Watanzania tumerogwa? Hivi kati ya pure gold na mchanga kipi kilitakiwa tukijengee hoja? tunapotezwa

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Habari!

Hivi kweli tunasimama tunasema tunaibiwa mchanga wa madini kweli hatujarogwa kweli?

Hivi pure gold wanayosafirisha mpaka leo tena na viwanja vya ndege migodini hatulioni tunaona mchanga wenye asilimia 30% ya mabaki badala ya kudeal na 70% ya pure gold ambayo hatuambulii kitu?

Hivi hatujarogwa kweli?

1. Hivi kwanini waliosaini au kama tunaipenda nchi si iwekwe wazi mikataba ya madini na gesi wazi tuisome wote mnaficha nini?

2. Walitunga mikataba na kuisaini wako wapi mpaka sasa?

3. Walio pitisha hizo sheria wako wapi?

4. Walikuwa wanasimamia wako wapi?

5. Kwani mlilazimishwa kuingia hiyo mikataba kwanini msijitoe ijulikane moja?
 
Return of Undertaker,
Una hoja za msingi. Mimi ntakuja kuchangia baadae kwa sasa napita tu. Lakini najua Mafisiccm watakuja hapa kutoa povu kutokubaliana na hoja hizi wakti Serikali yao ndiyo iliyotufikisha hapa kwenye mikataba ya madini. So sad!!!
 
Return Of Undertaker,
Una hoja za msingi sana. Kwa sasa mimi napita tu ntakuja kuchangia baadaye. Lakini najua Mafisiccm watakuja hapa kupinga kwa kutoa povu wakti Serikali yao ndo imetufikisha hapa kwenye Mikataba ya Madini. So sad!!!
 
Umenifikirisha upya kwa kweli!

Mikataba iliyopo tunapata asilimia 3 ya mapato na hili wamesaini viongozi wetu, hapo ni tumejiibia wenyewe. Hapa huenda ni zaidi ya asilimia hizo tunapata haiingii akilini kabisa kuwa mali ni yetu sisi tupate kiasi hicho ambacho ni sawa na hakuna.

Bado mchanga nao tunaibiwa hii hatari.

Why sisi Waafrika tupo hivyo? Hatuendelei kwa kuwa kila kitu kina figisu.
 
Habari!

Hivi kweli tunasimama tunasema tunaibiwa mchanga wa madini kweli hatujarogwa kweli?

Hivi pure gold wanayosafirisha mpaka leo tena na viwanja vya ndege migodini hatulioni tunaona mchanga wenye asilimia 30% ya mabaki badala ya kudeal na 70% ya pure gold ambayo hatuambulii kitu?

Hivi hatujarogwa kweli?

1. Hivi kwanini waliosaini au kama tunaipenda nchi si iwekwe wazi mikataba ya madini na gesi wazi tuisome wote mnaficha nini?

2. Walitunga mikataba na kuisaini wako wapi mpaka sasa?

3. Walio pitisha hizo sheria wako wapi?

4. Walikuwa wanasimamia wako wapi?

5. Kwani mlilazimishwa kuingia hiyo mikataba kwanini msijitoe ijulikane moja?

Waliofanya utafiti ndiyo hawa hapa halafu unamtumbua Muhongo unamuacha Naibu waziri,wanaCCM mnasema tupige makofi naona kama ni changa la macho.Hebu tuone wenzetu walichokiona:

Douglas Lake Minerals Board of Directors and Director of Exploration Appointments

Last update: 3:15 p.m. EDT Aug. 4, 2008

VANCOUVER, Aug 04, 2008 /PRNewswire-FirstCall via COMTEX/ -- Douglas Lake Minerals Inc. (OTC BB: DLKM./ Frankfurt: D6O.F) announced today the appointment of two senior Tanzanian officials to the Board of Directors. Mr. Gus Sangha and Dr. David Groves have stepped down from the Board and the Company thanks them for their valuable assistance during their tenure. Dr. Groves will remain with Douglas Lake as Director of Exploration.

Dr. Medard M.C. Kalemani, LLB, LLM, PhD, Mining Management - Director
Dr. Kalemani is the General Counsel to the Millennium Challenge Account Tanzania, Ministry of Finance, which is an autonomous government entity responsible for managing energy, transportation and water projects in Tanzania. He served as State Attorney of the Tanzanian Ministry of Energy and Minerals from 1999 to 2007, and from 1997 to 1998, he was a Legal Officer and Manager of the Tanzanian Branch of the International Rescue Committee, UNHCR. He was also legal consultant to UNDP Vienna in Tanzania and an independent consultant on a team that reviewed the Minerals Act of the Republic of South Africa. In 2002, Dr. Kalemani authored a thesis titled "Comparative Study of Mineral Laws" which compared laws between Tanzania, South Africa, Namibia and Botswana.

Prof. Abdulkarim Mruma, BSc, MSc, PhD, Geology - Director
Prof. Mruma is the Chief Executive Officer of the Geological Survey of Tanzania, Ministry of Energy and Minerals and since 2004, he is the Vice Chairman of the Association of Geological Survey of Africa. He was the Head of the Department of Geology at the University of Dar es Salaam from 1994 to 2004. Other positions he has held include: National Coordinator, International Geological Correlation Programs; External Examiner, Department of Geology of the University of Nairobi in Kenya and the University of Makerere in Uganda. He also has had extensive involvement as a board and steering committee member of numerous geological and environmental research projects and groups. Prof. Mruma has published over thirty international publications, mainly in the fields of structural geology, precambrian geology, stratigraphy and mineral deposits. He has consulted on and authored more than twenty technical reports in the fields of resource assessments and engineering geology. He is currently a member of the Geological Society of Africa and the Tanzania Geological Society. Prof. Mruma is also a Board Member of Williamson Diamonds Limited, Diamond Mine at Mwadui. The Williamson Diamond Mine is owned by De Beers and the Government of Tanzania.

Dr. David Groves, BSc, PhD, Geology - Director of Exploration
Dr. David Groves, BSc Honours and PhD, started his career working for the Geological Survey of Tasmania. In 1972, he joined the University of Western Australia where he progressed to full Professor by 1987, teaching undergraduate classes in field and structural geology and ore genesis/economic geology. From 1987 to 2005, Dr. Groves was Director of both the Centre for Strategic Mineral Deposits and Centre for Global Metallogeny. During his academic career, he authored and co-authored over 500 papers and is widely published on Archaean evolution, the nature and genesis of komatiite-hosted Ni-Cu and orogenic gold deposits, global metallogeny and conceptual targeting of mineral deposits. He was President of the Geological Society of Australia and the Society of Economic Geologists, and is currently President-Elect of SGA (European Society of Economic Geologists). He has received nine medals for his research, including the Silver Medal of the Society of Economic Geologists and the Geological Association of Canada Medal. Dr. Groves has also been contracted as a consultant to the Geological Survey of Tanzania.

About Douglas Lake
DLKM is an emerging mineral exploration company focused on exploring and developing gold, copper, nickel, uranium, and diamond mining opportunities in Tanzania. For more information, go to www.douglaslakeminerals.com

This release contains forward-looking statements which involve risks and uncertainties. Complete forward-looking statement available at www.douglaslakeminerals.com/forwardlooking.html.
 
Umenifikirisha upya kwa kweli!

Mikataba iliyopo tunapata asilimia 3 ya mapato na hili wamesaini viongozi wetu, hapo ni tumejiibia wenyewe. Hapa huenda ni zaidi ya asilimia hizo tunapata haiingii akilini kabisa kuwa mali ni yetu sisi tupate kiasi hicho ambacho ni sawa na hakuna.

Bado mchanga nao tunaibiwa hii hatari.

Why sisi Waafrika tupo hivyo? Hatuendelei kwa kuwa kila kitu kina figisu.

Hili swala wanalifanyia siasa baada ya kushindwa kwao
 
Tumeridhika Na mrahaba wa asilimia 3!! Hivi na magwangalla yamewafikisha wapi wananchi!

This is the country of Bulichekas and Gagagigikokos! Nchi ya Magwangala/Kigwangala, nchi ya Makinikia, nchi ya Mapanki(refer minofu ya Samaki)na nchi ya Viwonders!! Kweli CCM wamerogwa na aliyewaroga kesha kufa siku nyingi!!!!Tuombe Mungu atende miujiza kututoa hapa tulipo otherwise we're doomed!
 
Kuna mbuzi mmoja aliulizwa na Kwanza tv kama ccm inakiri kua ilituingiza chaka kwenye mikataba ya madini.
Acha aruke ruke, mara aseme hilo siyo swali mara akaleta stori za Idi Amin...lakini jibu hakutoa.
 
Hata hivyo mleta uzi kama kuna uzi wa uchambuzi wa Dr Kilangi uliusoma jana utajua kwanini hatuwezi kuvunja, kuipitia upya au kuwekwa wazi na wengine tuione.
 
Kuna mbuzi mmoja aliulizwa na Kwanza tv kama ccm inakiri kua ilituingiza chaka kwenye mikataba ya madini.
Acha aruke ruke, mara aseme hilo siyo swali mara akaleta stori za Idi Amin...lakini jibu hakutoa.
Nani huyo
 
Kuna vitu vinatia hasira sana nchi hii nadhan siku mwenge ukizimwa tutaamka

Nakubaliana na wewe kwa 100%. Kwa akili za CCM mwenge ndo kila kitu. Unamulika kuanzia wala rushwa wadogo wadogo mpaka Mapapa wala Rushwa! Lakini uhalisia wa matokeo ni KINYUME CHAKE!!!
 
Habari!

Hivi kweli tunasimama tunasema tunaibiwa mchanga wa madini kweli hatujarogwa kweli?

Hivi pure gold wanayosafirisha mpaka leo tena na viwanja vya ndege migodini hatulioni tunaona mchanga wenye asilimia 30% ya mabaki badala ya kudeal na 70% ya pure gold ambayo hatuambulii kitu?

Hivi hatujarogwa kweli?

1. Hivi kwanini waliosaini au kama tunaipenda nchi si iwekwe wazi mikataba ya madini na gesi wazi tuisome wote mnaficha nini?

2. Walitunga mikataba na kuisaini wako wapi mpaka sasa?

3. Walio pitisha hizo sheria wako wapi?

4. Walikuwa wanasimamia wako wapi?

5. Kwani mlilazimishwa kuingia hiyo mikataba kwanini msijitoe ijulikane moja?
Duh kweli hatufanani vichwa km hv vilitakiwa bungeni sasa sio kina .......
I think Tanxania nzima ni ww tu umefikiri hivyo
Yani tunalilia tule matapishi ya jamaa kashiba wakati chakula cha kwetu wenyewe....
Shame on those who created this results....
New member Mnipokee..
 
Back
Top Bottom