mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,851
Paskali Bhana...sasa ulipoamua kugombea ubunge ulitaka ukaibadili hii janja ya Chama chenu sio??Mkuu mkulima gwakikolo , kuna maswali mengine, kuwauliza baadhi ya watu sio kuwatendea haki!.
Naomba usinionee bure!.
Swali hili ni kama uko na rafiki yako, anamjua baba yako, halafu mko mbele ya watu, kuna mlevi mmoja watu wanancheka kwa kuzidiwa na kilaji, halafu rafiki yako anaona kabisa huyo ni mzee wako, halafu anakuuliza wewe mbele ya ule umati wa watu, ati yule mlevi ni baba yake nani vile?.
Wewe utajibu?. Mswali mengine sio ya kujibiwa, swali hili ungeniuliza mimi enzi zangu zile za maswali kama haya
Licha ya CCM kuwa chanzo cha umasikini, ujinga, rushwa na ufisadi, kwanini CCM bado huwa inashinda chaguzi mbalimbali?
Wanabodi, Declaration of Interest Mimi ni kada wa CCM, ila ni kada mzalendo, mwenye kutanguliza mbele maslahi ya taifa, kuliko maslahi ya chama changu CCM. Hili ni bandiko la swali, ambalo jibu lake nitawaletea siku ya Jumatatu, baada ya uchaguzi wa marudio wa majimbo ya Kinondoni na Siha, ila...www.jamiiforums.comKwanini CCM inaendelea kushinda chaguzi, licha ya kuwa ndio chanzo cha umasikini wa taifa letu, rushwa na ufisadi?!
Wanabodi. Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, zinazotoka kila siku ya Jumatatu kwenye gazeti la Raia Mwema, hili likiwa ni bandiko mwendelezo wa Licha ya CCM kuwa chanzo cha umasikini, ujinga, rushwa na ufisadi, kwanini CCM bado huwa inashinda chaguzi mbalimbali...www.jamiiforums.comndio ningekujibu.Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?
Pasco ..binafsi najua ni muendelezo wa De Docta Ignorantia, on learned ignorance Pasco bana Unatumia muda wako kujibizana na huyu aliyefukuzwa na Bavicha? I take this girl as political wh0re. Mkuu The Invincible, kusema ukweli, nimetokea tuu kukapenda sana haka kabinti!, kalipotimuliwa Chadema...www.jamiiforums.com
P