mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,139
- 7,784
Prof Muhongo kwa uwaziri wake tu asingekuwa na mamlaka ya kuuza hivyo vitalu unavyovisema !! Labda kama alitumwa kufanya hivyo !!Mbona mambo yapo wazi siku nyingi tu,yule Profesa Muhongo akiwa waziri wa madini na nishati,alipokuwa anauza vitalo vya gesi kwa wageni ulitegemea nini?
Alipouza vitalo alitamba sana kuwa wazungu ndio wenye fedha.Badala ya TPDC kuwezeshwa gesi ikageuka laana.
Labda jambo muhimu ni kujua Huyo Professor aliuza vitalo vingapi na kwa makubaliano yapi.
Pili je mchango wa wamiliki hao kama hawaendelezi vitalo ni hatua gani za kisheria zinaweza kuchukuliwa?
Tatu,kama kweli wameuza gesi yote kwa wazungu mbona miaka yote ya utawala wa Mjomba Magufuli walikimbia ?
Tanzania imelaanika au tubadiri jina?