BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
1. Tunakoelekea vyama vyote vya upinzani vitakufa
2. Tutakuwa na chama kimoja tu, CCM, hivyo raia wote tutakuwa CCM
3. Wananchi watakuwa wapinzani ndani ya mioyo yao bila kuwa na vyama vya upinzani
4. Kwakuwa nchi nzima tutakuwa CCM na tuna maumivu ndani ya mioyo yetu hivyo upinzani utaongezeka
5. Kwakuwa wanachama wa CCM watakuwa wengi na vyeo vya kugawana (wanasiasa wenye tamaa) vitakuwa vichache hivyo siri za ndani ya chama zitakuwa zikivuja kwa urahisi sana
6. Kwamaana hiyo kutakuwa na mpasuko mkubwa sana ndani ya chama ambao utasaidia CCM kupoteza madaraka
7. Kama Zimbabwe walivyokuwa kitu kimoja ipo siku nasisi tutakuwa kitu kimoja na tutamuondoa mkoloni mweusi
Naamini kuna siku nitakufa lakini hii thread haitakufa kamwe.
2. Tutakuwa na chama kimoja tu, CCM, hivyo raia wote tutakuwa CCM
3. Wananchi watakuwa wapinzani ndani ya mioyo yao bila kuwa na vyama vya upinzani
4. Kwakuwa nchi nzima tutakuwa CCM na tuna maumivu ndani ya mioyo yetu hivyo upinzani utaongezeka
5. Kwakuwa wanachama wa CCM watakuwa wengi na vyeo vya kugawana (wanasiasa wenye tamaa) vitakuwa vichache hivyo siri za ndani ya chama zitakuwa zikivuja kwa urahisi sana
6. Kwamaana hiyo kutakuwa na mpasuko mkubwa sana ndani ya chama ambao utasaidia CCM kupoteza madaraka
7. Kama Zimbabwe walivyokuwa kitu kimoja ipo siku nasisi tutakuwa kitu kimoja na tutamuondoa mkoloni mweusi
Naamini kuna siku nitakufa lakini hii thread haitakufa kamwe.