Watanzania tunaibiwa fumbueni macho!!

KAROSI

New Member
Apr 18, 2011
4
2
Nakumbuka nimesoma historia kwamba babu zetu walipewa nguo, vioo, shanga na pombe wakatoa pembe za ndovu, dhahabu na almasi, leo hii tunapewa neti tunatoa dhahabu ivi kweli serikali yetu kupitia viwanda vyake imeshindwa kutengeneza neti na kuwapa wananchi walau kwa bei nafuu hadi tuombe kwa Bushi kama sio wizi ni nini? Ivi kweli tuendelee kuamini kua aliekua rais wa marekani awamu iliyopita alikuja Tanzania kwa lengo la kutusaidia kutokemeza malaria?
 
Nakumbuka nimesoma historia kwamba babu zetu walipewa nguo, vioo, shanga na pombe wakatoa pembe za ndovu, dhahabu na almasi, leo hii tunapewa neti tunatoa dhahabu ivi kweli serikali yetu kupitia viwanda vyake imeshindwa kutengeneza neti na kuwapa wananchi walau kwa bei nafuu hadi tuombe kwa Bushi kama sio wizi ni nini? Ivi kweli tuendelee kuamini kua aliekua rais wa marekani awamu iliyopita alikuja Tanzania kwa lengo la kutusaidia kutokemeza malaria?

Bila shaka tunaibiwa kweli, 'barter trade' tunayoifanya na Bush ni ya kitoto na ya kinyonyaji kwa watanzania. Kwa taarifa zilizopo ni kuwa Bush kapewa machimbo ya madini ya Uranium katika wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma. Pia inasemekana uchimbaji wa madini hayo ulishaanza tokea muda mrefu ingawa wenyewe wanadai bado wanafanya utafiti na kwamba utafiti utamalizika mwaka 2013 ambapo ndio uchimbaji utaanza rasmi. Lakini kwa waliotembelea eneo lile la machimbo ambalo lina ulinzi mkali kupita kiasi, wanadai kila siku mapipa kadhaa yaliyokuwa 'sealed' ya Uranium yanabebwa kutoka katika eneo lile na kupelekwa Marekani moja kwa moja. Tena inasemekana hizo ndege hazitui sehemu yoyote nchini, zinafika kuchukua mzigo huo na kuondoka moja kwa moja kutokea maeneo hayo.

Kutokana na machimbo hayo, Bush katoa msaada wa kujenga barabara kutoka Songea mjini mpaka Namtumbo huko yaliko hayo machimbo na kutoka Songea mjini mpaka Mbinga, pia katoa msaada wa vyandarua ambavyo tunagaiwa nchi nzima. Kwa muonekano wa haraka ni kama msaada anaoutoa ni mkubwa kuliko anachopata katika machimbo yale hasa ukizingatia kauli za viongozi wetu ambao wanadai uchimbaji haujaanza. Inasemekana eneo hilo lina madini kiasi kikubwa, inashikilia nafasi ya pili kwa ukubwa barani Afrika.

Suala la kujiuliza;
  1. Bush anapata nini kwa misaada hiyo yote wakati uchimbaji haujaanza??
  2. Barabara anajenga za nini maeneo yale wakati ndio kwanza wapo kwenye utafiti??
  3. Taarifa zilizopo ni kuwa machimbo yale yaligunguliwa tokea enzi za utawala wa Mwl. Nyerere lakini akazuia uchimbaji kuanza ili vizazi vijavyo vije vinufaike na machimbo hayo, inakuaje wanatuambia wanafanya utafiti, tena wa muda mrefu katika machimbo ambayo yaligunduliwa kuwa yana madini??
  4. Kwa taarifa zilizopo pia ni kuwa eneo hilo ni la pili (2) AFRIKA kwa kuwa na madini ya Uranium kwa kiasi kikubwa. Je, msaaada huo unalingana kweli na thamani halisi kwa kipato atakachopata kutokana na mauzo ya madini hayo??
  5. Kama kila siku mapipa yaliyokuwa 'sealed' yanaondolewa katika maeneo yale, tunajuaje kama sio madini yanasafirishwa pale kimya kimya??
Watanzania tuukatae unyonyaji huu...!?
 
Nakumbuka nimesoma historia kwamba babu zetu walipewa nguo, vioo, shanga na pombe wakatoa pembe za ndovu, dhahabu na almasi, leo hii tunapewa neti tunatoa dhahabu ivi kweli serikali yetu kupitia viwanda vyake imeshindwa kutengeneza neti na kuwapa wananchi walau kwa bei nafuu hadi tuombe kwa Bushi kama sio wizi ni nini? Ivi kweli tuendelee kuamini kua aliekua rais wa marekani awamu iliyopita alikuja Tanzania kwa lengo la kutusaidia kutokemeza malaria?
mkuu achana na hizo neti. dhahabu zimeanza kuchimbwa zaidi ya miaka 15 iliyopita, net zina miaka isiyozidi 5. wapi na wapi. All in all inauma kuona nchi yetu ikikwapuliwa hivi hivi. hivi wadau ni lini tuingie mtaani ili wajue kwamba hizi ishu zinatuuma? yaani mimi hapa sielewe wajukuu zangu watakuja kufaidi nini na haya manyang'au. so sad.
 
halafu tunawashangaa wenzetu wa nchi za kiarabu jinsi walivyo matajiri! wao mafuta yaliyo kwenye nchi zao yanawafaidisha wao sie mali zetu za asili tunawaita watu toka nje waje wafaidike nazo sie tunabaki kufurahia vyandarua.mie nawapongeza wananchi wanaovifugia kuku.ndio maana ccm inang'ang'ania madaraka lakini hawajui ndio chuki dhidi yao inavyoongezeka.
 
Tuna laana gani sisi Watanzania jamani? Au tummwombe Malema wa South Africa aje afanye kazi hapa kama consultacy kwa miaka mitano, asafishe kutu hii kali??
 
Nakumbuka nimesoma historia kwamba babu zetu walipewa nguo, vioo, shanga na pombe wakatoa pembe za ndovu, dhahabu na almasi, leo hii tunapewa neti tunatoa dhahabu ivi kweli serikali yetu kupitia viwanda vyake imeshindwa kutengeneza neti na kuwapa wananchi walau kwa bei nafuu hadi tuombe kwa Bushi kama sio wizi ni nini? Ivi kweli tuendelee kuamini kua aliekua rais wa marekani awamu iliyopita alikuja Tanzania kwa lengo la kutusaidia kutokemeza malaria?
<br />
<br />
 
basi angalau angeua mazalia yote ya mbu kuwamaliza kabisa kama jinsi kwao kulivvyo.hata mie ningempa dhahabu.
 
Mbona wanawaua pia,mbona hamfumbui macho?
Nakumbuka nimesoma historia kwamba babu zetu walipewa nguo, vioo, shanga na pombe wakatoa pembe za ndovu, dhahabu na almasi, leo hii tunapewa neti tunatoa dhahabu ivi kweli serikali yetu kupitia viwanda vyake imeshindwa kutengeneza neti na kuwapa wananchi walau kwa bei nafuu hadi tuombe kwa Bushi kama sio wizi ni nini? Ivi kweli tuendelee kuamini kua aliekua rais wa marekani awamu iliyopita alikuja Tanzania kwa lengo la kutusaidia kutokemeza malaria?
 
Tuna laana gani sisi Watanzania jamani? Au tummwombe Malema wa South Africa aje afanye kazi hapa kama consultacy kwa miaka mitano, asafishe kutu hii kali??

mkuu we are good in consultation but implementation zake ndio laana..
 
Bila shaka tunaibiwa kweli, 'barter trade' tunayoifanya na Bush ni ya kitoto na ya kinyonyaji kwa watanzania. Kwa taarifa zilizopo ni kuwa Bush kapewa machimbo ya madini ya Uranium katika wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma. Pia inasemekana uchimbaji wa madini hayo ulishaanza tokea muda mrefu ingawa wenyewe wanadai bado wanafanya utafiti na kwamba utafiti utamalizika mwaka 2013 ambapo ndio uchimbaji utaanza rasmi. Lakini kwa waliotembelea eneo lile la machimbo ambalo lina ulinzi mkali kupita kiasi, wanadai kila siku mapipa kadhaa yaliyokuwa 'sealed' ya Uranium yanabebwa kutoka katika eneo lile na kupelekwa Marekani moja kwa moja. Tena inasemekana hizo ndege hazitui sehemu yoyote nchini, zinafika kuchukua mzigo huo na kuondoka moja kwa moja kutokea maeneo hayo.<br />
<br />
Kutokana na machimbo hayo, Bush katoa msaada wa kujenga barabara kutoka Songea mjini mpaka Namtumbo huko yaliko hayo machimbo na kutoka Songea mjini mpaka Mbinga, pia katoa msaada wa vyandarua ambavyo tunagaiwa nchi nzima. Kwa muonekano wa haraka ni kama msaada anaoutoa ni mkubwa kuliko anachopata katika machimbo yale hasa ukizingatia kauli za viongozi wetu ambao wanadai uchimbaji haujaanza. Inasemekana eneo hilo lina madini kiasi kikubwa, inashikilia nafasi ya pili kwa ukubwa barani Afrika.<br />
<br />
Suala la kujiuliza;<ol class="decimal"><li>Bush anapata nini kwa misaada hiyo yote wakati uchimbaji haujaanza??</li><li>Barabara anajenga za nini maeneo yale wakati ndio kwanza wapo kwenye utafiti??</li><li>Taarifa zilizopo ni kuwa machimbo yale yaligunguliwa tokea enzi za utawala wa Mwl. Nyerere lakini akazuia uchimbaji kuanza ili vizazi vijavyo vije vinufaike na machimbo hayo, inakuaje wanatuambia wanafanya utafiti, tena wa muda mrefu katika machimbo ambayo yaligunduliwa kuwa yana madini??</li><li>Kwa taarifa zilizopo pia ni kuwa eneo hilo ni la pili (2) AFRIKA kwa kuwa na madini ya Uranium kwa kiasi kikubwa. Je, msaaada huo unalingana kweli na thamani halisi kwa kipato atakachopata kutokana na mauzo ya madini hayo??</li><li>Kama kila siku mapipa yaliyokuwa 'sealed' yanaondolewa katika maeneo yale, tunajuaje kama sio madini yanasafirishwa pale kimya kimya??</li></ol>Watanzania tuukatae unyonyaji huu...!?
<br />
<br />
kwa taarifa tu mkuu uranium inayotoka pale ni bora kuliko uranium yeyote duniani na tukizalisha pale tutakuwa nchi ya pili duniani baada ya usa. Lakini kwa vichwa vyetu maji tumezidiwa akili hata na mababu zetu walio ping ukoloni na hata kufa wakizitetea nchi zetu. Jk kaonyesha kiwangop kidogo sana cha kufikiri Mungu atusamehe tulichagua kwa uzuri wa sura na si akili kichwani. Hata sis tunamatatizo upstairs.
 
HII NJI INAUWEZO KABISA WA KUGAWA VYANDARUA KILA KAYA KAMA ITAPUNGUZA AU KUONDOA MATUMIZI AMBAYO AMA HAYANA AU SI YA MUHIMU KWA SERIKALI,KWA NJI KAMA HII SION HAJA YA KUWA NA MA_v8 chungu mzima ambayo ni anasa zisizo na maana wala tija,unakuta eti upo daladalani unashangaa mmesmamisha muda mrefu et mnasubiri msururu wa likiongozi limetoka kupewa suti,magari yanatumia mafuta,madereva wanalipwa wapambe usiseme . wanapoteza mda wa raia kwenda kutengeneza hizo hela wanazotafuna bila aibu,i hate this goverment
 
Sisi ndio watanzania na tanzania ni yetu sote ! Tutatumia njia ipi kuijenga nchi yetu na kuwaondoa hawa baadhi ya watz wachache wanaonyonya nchi ye2. Maana wengi wetu tunaishia kusikitika tu uswahilini !
 
Sisi ndio watanzania na tanzania ni yetu sote ! Tutatumia njia ipi kuijenga nchi yetu na kuwaondoa hawa baadhi ya watz wachache wanaonyonya nchi ye2. Maana wengi wetu tunaishia kusikitika tu uswahilini !

Ikithibitika kuwa viongozi wanaruhusu au kushiriki katika wizi wa maliasili na utajiri wetu, ni haki kabisa kuanzisha uasi dhidi ya utawala wa namna hiyo ili kuiokoa jamii. Mashujaa wa jamii yoyote ni wale wanojitosa kuikomboa jamii husika dhidi ya utawala mbovu kivitendo.
Ni muhimu kufahamu kwamba watawala ni wachache, wanaishi kwa kutegemea wananchi maskini na wala siyo wananchi wanaowategemea viongozi na hivyo ni rahisi kuwashughulikia wanapofanya kinyume na matakwa ya jamii.
Gharama ya kuondoa viongozi ambao ni maadui wa uma kutokana na vitendo vyao ni kubwa, lakini ni lazima waondolewe ikithibitika kwamba wako kinyume na ustawi wa nchi.
Cha msingi kabla ya kuanza mapambano ni kujihakikishia pasipo shaka yoyote kwamba utawala au viongozi wahusika wanashiriki moja kwa moja au hawawajibiki kuzuia wizi wa rsilimali za nchi.
 
<br />
<br />
kwa taarifa tu mkuu uranium inayotoka pale ni bora kuliko uranium yeyote duniani na tukizalisha pale tutakuwa nchi ya pili duniani baada ya usa. Lakini kwa vichwa vyetu maji tumezidiwa akili hata na mababu zetu walio ping ukoloni na hata kufa wakizitetea nchi zetu. Jk kaonyesha kiwangop kidogo sana cha kufikiri Mungu atusamehe tulichagua kwa uzuri wa sura na si akili kichwani. Hata sis tunamatatizo upstairs.
Watanzania tuikatae CCM. Tuiondoe mamlakani kama sivyo tutajikuta uchi kama enzi za mababu zetu.
 
Nakumbuka nimesoma historia kwamba babu zetu walipewa nguo, vioo, shanga na pombe wakatoa pembe za ndovu, dhahabu na almasi, leo hii tunapewa neti tunatoa dhahabu ivi kweli serikali yetu kupitia viwanda vyake imeshindwa kutengeneza neti na kuwapa wananchi walau kwa bei nafuu hadi tuombe kwa Bushi kama sio wizi ni nini? Ivi kweli tuendelee kuamini kua aliekua rais wa marekani awamu iliyopita alikuja Tanzania kwa lengo la kutusaidia kutokemeza malaria?
mkuu karibu Jf!!!kwa taarifu za wanakijiji wanaonizunguka ni kwamba zile net za bush hazitoshi kufunika vitanda vyao na kuruhusu baba,mama na mtoto kulala kitanda kimoja kama ilivyo utamaduni wetu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom