Kama maji ya bomba, ni msamiati kwa watanzania wengi.
duh, mi naona kimya tu. Kipindi wanataka bajeti ipite waliachia umeme wa kumwaga. Sasa hivi ukizungumzia kuhusu mgao wa umeme kwenye daladala, watu wanakushangaa, tena wanakuona wa ajabu kweli.
Jamani, mimi naona hili tatizo limekuwa sugu mpaka tumezoea maumivu. Sijaona efforts zozote kukabiliana na hili tatizo.
Subiri tumalize ya Igunga - halafu tutrudi kujadili Mgao wa Umeme!
Jamani, mimi naona hili tatizo limekuwa sugu mpaka tumezoea maumivu. Sijaona efforts zozote kukabiliana na hili tatizo.
duh, mi naona kimya tu. Kipindi wanataka bajeti ipite waliachia umeme wa kumwaga. Sasa hivi ukizungumzia kuhusu mgao wa umeme kwenye daladala, watu wanakushangaa, tena wanakuona wa ajabu kweli.