Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,367
Kikwete alikuwa kiongozi bora lakini aliponzwa na upole wake.
Magufuli ni Rais Bora zaidi na ana kitu cha ziada ambacho ni ukali, busara, hekima, utulivu, uvumilivu, ujasiri, uwajibikaji, ubunifu na umakini.
Hizi ni ni sifa muhimu sana kwa mustakabali wa taifa letu ambalo lilijaa wazembe wengi, majizi, majambazi, mafisadi na kila aina ya ufedhuli.
Sasa Rais anainyoosha nchi na inanyoosheka japo mikunnjo kwenye baadhi ya maeneo hazikosekani.
Watanzania Tumshukuru Mungu kutuletea Rais wa aina hii na tuna kila sababu kumuombea usiku na mchana ili atimize ndoto zake za kuifanya Tanzania kuwa Donor Country na nchi ya viwanda.
Sio siri kwa sasa watu wanawajibika.
Leo hii wananchi wanakuwa na ujasiri wa kueleza kero zao hadharani bila ya kuogopa kushughulikiwa na viongozi na watendaji wa Serikali.
Leo hii viongozi wanajiuliza mara mbili mbili na kutafakari kwa kina kabla ya kufanya maamuzi.
Taifa linanyooka. Linaenda kwenye mwelekeo mzuri. Hii yote sababu ya ukali wa Rais.
Ukali unasaidia na unalipa
Magufuli ni Rais Bora zaidi na ana kitu cha ziada ambacho ni ukali, busara, hekima, utulivu, uvumilivu, ujasiri, uwajibikaji, ubunifu na umakini.
Hizi ni ni sifa muhimu sana kwa mustakabali wa taifa letu ambalo lilijaa wazembe wengi, majizi, majambazi, mafisadi na kila aina ya ufedhuli.
Sasa Rais anainyoosha nchi na inanyoosheka japo mikunnjo kwenye baadhi ya maeneo hazikosekani.
Watanzania Tumshukuru Mungu kutuletea Rais wa aina hii na tuna kila sababu kumuombea usiku na mchana ili atimize ndoto zake za kuifanya Tanzania kuwa Donor Country na nchi ya viwanda.
Sio siri kwa sasa watu wanawajibika.
Leo hii wananchi wanakuwa na ujasiri wa kueleza kero zao hadharani bila ya kuogopa kushughulikiwa na viongozi na watendaji wa Serikali.
Leo hii viongozi wanajiuliza mara mbili mbili na kutafakari kwa kina kabla ya kufanya maamuzi.
Taifa linanyooka. Linaenda kwenye mwelekeo mzuri. Hii yote sababu ya ukali wa Rais.
Ukali unasaidia na unalipa