Watanzania tumerogwa ama?

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Aug 3, 2012
602
2,505
Njaa Ukame vipo tunadanganywa hakuna ukame hakuna njaa wenye njaa wanapiga makofi
841470f10a040c5c4f7e15f1726bd1e1.jpg
3f8e19cc4396cd5129147b4867a92168.jpg
 
Njaa Ukame vipo tunadanganywa hakuna ukame hakuna njaa wenye njaa wanapiga makofi
841470f10a040c5c4f7e15f1726bd1e1.jpg
3f8e19cc4396cd5129147b4867a92168.jpg
Kamanda labda sema umerogwa wewe. Na si vinginevyo.suala lako binafsi kama kwako kuna njaa huku kwetu mazao hayana wanunuzi. Kwa nini msije kununua huku kama mmeishiwa
 
Kamanda labda sema umerogwa wewe. Na si vinginevyo.suala lako binafsi kama kwako kuna njaa huku kwetu mazao hayana wanunuzi. Kwa nini msije kununua huku kama mmeishiwa
tuambie huko ni wapi tuje tununue hicho chakula
 
Kamanda labda sema umerogwa wewe. Na si vinginevyo.suala lako binafsi kama kwako kuna njaa huku kwetu mazao hayana wanunuzi. Kwa nini msije kununua huku kama mmeishiwa.





mkuu mm nafikilia haupo sawa kiakili wa2 wanazungumzia tz I generally ww unazungumzia home kwenu na hapo ukute unakaa kwa azazi. try think out of the box.
 
Back
Top Bottom