Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,396
- 6,363
Wamau.....ndio mnyama gani?
Nitamkumbuka kwa kumshambulia TL kwa risasi 38
Weka ushahidi, mmekalia majungu tu.
Ushahidi ni: Tangu TL APIGWE RISASI VIUNGA VYA BUNGE HUKO DOM HAKUNA YEYOTE ALIYEKAMATWA KIHUSIANA NA JARIBIO HILO LA MAUAJI. Lakini pia kuna kitu Wanasheria huita CIRCUMSTANCIAL EVIDENCE yaanu ushahidi wa KIMAZINGIRA WAKTI WA TUKIO ambao unsmtia hatiani mtuhumiwa… in this respect the Government itself……Upo??
Rais wa ovyo haijapata kutokea..Dhulma ipi wewe ni Lijizi tu huna lolote
Watanzania waipendayo nchi hii lazima wamkumbuke Rais Magufuli
UTAMKUMBUKA WEWE,MKEO NA WATOTO WAKO. USIPENDE KUJUMUISHA KILA MTU MAANA SIO WOTE WANAOMPENDA HUYO MAGUFURI WAKO.Dhulma ipi wewe ni Lijizi tu huna lolote
Watanzania waipendayo nchi hii lazima wamkumbuke Rais Magufuli
Haikuwa ahadi yake ya kuondoa annual increament kwa lugha nyingine ni kweli aliwalaghai watumishi wakati wa kampeni zake na hata baada ya kutaka kuwaondoa watumishi feki ndipo atimize ahadi yake lakini bado hakufanya.Mkuu mbona watu wanapewa increments za performance na kupandishwa madaraja kama kawaida?Ambacho ameondoa ni ilie ya kupandiha kima cha chini cha mshahara ambayo ilikuwa inasukuma sana inflation.Kama kuna uongo kwenye hili naomba mfanyakazi yeyote wa serikali aseme hapa kama watu hawapandishiwi mishahara kwa kutumia madaraja na utendaji kazi.
Kuna watu walikimbilia mahakamani,wakafungua kesi kabla ya zoezi la bomoa bomoa,na mahakama ikatoa zuio la kubomoa nyumba hizo mpaka mashauri ya msingi yatakapokamilikaNi kweli kupoteza makazi kunatia Presha ila watu walifuata barabara kulikuwa hakuna namna zaidi ya kuwatoa wapishe maendeleo.Kama wanahisi hawakutendewa haki wanaweza kufungua kesi mahakamni kudai haki yao.Au hamkupenda barabara itengenezwe ipendeze?
Hapa amefanya vizuriMkuu kwenye kodi,watu walikuwa hawalipi kodi,wanafanya biashara kwa ujanja ujanja na kukwepa kulipa kodi kubwa huku wakihonga watumishi wa TRA.Yeye kaamua kwamba kila mtu alipe kodi ili nchi ipate mapato halali sidhani kama unaelewa hilo mkuu.
Ingekuwa hawakuhusikaMkuu swala la Tundu Lisu bado halijathibitika kwa hakika ni nani waliohusika.Binafsi nafikiri inawezekana kabisa waliofanya hivyo walitaka ionekane kwamba ni serikali ilifanya tukio hilo.Kulikuwa na njia nyingi za kumnyamazisha bila kutumia nguvu kubwa ila kwa sababu lengo lilikuwa kuleta taharuki waliamua kutumia mbinu hio chafu.Ni namna moja ya kulitazama hilo
"CCM kumejaa majizi na mafisadi na kila nikitaka kuyataja majina yao nakatazwa na wakubwa wa chama" by PolepoleDhulma ipi wewe ni Lijizi tu huna lolote
Watanzania waipendayo nchi hii lazima wamkumbuke Rais Magufuli
Hapa Umejibu kama mshenzi.Uchunguzi huru wa kuchunguza nini?Unafikiri polisi hawajafanya uchunguzi?Tatizo hawajafanya arrests kwa sababu hakukuwa na taarifa za kuwawezesha kuanza uchunguzi zaidi ya hisia tu kwamba ni serikali.Iwapo Lisu atarejea nchini naamni kabisa kwamba atatoa mwanga wa yaliyojiri siku ya tukio na wahusika watatiwa nguvuni
Yes tungekuwa mbali sana kama Zimbabwe.Baada ya awamu ya Kwanza, Marais waliofuata wangesimamia Misimamo kama ya Magufuli tungekuwa mbali sana kimaendeleo, japo ufisadi haujaisha kabisa
Watu wa mwanza waliofutaa barabara alisema wasivunjiwe nyumba zao kwasababu walimpa kura nyingi.Ni kweli kupoteza makazi kunatia Presha ila watu walifuata barabara kulikuwa hakuna namna zaidi ya kuwatoa wapishe maendeleo.Kama wanahisi hawakutendewa haki wanaweza kufungua kesi mahakamni kudai haki yao.Au hamkupenda barabara itengenezwe ipendeze?