Hivi kuwachia wabunge watusemeeee tuuu na sisi tumenyamaza mawaziri wanaendelea kudunda kila mbuge anaye siamama anaongea mpka anataka kupasuka na pesa ili fisidiwa si yetu watanzania mim nadahan kukaa kimya ni kuwavunja moyo sana tena sna wabunge watu wnye moyo mzuri