Kufuatia taarifa za uzushi na uongo za Mh Tundu Lissu kuwa ndege yetu imekamatwa CANADA kwa madai eti tunadaiwa jambo ambalo msemaji wa serekali bi Kawawa amekanusha kumezuka mijadala kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakionekana kushangulia na kufurahia jambo hili kitu ambacho ni aibu kwetu hata kama ingekuwa nikweli hivi hatuoni aibu kujivua nguo kwa watu nawaomba tumuunge mkono rais wetu mpendwa ktk vita hii ngumu ya kujenga uchumi huwa najiuliza katika suala la uzalendo nani aliyetuloga??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app