kipozi JF-Expert Member Jan 23, 2015 1,315 1,695 Jun 10, 2017 #21 Au uchawi huo iv mtu unakuaje mchafu kiasi cha kua na kunguni ndani
The Businessman JF-Expert Member Jan 9, 2014 7,404 9,234 Jun 10, 2017 #22 uporo wa wali ndondo said: unajua kwamba kunguni na mende sometimez wanazaliwa kwa sababu ya umasikini na sio uchafu..... Click to expand... Wanazaliwaje kwasababu ya umaskini mkuu? Kunguni na membe ni uchafu tu wa mtu binafsi na sio eti umaskini ndio kisababishi!
uporo wa wali ndondo said: unajua kwamba kunguni na mende sometimez wanazaliwa kwa sababu ya umasikini na sio uchafu..... Click to expand... Wanazaliwaje kwasababu ya umaskini mkuu? Kunguni na membe ni uchafu tu wa mtu binafsi na sio eti umaskini ndio kisababishi!
maroon7 JF-Expert Member Nov 3, 2010 11,144 15,143 Jun 10, 2017 #23 Kama sio Diamond basi Alikiba..... japo nauhakika huwezi kwenda kwa Diamond
GENTAMYCINE JF-Expert Member Jul 13, 2013 56,516 108,791 Jun 10, 2017 Thread starter #24 NguoYaSikuKuu said: Uzi wa kipuuzi. Click to expand... Niongezee lingine tafadhali!
Mahondaw JF-Expert Member Apr 9, 2013 61,904 155,967 Jun 10, 2017 #25 Smart911 said: Inasikitisha sana... Uchafu ni tabia... Uchafu ni kilema Cc: mahondaw Click to expand... Masharti ya waganga nayo sometimes sio kabisa
Smart911 said: Inasikitisha sana... Uchafu ni tabia... Uchafu ni kilema Cc: mahondaw Click to expand... Masharti ya waganga nayo sometimes sio kabisa
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,039 141,826 Jun 10, 2017 #26 mahondaw said: Masharti ya waganga nayo sometimes sio kabisa Click to expand... Ni kweli mahondaw wangu... Kuja watu wanaishi kwa masharti sana, mpaka huruma...
mahondaw said: Masharti ya waganga nayo sometimes sio kabisa Click to expand... Ni kweli mahondaw wangu... Kuja watu wanaishi kwa masharti sana, mpaka huruma...
Myahudi Jr II JF-Expert Member Jan 7, 2016 6,703 8,481 Jun 10, 2017 #27 Joseverest said: Hahaha ni nani huyo mkuu Click to expand...
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,985 69,370 Jun 10, 2017 #28 Tombstone Piledrive said: View attachment 522083 Click to expand... Hongera mkuu
sergio 5 JF-Expert Member May 22, 2017 8,679 9,374 Jun 10, 2017 #29 Uongo mtupu ww msanii gan mwenye akili timamu akukubarie kwenda kwake ww mbambaishaji