARIKI HATA WALE WAPINGAJI WETU WAKUU WAJALIE MAISHA MAREFU ILI WAYASHUHUDIE MAFANIKIO YA MAMA, CCM NA TOZO HIZI WANAZOPINGA BILA HOJA.

NIBARIKI NA MM AFYA TELE ILI NIENDELEE KUWAELIMISHA WACHACHE WALIOACHWA NYUMA WASIOONA JUHUDI KUBWA ZA MAMA YETU KWA TAIFA LETU.
Kinachouma wengi ,ni aina ya mwaziri walioteuliwa na wanavyotupeleka
Wapo wasio na huruma na maskini na watu wenye vipato vidogo kama watumishi wa umma na sekata binafsi.

Mfano kodi ya nyumba analipa mpangaji kupitia umeme halafu tena mpangaji huyo huyo alipe kodi ya mapato ya mwenye nyumba!
Maana ni vigumu mwenye nyumba kukubali kodi yake ipungue na atadai ilipwe kama ilivyo ila kodi wewe ndio utajua.Tumeona kwa madalali wanavyotifanyia.
 
Mwenyezi Mungu awabariki wote.

Kiukweli ameirithi nchi ikiwa katika Hali mbaya sana,

Ni hali gani hiyo mbaya unayoelezea juu juu....
pia Dunia ikiwa KWENYE Hali ngumu sana kiuchumi kutokana na COVID-19.

Mama au mwanamke huyu kuliongoza taifa letu Hadi Sasa kufikia hapa ni uwezo mkubwa sana.

Madhara/ matokeo ya uongozi wa awamu ya Tano kiuchumi, kidemokrasia na kidiplomasia bado utaliathiri taifa hili Kwa kipindi Cha zaidi ya miaka 20 ijayo
Kwa hiyo hakuna lelote zuri lililofanyika. Umedanganya. Dunia nzima ilikuwa ikiangalia uongozi mahiri uliokuwa ukifanya maamuzi magumu kuiondoa nchi kutoka kwenye makucha ya Wezi, Wabadirifu, Wala rushwa, wakimbizi kutoka India, Uarabuni, Ulaya n.k waliojipenyeza kwenye makundi ya CCM.
Usitufaye weupe wa mambo. Magufuli will live forever.
tusipochukua juhudi za makusudi kurekebisha na mama Hilo liko mikononi mwako.
Haswa, juhudi za makusudi zipo kuhakikisha hatutawaliwi tena na Wazungu, Waarabu, Waashia na watu kama wewe. Hakika ujue hilo.
Ninaunga mkono tozo lkn kuwe na ufafanuzi unaoeleweka Kwa wananchi kuhusu faida au miradi inayojengwa na tozo hizi.

Ninaamini mama una Nia njema KWENYE jambo hili lkn kuwa makini na watendaji WAKO wanaweza wakafanya hovyo na hatutakuwa na WA kumlaumu zaidi Yako.
Shamba ni lake. Rungu ni lake. Usilete pre-emptive. Amekubali kuuza maeneo Jamii ya Wamasai....yaaani naomba wale wa haki za Binadamu wamulike hapa kwetu haki itendeke. Badala ya kuwakimbilia Wachina na Uyighars.
SI vibaya mkirekebisha baadhi ya mambo kadhaa kuhusu tozo. Mama yetu Hali ni ngumu korona imeathiri vipato vyetu sisi wananchi WAKO.
Chukua tahadhari, na uende kutafuta kazi.
Wachache wanaolia kuhusu tozo usiwapuuze ni wananchi WAKO, pengine Kuna umuhimu.

Tuitungie TOZO Sheria Ili kuilinda. Isiishie kesho baada ya wewe kupumzika uongozi 2030.

Ninakubali kabisa kwamba muundo na utaratibu wa TOZO ukipangiliwa vyema utaleta mafanikio makubwa sana Kwa taifa letu.

Niomba radhi kama nimekukwaza na kuwakwaza viongozi wangu.

MUNGU MBARIKI RAISI WETU, MUNGU IBARIKI SERIKALI NA TANZANIA, MUNGU WABARIKI HATA WALE WAPINGAJI WETU WAKUU WAJALIE MAISHA MAREFU ILI WAYASHUHUDIE MAFANIKIO YA MAMA, CCM NA TOZO HIZI WANAZOPINGA BILA HOJA.

NIBARIKI NA MM AFYA TELE ILI NIENDELEE KUWAELIMISHA WACHACHE WALIOACHWA NYUMA WASIOONA JUHUDI KUBWA ZA MAMA YETU KWA TAIFA LETU.
2025 ndio mwisho wa hawa CCM.
Mshauri ahame Chama

Amani
 
Nakushangaa unavyoilaumu awamu iliyopita kwa kufanya mambo isivyotakiwa wakati huyo unayemtetea alikuwa sehemu ya awamu hiyo.

Nakushangaa zaidi unapodai amebadilisha mambo kidemokrasia na kiuchumi, wakati mpaka leo bado hajaruhusu mikutano ya kisiasa, huku hizi tozo mpya za kila siku zikizidi kumuumiza mtanzania kiuchumi.
 
B9F1D6D9-BC7A-4005-8261-F60D7C4A77DD.jpeg
 
Mwenyezi Mungu awabariki wote.

Kiukweli ameirithi nchi ikiwa katika Hali mbaya sana, pia Dunia ikiwa KWENYE Hali ngumu sana kiuchumi kutokana na COVID-19.

Mama au mwanamke huyu kuliongoza taifa letu Hadi Sasa kufikia hapa ni uwezo mkubwa sana.

Madhara/ matokeo ya uongozi wa awamu ya Tano kiuchumi, kidemokrasia na kidiplomasia bado utaliathiri taifa hili Kwa kipindi Cha zaidi ya miaka 20 ijayo tusipochukua juhudi za makusudi kurekebisha na mama Hilo liko mikononi mwako.

Ninaunga mkono tozo lkn kuwe na ufafanuzi unaoeleweka Kwa wananchi kuhusu faida au miradi inayojengwa na tozo hizi.

Ninaamini mama una Nia njema KWENYE jambo hili lkn kuwa makini na watendaji WAKO wanaweza wakafanya hovyo na hatutakuwa na WA kumlaumu zaidi Yako.

SI vibaya mkirekebisha baadhi ya mambo kadhaa kuhusu tozo. Mama yetu Hali ni ngumu korona imeathiri vipato vyetu sisi wananchi WAKO.

Wachache wanaolia kuhusu tozo usiwapuuze ni wananchi WAKO, pengine Kuna umuhimu.

Tuitungie TOZO Sheria Ili kuilinda. Isiishie kesho baada ya wewe kupumzika uongozi 2030.

Ninakubali kabisa kwamba muundo na utaratibu wa TOZO ukipangiliwa vyema utaleta mafanikio makubwa sana Kwa taifa letu.

Niomba radhi kama nimekukwaza na kuwakwaza viongozi wangu.

MUNGU MBARIKI RAISI WETU, MUNGU IBARIKI SERIKALI NA TANZANIA, MUNGU WABARIKI HATA WALE WAPINGAJI WETU WAKUU WAJALIE MAISHA MAREFU ILI WAYASHUHUDIE MAFANIKIO YA MAMA, CCM NA TOZO HIZI WANAZOPINGA BILA HOJA.

NIBARIKI NA MM AFYA TELE ILI NIENDELEE KUWAELIMISHA WACHACHE WALIOACHWA NYUMA WASIOONA JUHUDI KUBWA ZA MAMA YETU KWA TAIFA LETU.
Mnaongea utumbo! Tatizo ni kuwa mama alifuata ushauri wa mpuuzi Tundu Lissu kuwa asiwekeze katika vitu ila awekeze katika watu! Unlike JPM aliwekeza katika vitu, ukiwekeza katika vitu impact inaonekana hata kwa mtoto mdogo ila ukiwekeza kwa watu, it’s a flying goal maana huwezi kuwa na tangible output kwa muda mfupi na ukumbuke watanzania hatuna shukrani. Mama kaboresha Afya, elimu etc wakati JPM aliangalia infrastructure ambayo inajionesha wazi
 
Yaani udhaifu wa uongozi wa huyu mama unahusiana vipi na Magufuli?

Mnajitajidi kujaribu kuficha udhaifu wa hii Serikali kwa kuhamisha lawama kwa mtu mwingine lakini ukweli unabaki pale pale kwamba hapa tumepigwa changa la macho, hakuna kitu
 
Raia Samia kuacha unafiki lazima aambiwe ukweli ulio wazi na usio tia Shaka kabisa kwamba anauwezo mdogo hivyo akili kubwa baadhi washa jua hilo hivyo wanachanga karata zao vema kabisa,ndio maana jambo hilo hata Prof Assad kasha wahi sema "60% viongozi wa serikali wanauwezo mdogo"Prof Assad
 
Umejitahidi kumpamba ila ukweli hajui kuongoza na hana mipango amalizie aliporithi apishe wengine
 
Umejitahidi kumpamba ila ukweli hajui kuongoza na hana mipango amalizie aliporithi apishe wengine
Upo sahihi ila hakuna Mwingine zaidi ya Hussein Mwinyi from 2025 mpaka 2035.

Ata yeye mwenyewe anajua shida yake ni kuachana na wahuni aliowaamini kwanza akidhani wanamtakia mema, kumbe wanamaslahi yao.

Mungu mpe nguvu maza ya kuwamudu wahuni.
 
Back
Top Bottom