Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,067
- 3,193
Sioni hata sababu ya kuyaweka hapa coz hamkuwasikiliza Sasa hivi itasaidia nn. Ukisema niache Siasa hv huko bungeni tunaingia wananchi wote? Lazima ujue wananchi wanaweza kuwa na mawazo mazuri sana ila yasiwe na nguvu kwa sababu wapo wawakilishi wenye nguvu kubwa ya kupitisha mikataba ya maendeleo kuliko mm mwananchi. Nachoshauri wananchi tuwe nyuma ya wale wabunge wanaotoa maoni sahihi kuhusu Jambo Fulani na ikiwezekana tukosoe siriaz pale tunapoona mikata ya kijinga inapitishwa na wenye nchi.Sio lazima ulete siasa chonganishi unaweza kutuwekea hapa yaliyokuwa mapendekezo ya kambi ya upinzani juu ya uvunwaji wa gesi yetu na namna yatakavyotekelezwa ili kuleta faida nchini. Nchi ni yetu wote sio kwamba wapinzani ndio wenye akili kuliko wengine hapana hata wao nibinadamu wanakosea. Acha siasa leta mawazo yako mwenyewe hili nijukwaa watu wanaweza kujifunza na kuhamasika