Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mko huko kisheria kwanini mjifiche? Pole sana best nadhani kutakuwepo na uharifu fulani umefanyika na wanawahisi wtz. Wakiwakamata msikubali kuongea kiingereza ongeeni kiswahili tena kwa spidi itawapunguza makali. Poleni tena bora nyie mnanyanyaswa ughaibuni wenzenu wamachinga wa ilala nchini mwao kila siku wako kwenye kwata mbiombio tu!Tunanyafa biashara mkuu!
I see poleni sana nadhani wanahongwa na wafanyabiashara wamalawi ili wawafanyie fujo. Zogo likitulia kidogo nendeni kwa balozi wetu huko mkamweleze kama uko mbali chat na watz walioko Blantyre wakamwone. Poleni sana huku kenya kidogo ukisema ni Mtz wanarudi nyuma hawasumbui sana. Labda wakikuhisi ni Alshabab au Mungiki!Hamna uharifu wowote ulitokea huwa wanaamua tu! Wakitukuta madukani wanatukamata na maduka wanayafunga week iliyopita walikuwa blantyre wamekamata watanzania wengi sana
Hapana mama siyo kuwapandisha chati kiingereza ndo ligha yao kuu ya mawasiliano ukiondoa lugha za makwao yao hii ndo inawaunganisha wote!Kiingereza chenyewe hao wamalawi wanakijua? msiwapandishe chati bwana.
Rudini nyumbani, malawi kuna nini huko? Au ndiyo mnabeba box?Jana usiku wamekuja kutugongea majumbani wamekamata watanzania nane, Hata uwe na paspot wanakuchukua hadi saiz tupo mafichoni!