Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Wembe ni uleule, CCM ipo kutatua kero za wananchi na kuwaletea maendeleo wananchi.
Habari kuwa kuna wanasiasa walibaguliwa na kutengwa wakati wa utawala wa Hayati Magufuli ni kuleta porojo ambazo hazina mashiko.
Ni Mtanzania gani anataka umoja na wanasiasa ambao hawalitaki mema taifa lao kwa kila namna . Wapo tayari kuomba taifa lisipate msaada au litengwe bila sababu kisa tu maslahi yao yapatikane.
Taifa letu lipo madhubuti, kila mtanzania anajua Ccm ipo imara,japokuwa kuna changamoto. Habari za kutaka kukaa meza moja na Act wazalendo au Chademe ni kupoteza muda na rasilimali za watanzania.
Habari kuwa kuna wanasiasa walibaguliwa na kutengwa wakati wa utawala wa Hayati Magufuli ni kuleta porojo ambazo hazina mashiko.
Ni Mtanzania gani anataka umoja na wanasiasa ambao hawalitaki mema taifa lao kwa kila namna . Wapo tayari kuomba taifa lisipate msaada au litengwe bila sababu kisa tu maslahi yao yapatikane.
Taifa letu lipo madhubuti, kila mtanzania anajua Ccm ipo imara,japokuwa kuna changamoto. Habari za kutaka kukaa meza moja na Act wazalendo au Chademe ni kupoteza muda na rasilimali za watanzania.