Watanzania, tumpongeze Yusuf Manji kwa kuwa mzalendo na kurudi nyumbani. Rais Samia asichelewe, amuite Ikulu wazungumze

Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.
Awaite wawekezaji wote wakubwa wazalendo aongee nao mf. Bakhresa,Manji,Dewji, zully Nanji, Gachuma,Ndagote, Rostam, Abood. Twiga ciment, nk kisha kikao kingine awaite wawekezaji wa kati kwa makundi mf viwanda, mahoteli, madini, ujenzi,mahospitali, mashule, kilimo, uvuvi, na mifugo. Baadaye awaite wafanya biashara wadogo. Hii itasaidia sana kurudisha imani.
 
In fact Manji sio muwekezaji, ni mwizi.

Magufuli made a lot of terrible decisions lakini kwa Manji Magufuli was right, he did the good thing.

Kama ingekua inaruhusiwa ku disclose facts kama court cases and disputes za taasisi za serikali ambazo Manji alilipwa hela na akagoma kutoa huduma, billions of Money humu, mtampiga mawe Manji.

Ndio maana Manji alikua na team ya wanasheria zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali ili kujilinda na kumlinda dhidi ya wizi wote aliokua anafanyia taasisi za serikali.

Manji sio muwekezaji, ni mwizi.
Naona bashite umeingia kazini kufanya propaganda za kumchafua manji kwa his comeback makes you sick!
 
Manji kuna mkubwa alimkanyagia tu apotee kabisa nchini,kisa mambo ya mpira,halafu huyo akamsafisha hans pope ambaye nae alikimbia kiasi hadi mkuu wa takukuru kuanza kumtafuta kwa kupitia interpol,jamaa akasafishwa akarudi nchini,akalala zake central siku 1
 
Kama mwekezaji anarudi ni kiashiria kizuri kuelekea kuifufua sekta binafsi ili ishike nafasi yake kama injini ya uchumi wa nchi, na hivyo kuwa mwarobaini wa ajira kwa vijana, angalizo tu wawekezaji washirikiane na serikali kwenye kutoa kodi na tozo stahiki ili kusitokee rabsha ambazo wakati mwingine huleta sintofahamu za hapa na pale.....

Naona bashite umeingia kazini kufanya propaganda za kumchafua manji kwa his comeback makes you sick!
Hakika Mkuu ,wafanyabiashara ni watu muhimu sana katika kuchangia uchumi wa nchi ,wao ndio wanaleta maendelea ,kitendo cha JIWE/DAB "Kumfanizia" manji ilikuwa haijakaa sawa.

Manji chonde chonde rudisha majeshi uje kuinua uchumi wa TZ....Washamba washaondoka serikalini.

Wezi wote wanafahamu maeneo yao ya wizi. Huyu karudi anajua kuna mabwege kama wewe mutashangilia. Nchi gani ya maana ataweza kuishi kwa wizi?
 
Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.
Mkuu Ikulu ni mahala patakatifu na si pango la wachuuzi,walanguzi na wafanya biashara, kazi za mawaziri ni zipi, tujirejeshe na hotuba za Mwalimu Nerere wakati enzi za Mwinyi wahindi walipiga kambi ikulu. Ushauri wenu utampeleka pabaya mama yetu.
 
Yule mwendazake muongiza kwa chuki hakuwa rafiki wa yeyote kama alivyokuwa anajinadi maana hao wanyonge ndio walionyongwa zaidi. ASANTE MUNGU KWA KUTUWEKEA KUFO, potelea mbali
 
Legacy ya mwendazake na bashite inazidi kupotea nimeona wana utopolo wanashangilia kweli wamekataa kuenzi legacy ya mwendazake kumtesa Manji.

Anyway ni faida kwa wakulima wa mbaazi sasa mnunuzi karudi.
Bro unakumbusha watu machungu mwaka manji anazinguliwa mbaazi iliuzwa 50 kilo kutoka 2500.kweli mungu mkubwa watesi Leo chali
 
Wezi wote wanafahamu maeneo yao ya wizi. Huyu karudi anajua kuna mabwege kama wewe mutashangilia. Nchi gani ya maana ataweza kuishi kwa wizi?

Manji sio mwizi wewe ,soma historia ya manji kwanza,kuanzia babu yake,baba yake na yeye wote wana pesa!
 
Hawa waonee huruma tu! Kuna watu hapa wanaandika mambo hadi unaogopa gharama ya kuwa na akili ndogo. Mtu analeta thrd ya kumtetea Manji na usalama wake wakati yeye hajui hata ana usalama gani. ni ubwege tu unatusumbua.
Kwani wewe una pesa ngapi ili uone wivu mtu mwingine akitetewa.tafuta nawewe ela ili upate wafuasi wakukutetea vinginevyo ni wivu tu wakijinga unakusumbua.
 
In fact Manji sio muwekezaji, ni mwizi.

Magufuli made a lot of terrible decisions lakini kwa Manji Magufuli was right, he did the good thing.

Kama ingekua inaruhusiwa ku disclose facts kama court cases and disputes za taasisi za serikali ambazo Manji alilipwa hela na akagoma kutoa huduma, billions of Money humu, mtampiga mawe Manji.

Ndio maana Manji alikua na team ya wanasheria zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali ili kujilinda na kumlinda dhidi ya wizi wote aliokua anafanyia taasisi za serikali.

Manji sio muwekezaji, ni mwizi.
Huo ndio ukweli asilimia mia moja,Magufuli licha ya matatizo yake kama binadamu ila kwa uyu muhindi alikuwa sahihi,Manji ni tapeli la kimataifa,ila kwakuwa nchi hii kila mtu anapambania tumbo lake,watamshangilia na kumsifu eti ni muekezaji!!!!
 
In fact Manji sio muwekezaji, ni mwizi.

Magufuli made a lot of terrible decisions lakini kwa Manji Magufuli was right, he did the good thing.

Kama ingekua inaruhusiwa ku disclose facts kama court cases and disputes za taasisi za serikali ambazo Manji alilipwa hela na akagoma kutoa huduma, billions of Money humu, mtampiga mawe Manji.

Ndio maana Manji alikua na team ya wanasheria zaidi ya 50 kutoka nchi mbalimbali ili kujilinda na kumlinda dhidi ya wizi wote aliokua anafanyia taasisi za serikali.

Manji sio muwekezaji, ni mwizi.
Una uhakika au umekaririshwa.si mlifungua hadi mahakama ya mafisadi ikawaje sasa leo mnaongea mambo as if nchi haina sheria na mahakama.
 
Kwanza jiulize alikwenda wapi? Huko alikokuwa ni kama nani. Ukishafahamu kwamba huyu ni mchumaji mali tu na kuondoka ndo utaelewa ujimnga wako. Kuna watu muna ujinga wa kudumu! Yaani nchi ya watu milioni 60 inahangaika na mtu mmoja. Muhindi! Unaamini Manji ni muhimu sana! unaamini Yanga ni kitu muhimu sana!
Ukitafakali vipaumbele vya baadhi ya watanzania!!!Kuna watu nchi hii ni wajinga wa kula mavi!!Uyo muhindi amefanya ufisadi wa kutisha,leo kuna majitu yanashangilia ngozi nyeusi sijui tuna rahana gani,?!!
 
Back
Top Bottom