Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
Mpumbavu hutembea barabarani akijitangaza kuwa yeye ni mpumbavu kupitia kinywa chakeJinga kubwa wewe kutokuunga mkono mawazo ndio kuwa mjinga.
Pumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpumbavu hutembea barabarani akijitangaza kuwa yeye ni mpumbavu kupitia kinywa chakeJinga kubwa wewe kutokuunga mkono mawazo ndio kuwa mjinga.
Pumbavu.
We kiazi.Mpumbavu hutembea barabarani akijitangaza kuwa yeye ni mpumbavu kupitia kinywa chake
Dalili kubwa kwa mtu mwenye stress ni kukata tamaa. Pili ni kutukana matusi ovyo!We kiazi.
Embu niache na stress zako.
Mkuu naona wewe ni msukuma unayejitambua kabisa siyo kama akina Paschal wameweka njaa mbele, kimsingi nchi yetu imeharibiwa sana na hawa watu wawili(Ndugai na Mwenyekiti wake)Wote mmemsikia Ndugai alivyokuwa anaongea kama "Mungu". Hii yoye ni kwa sababu watawala wameshajiridhisha sisi watanzania hatuna cha kuwafanya...
We ndio umeanza.Dalili kubwa kwa mtu mwenye stress ni kukata tamaa. Pili ni kutukana matusi ovyo!
Hukuelewa tu ujumbe wangu.Asubuhi njema Mtanzania mwenzangu.We ndio umeanza.
From no where umequote comment yangu kwa kuanza kunitusi. Si ukorofi huo?
Sawa Mtanzania.Hukuelewa tu ujumbe wangu.Asubuhi njema Mtanzania mwenzangu.
Ndio mi nimtu wa Tanga tena Makorora, wewe mwenzangu unateseka ukiwa wapi?Wewe utakuwa mtu wa Tanga maana wao ndio takataka wa politics. Mawazo mfu kabisa kichwani mwako. As long as unakuka, basi hata wakikufanya lolote....... huna tatizo
Mkoloni mweusi mwenzako kumtoa ni ngumu kweli kweli.Comment ya mtu aliyekosa akili. Hata akina Nyerere wangekuwa na fikra za kijinga kiasi hiki, leo tungekuwa bado koloni la Mwingereza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimekufuatilia comments zako na nimegundua tupo pamoja. Comment yako ya mwanzo inaonyesha kama vile unasupport kusiginwa kwa katiba yetu. Ifute hiyo comment maana wadau wanakuona kama vile unasupport huu ujinga wa hawa jamaa.Ndio mi nimtu wa Tanga tena Makorora, wewe mwenzangu unateseka ukiwa wapi?
Mkoloni mweusi mwenzako kumtoa ni ngumu kweli kweli...
Wachache sana najua wamenielewa. Kama wewe.Mkuu nimekufuatilia comments zako na nimegundua tupo pamoja. Comment yako ya mwanzo inaonyesha kama vile unasupport kusiginwa kwa katiba yetu. Ifute hiyo comment maana wadau wanakuona kama vile unasupport huu ujinga wa hawa jamaa.
Ana uchungu na nchi yake ipi?? Yaani anasikitika makanikia kuzuiwa yasitoke nchinin kiasi akajitolea kuwatetea mahakamani bure ili wachukuwe makanikia bure halafu unasema ana uchungu na nchi yake? Kweli umeaminishwa vya kusadikika. Anapigania uhuru ili zile sheria za kutunyonya madini zirudishwe baada ya serikali dhalimu kuzibadilisha trusiendelee kunyonywa?Anakula bata. Ila ana uchungu na nchi yake,ndo maana anaipigania tupate Uhuru toka mikononi mwa viongozi dhalimu kama kina ndu gay.
Ndio maana watu weupe na sie ngozi nyeusi ni tofauti,hebu tizama ulichokieleza kuwa ndio ufumbuzi wa tatizo.Watz huwezi kutupeleka kwenye maandamano yanayotawanywa kwa risasi za moto, inatakiwa kipatikane kikundi cha uasi/kigaidi cha kuwashughulikia watawala jeuri, na wote waliofanikisha ushindi wa LUSHINDO, Watanzania tuko tayari kukichangia hali na Mali, binafsi kila mwezi nitakuwa nachangia million moja!!
So unataka kuhama nchi?Nawezaje kutafuta hela kwenye nchi yenye viongozi wasioheshimu katiba? Hizo hela si nitanyang'anywa kibabe na cha kuwafanya sina?
Mkuu tuandamane mi na wewe Mana wengine hawatakiWote mmemsikia Ndugai alivyokuwa anaongea kama "Mungu". Hii yoye ni kwa sababu watawala wameshajiridhisha sisi watanzania hatuna cha kuwafanya.
Tuliambiwa tudai haki yetu tukagoma. Na mimi nasema acheni tuendelee kuburuzwa maana tumezidi ukondoo.
Katiba iko wazi kuhusu ukomo wa ubunge pale anapokoma kuwa mwanachama wa chama kilichomsabibisha kupata ubunge. Ndungai hajali sheria na hakuna cha kumfanya.
Maskini Tanzania yangu.
Hakuna mfanyabiashara hata mmoja mwenye bureau aliochomoka salama serikali ilivyo wavamia na kuwa dhulumu.Mimi ni kwenye "bureau de change" mkuu.
Wote mmemsikia Ndugai alivyokuwa anaongea kama "Mungu". Hii yoye ni kwa sababu watawala wameshajiridhisha sisi watanzania hatuna cha kuwafanya.
Tuliambiwa tudai haki yetu tukagoma. Na mimi nasema acheni tuendelee kuburuzwa maana tumezidi ukondoo.
Katiba iko wazi kuhusu ukomo wa ubunge pale anapokoma kuwa mwanachama wa chama kilichomsabibisha kupata ubunge. Ndungai hajali sheria na hakuna cha kumfanya.
Maskini Tanzania yangu.
Watanzania wengi hawana exposure. So uende hapo nchi jirani uone utofauti kati ya tz na k.Ana uchungu na nchi yake ipi?? Yaani anasikitika makanikia kuzuiwa yasitoke nchinin kiasi akajitolea kuwatetea mahakamani bure ili wachukuwe makanikia bure halafu unasema ana uchungu na nchi yake? Kweli umeaminishwa vya kusadikika. Anapigania uhuru ili zile sheria za kutunyonya madini zirudishwe baada ya serikali dhalimu kuzibadilisha trusiendelee kunyonywa?
Watanzania wengi hawana exposure. So uende hapo nchi jirani uone utofauti kati ya tz na k.Ana uchungu na nchi yake ipi?? Yaani anasikitika makanikia kuzuiwa yasitoke nchinin kiasi akajitolea kuwatetea mahakamani bure ili wachukuwe makanikia bure halafu unasema ana uchungu na nchi yake? Kweli umeaminishwa vya kusadikika. Anapigania uhuru ili zile sheria za kutunyonya madini zirudishwe baada ya serikali dhalimu kuzibadilisha trusiendelee kunyonywa?
Nakupa pole pole na pole nyingi mno. Ongelea tu unachoaminishwa na watu wanaokudharau wakiamini kila wanachokueleza lazima utakikubali kwa kuwa tayari wamekuaminisha wana akili kuliko wewe. Pole aisee.Watanzania wengi hawana exposure. So uende hapo nchi jirani uone utofauti kati ya tz na k.
Alafu mkuu dunia inaenda kwa kazi ya ajabu nyie ccm bado mnakumbatia analog.
We mchaga gani mangi.