small mind
Senior Member
- Jun 1, 2012
- 129
- 58
- Thread starter
- #21
Ni kweli kupoteza makazi kunatia Presha ila watu walifuata barabara kulikuwa hakuna namna zaidi ya kuwatoa wapishe maendeleo.Kama wanahisi hawakutendewa haki wanaweza kufungua kesi mahakamni kudai haki yao.Au hamkupenda barabara itengenezwe ipendeze?Kwa kweli moja kati ya vitu ambavyo hatutakuja kumsahau ni
Bomoa bomoa kwa wakazi wa kimara na mbezi watu wengi wamekufa kwa presha