Watanzania, tumpongeze Yusuf Manji kwa kuwa mzalendo na kurudi nyumbani. Rais Samia asichelewe, amuite Ikulu wazungumze

Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.
Utopolo kwenye ubora wenu
 
Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.
Kwani Manji ana changamoto gani? Alikuwa na changamoto na bashite na mwendazake tu!!!
 
Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.
Naunga mkono hoja kwa 100%
 
Nikiwa mfanyibiashara Japo sio mkubwa, ila mwenye upeo naunga hoja zako kwa asilimia 100%.

Pia, nikiwa kama mshabiki wa Simba lakini mwenye mapenzi na Mpira wa miguu, namkaribisha Manji nyumbani. Naamini atawasaidia Sana watani wangu Yanga.

Karibu sana Manji, karibu nyumbani.

WANANCHI haswa wafanyabiashara wa kada za chini mnatakiwa muwapende hawa wafanyabiashara wakubwa kwa sababu hawa wakifanya BIASHARA zao vizuri zikikua na wewe wa chini kama una akili timamu utapanda tuu. Kuwachkua hawa no ushamba wa kiwaangi cha juu sana, na wivu wa kijinga. Hawa ndo wanaleta mzunguko wa fedha, hivyo tuwapende na tuwaombee kwa MUNGU, wasiondoke tena hapa nchini.
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Sukuma Ganga wanune ama wacheke lakini hii ndiyo hali halisi - wajifunze maisha mapya ndani ya CCM..!! Welcome back home Mr. Manji... Yule mfuga paka kashaondoka ila paka bado yupo hana madhara yoyote kwa sasa.
Na ww PANYA jichunge sana utapitiwa na huyo paka unayemsema hahahahahah
 
Mimi naona hata asipolipa kodi sawa ,kama akiweza kutoa ajira million 8 ,ambazo hizi takataka ccm zimekuwa zikitoa ahadi hewa ,basi apewe na ulinzi kabisa ...


Miaka mitano tunateseka tuu ,no ajira ,hakuna kuongeza mishahara ,biashara ngumu ,yale magenge ya dodoma ni kusisituza tu watu wajiajiri bila mazingira wezeshi...

Apewe na aridhi bure kabisa ...

Nasema uongo ndugu zangu
Shudu
 
Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.
Kwanza jiulize alikwenda wapi? Huko alikokuwa ni kama nani. Ukishafahamu kwamba huyu ni mchumaji mali tu na kuondoka ndo utaelewa ujimnga wako. Kuna watu muna ujinga wa kudumu! Yaani nchi ya watu milioni 60 inahangaika na mtu mmoja. Muhindi! Unaamini Manji ni muhimu sana! unaamini Yanga ni kitu muhimu sana!
 
Kwanza jiulize alikwenda wapi? Huko alikokuwa ni kama nani. Ukishafahamu kwamba huyu ni mchumaji mali tu na kuondoka ndo utaelewa ujimnga wako. Kuna watu muna ujinga wa kudumu! Yaani nchi ya watu milioni 60 inahangaika na mtu mmoja. Muhindi! Unaamini Manji ni muhimu sana! unaamini Yanga ni kitu muhimu sana!
Na kama huko haliko kungekua kuna masali asingerudi.
 
Usalama?

Ngoja tutafakari haya yafuatayo:

kwani yeye ana shida gani na vyombo vyetu na ulinzi na usalama? Je wafanya biashara wote walipiga hodi ikulu ili kutamkiwa na kuhakikishiwa usalama na rais? Yeye ana upekee upi ambao inalazimu rais amhakikishie usalama?
Hawa waonee huruma tu! Kuna watu hapa wanaandika mambo hadi unaogopa gharama ya kuwa na akili ndogo. Mtu analeta thrd ya kumtetea Manji na usalama wake wakati yeye hajui hata ana usalama gani. ni ubwege tu unatusumbua.
 
Habari wadau!

Kuna siku nilishawai ku comment humu kwamba uwepo wa mfanyabiashara Yusuf Manji una umuhimu mkubwa sana katika Taifa hili, hivyo nikashauri Mama Rais Samia Hassan amuombe Manji arudi, hatimaye sasa Manji amerejea nyumbani.

Hakika Manji ni Mtanzania mzalendo. Yaani licha ya yote yaliyomkuta na kukaa ughaibuni miaka mingi bado hakusahau nyumbani na sasa amerudi kuwekeza nyumbani.

Kwa wasiomjua Manji watabeza lakini huyu mtu ni muhimu sana katika kipindi kama hichi ambacho Rais Samia anataka kuboresha ueekezaji, kukuza uchumi na kutekeleza ilani ya chama kwa kutoa ajira million nane.

Sasa ni muda wa mama Rais Samia Hassan kumuita Manji Ikulu na kumsikiliza ana changamoto zipi ili serikali imsaidie aweze kuwekeza tena nchini.

Manji pia ni mpenzi mzuri wa mpira wa miguu ila kwa pande huu sitaki kumsemea.

Karibu sana nyumbani Mtanzania mzalendo Yusuf Manji.

Hakika Mkuu ,wafanyabiashara ni watu muhimu sana katika kuchangia uchumi wa nchi ,wao ndio wanaleta maendelea ,kitendo cha JIWE/DAB "Kumfanizia" manji ilikuwa haijakaa sawa.

Manji chonde chonde rudisha majeshi uje kuinua uchumi wa TZ....Washamba washaondoka serikalini.
 
Kama mwekezaji anarudi ni kiashiria kizuri kuelekea kuifufua sekta binafsi ili ishike nafasi yake kama injini ya uchumi wa nchi, na hivyo kuwa mwarobaini wa ajira kwa vijana, angalizo tu wawekezaji washirikiane na serikali kwenye kutoa kodi na tozo stahiki ili kusitokee rabsha ambazo wakati mwingine huleta sintofahamu za hapa na pale.....
 
Back
Top Bottom