Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mpaka wakimaliza ununuzi wa madiwani na wabunge na wakihakikisha hakuna wa kuwapinga bungeni na uraiani ndio hizi habari itakuwa mwisho kusikia mali za umma zinavyoliwa na ufisadi mkubwa katika awamu hii.
Ivi tunapoamua kushadadia bomba la mafuta kutoka uganda hadi Tanga ivi lile bomba letu la gesi linaingiza kiasi gani?
Ivi ile gesi tunapata kiasi gani kulipa mkopo wa zaidi ya tril 2.5 zilizotumika na ni mkopo toka benki ya Exim China? Na riba yake si itakuwa tunadaiwa zaidi ya tril 3.8?
Sasa hii gesi inasaidia nini zaidi ya mbwembwe za Kinyerezi nini kingine inafanya? Inaingizia taifa pato kiasi gani?
Nani mmiliki wa bomba hilo?
Ivi tunapoamua kushadadia bomba la mafuta kutoka uganda hadi Tanga ivi lile bomba letu la gesi linaingiza kiasi gani?
Ivi ile gesi tunapata kiasi gani kulipa mkopo wa zaidi ya tril 2.5 zilizotumika na ni mkopo toka benki ya Exim China? Na riba yake si itakuwa tunadaiwa zaidi ya tril 3.8?
Sasa hii gesi inasaidia nini zaidi ya mbwembwe za Kinyerezi nini kingine inafanya? Inaingizia taifa pato kiasi gani?
Nani mmiliki wa bomba hilo?