Watanzania tunajifunza nini kwa yanayoendelea Israel na Gaza?

stakehigh

JF-Expert Member
Aug 9, 2019
6,184
3,145
- Kiukweli kabisa nmekua impressed na ule mfumo wa (IRON DOME) wa israel, na nadhani izi siasa za ajira ifike sehem ziwe na mwisho sasa, haiwezekani kila mwaka ombi kubwa la wasomi linakuaga ni ajira tu wakati kuna opportunities nyingi sana kwenye elimu unayopata peke yake.

- Ni tuseme kwamba watu hawaelimiki wakienda shule ama tatizo linakua wap? ile sera ya viwanda aliyoanza nayo magufuli ingetufikisha mbali sana kama nchi, sio viwanda vya mazao kama kelele za wapinzani zlivo bali services pia na taaluma.

Kwanini wasomi wetu wasije na maombi mfano tunataka kutengeneza defence system ya nchi yetu na mahitaji ni haya na haya then serikali ikaplay part the rest remaining?
 
Una maana kuwa tujiandae kutwangwa maroketi na wapalestina wa Pemba
Hapana namaanisha kwanini wasomi maombi ya kila mwaka yanakuaga ajira tu, haiwezekani kuchukua opportunity moja wakaipresent kma ombi serikalini badala ya ajira?
 
- Kiukweli kabisa nmekua impressed na ule mfumo wa (IRON DOME) wa israel, na nadhani izi siasa za ajira ifike sehem ziwe na mwisho sasa, haiwezekani kila mwaka ombi kubwa la wasomi linakuaga ni ajira tu wakati kuna opportunities nyingi sana kwenye elimu unayopata peke yake,

- Ni tuseme kwamba watu hawaelimiki wakienda shule ama tatizo linakua wap? ile sera ya viwanda aliyoanza nayo magufuli ingetufikisha mbali sana kama nchi, sio viwanda vya mazao kama kelele za wapinzani zlivo bali services pia na taaluma. Kwanini wasomi wetu wasije na maombi mfano tunataka kutengeneza defence system ya nchi yetu na mahitaji ni haya na haya then serikali ikaplay part the rest remaining?

Comments reserved
 
- Kiukweli kabisa nmekua impressed na ule mfumo wa (IRON DOME) wa israel, na nadhani izi siasa za ajira ifike sehem ziwe na mwisho sasa, haiwezekani kila mwaka ombi kubwa la wasomi linakuaga ni ajira tu wakati kuna opportunities nyingi sana kwenye elimu unayopata peke yake,

- Ni tuseme kwamba watu hawaelimiki wakienda shule ama tatizo linakua wap? ile sera ya viwanda aliyoanza nayo magufuli ingetufikisha mbali sana kama nchi, sio viwanda vya mazao kama kelele za wapinzani zlivo bali services pia na taaluma. Kwanini wasomi wetu wasije na maombi mfano tunataka kutengeneza defence system ya nchi yetu na mahitaji ni haya na haya then serikali ikaplay part the rest remaining?
KWANI VIWANDA VISINGEAJIRI?
 
KWANI VIWANDA VISINGEAJIRI?

vingeajiri yes, vp kama wasomi wengi wangekua na maombi tafauti na maombi ya kazi? hili tatizo lisingefika apa! na pia lazima ujue tupo katika katika karne ya Artificial intelligence, you expect less from ajira!
 
Irone dome gharama yake ni 1B US dolla

naelewa mkuu, hio ilikua kama inspiration tu kwa sababu nmefuatilia waliotengeneza nkajua ni israel wenyewe kama wenyewe, so kumbe inawezekana tukaachana na maombi ya ajira kila mwaka kukawa na maombi na kuimplement elimu tulizosomea mfano kutengeneza defence system ya nchi

-lakini pia as long wanaotengeneza ni watu wa ndan ya nchi kwa serikali haina effect because still ela itarudi kwao na wana full access na Tsh, rather than kwenda kununua nje
 
naelewa mkuu, hio ilikua kama inspiration tu kwa sababu nmefuatilia waliotengeneza nkajua ni israel wenyewe kama wenyewe, so kumbe inawezekana tukaachana na maombi ya ajira kila mwaka kukawa na maombi na kuimplement elimu tulizosomea mfano kutengeneza defence system ya nchi

Kwa uwezeshi wa akina nani
 
- Kiukweli kabisa nmekua impressed na ule mfumo wa (IRON DOME) wa israel, na nadhani izi siasa za ajira ifike sehem ziwe na mwisho sasa, haiwezekani kila mwaka ombi kubwa la wasomi linakuaga ni ajira tu wakati kuna opportunities nyingi sana kwenye elimu unayopata peke yake,

- Ni tuseme kwamba watu hawaelimiki wakienda shule ama tatizo linakua wap? ile sera ya viwanda aliyoanza nayo magufuli ingetufikisha mbali sana kama nchi, sio viwanda vya mazao kama kelele za wapinzani zlivo bali services pia na taaluma. Kwanini wasomi wetu wasije na maombi mfano tunataka kutengeneza defence system ya nchi yetu na mahitaji ni haya na haya then serikali ikaplay part the rest remaining?
Serikali yetu haina mpango wa kuwaendeleza wenye vipaji na utaalamu wa mambo ya technology na vitu mbali mbali, laiti kama wangeamua kufanya hivyo basi kama taifa tungekuwa na watu wenye upeo mkubwa sana.
Marekani hackers wakipatikana wanachukuliwa na kufanya kazi kwenye mashirika yahusuyo technology, Wenye vipaji vya hali ya juu vya utapeli pia.
Mfano mzuri Frank Abagnale ambaye alikuwa ni tapeli wa kiwango cha PhD walipomtia mikononi walimtumia kwa ajili ya kuwafundishia mashirika yao ya Intelijensia mbinu mbali mbali na hivi sasa anafanya FBI kama mshauri wa mambo ya kiulinzi.
 
Kwa uwezeshi wa akina nani

anything inahusiana na defence ya nchi hua hainaga mjadala ni straight implementation, zipo nyingi zimefanyika nnazozijua jeshini ingawa hua hazitangazwi , wasomi wanaweza kuchukua hii opportunity pia
 
_118496404_iron_dome_v2_640-2x-nc.png

Wenzao wanatumia binadamu wenzao kama ngao dhidi ya maadui, wanarusha roketi wakiwa hospitalini na mashuleni....hapo ndio ujue kuwa Mungu alishamaliza kazi yake!

("...hatushiriki uchaguzi wowote hadi kuwepo na tume huru ya uchaguzi..", tume huru zinagawiwa kama vyandarua vya msaada kutoka kwa watu wa Marekani?) Pigania tume ukiwa bungeni....dunia hii ukidemka unakuwa asusa kwenye food chain!
 
Serikali hii ya ccm Tanzania!! Kuanzisha tu biashara ndogo ya duka kuna utitiri wa gharama kabla hata hujaanza sembuse kufungua kiwanda kidogo,Tutaendelea kubwa wachuuzi tu mpaka mwisho wa dunia .
 
Hizo ni ishu za kijeshi Mkuu.

Hata huko Israel hiyo Iron dome haikutengenezwa na raia wa kawaida tu. Bali na watu walioiva kiteknolojia wakishirikiana na jeshi lao..

Lakini pia, elimu yetu ni wezeshi katika kuivisha vijana wenye ujuzi huo wa hali ya juu katika kutengeneza mfumo kama huo?

Serikali yetu ina fedha za kuwezesha kufadhili mfumo kama huo?

Sare tu za jeshi huruhusiwi kuvaa, iwe kutengeneza mfumo wa kukinga maroketi na mabomu ya kijeshi?

Hilo swala lingepelekwa jeshini. Fika Lugalo waulize ninyi mmefikia wapi??
 
- Kiukweli kabisa nmekua impressed na ule mfumo wa (IRON DOME) wa israel, na nadhani izi siasa za ajira ifike sehem ziwe na mwisho sasa, haiwezekani kila mwaka ombi kubwa la wasomi linakuaga ni ajira tu wakati kuna opportunities nyingi sana kwenye elimu unayopata peke yake,

- Ni tuseme kwamba watu hawaelimiki wakienda shule ama tatizo linakua wap? ile sera ya viwanda aliyoanza nayo magufuli ingetufikisha mbali sana kama nchi, sio viwanda vya mazao kama kelele za wapinzani zlivo bali services pia na taaluma. Kwanini wasomi wetu wasije na maombi mfano tunataka kutengeneza defence system ya nchi yetu na mahitaji ni haya na haya then serikali ikaplay part the rest remaining?
Kabla hatujaenda kwenye High tech industries tuanze na light industries,kwanza mpaka sasa hatuwezi kuzalisha mafuta ya kula ya kukidhi soko la ndani,sukari,viwanda vingi vinavyoanzishwa ni vya kutoa huduma,sio kutengeneza bidhaa,
Ebu fikiria kama tungekuwa tunatengeneza pikipiki hapa bongo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom