Wana JF
Nimetafakari kwa undani baadhi ya mambo yanayotukwamisha sisi kama Watanzania ni hii ya wengi wetu kuamini katika nguvu za giza (Ulozi). Tazama viongozi wetu katika michezo hawaamini ushindi bila kufanya ushirikina, tazama viongozi wetu wa kisiasa wanavyojihusisha na ushirikina na hata kufikia hatua ya kutangazwa wamewekewa ulinzi wa kishirikina. Kwa misingi hiyo ubunifu unatuishia tunatafuta njia za mkato za kufanikiwa kwa kuwa akili zinaduwazwa na ushirikina.
Nimetafakari kwa undani baadhi ya mambo yanayotukwamisha sisi kama Watanzania ni hii ya wengi wetu kuamini katika nguvu za giza (Ulozi). Tazama viongozi wetu katika michezo hawaamini ushindi bila kufanya ushirikina, tazama viongozi wetu wa kisiasa wanavyojihusisha na ushirikina na hata kufikia hatua ya kutangazwa wamewekewa ulinzi wa kishirikina. Kwa misingi hiyo ubunifu unatuishia tunatafuta njia za mkato za kufanikiwa kwa kuwa akili zinaduwazwa na ushirikina.