Watanzania tunapendwa na serikari yetu na tunapendana kama anavyotuhakikishia mkuu wa kaya.Na uombe isitokee vita kati ya Tanzania na nchi yeyote ya jirani kwa sasa, maana hujaona bado chuki na mgawanyiko uliokolezewa moto na Serikali hii ya awamu ya 5.. Vita vya Kagera 1978 wananchi walikuwa wanajitolea (bila ya shuruti) mpaka vyombo vyao vya usafiri kwa sababu ya uzalendo.. Ikitokea vita sasa, nahisi majeshi yatakayotushambulia yatapewa mpaka hifadhi na baadhi ya wananchi wengi..
Wenye mapenzi mema na nafasi za uongozi, walifanyie kazi huu ni mpasuko mkubwa sana..