Watanzania tukubali tukatae, tumekosea tena

H.T.P

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
1,169
1,298
Tulijipa moyo baada ya kuona push ups na viduku tukajua sasafari hii CCM watakua wapya kabisa baada ya kutudanganya kwa miaka zaidi ya 50.

Lakini sasa ni wazi tumekosea zaidi ya mara zote...

Kiongozi wa nchi ambaye hajali masilahi ya wananchi wa chini ambao ndo hasa wapiga kura huyo mtu ni mbaya sana,

Zanzbar karibia hali ya hewa inachafuka yeye wala mapigo ya moyo haya shituki!

Mzazi wa dunia ipi anayeona wanawe wanataka kutoboana macho asitafute nanî mchokozi na kuwarekebisha?
 
Tulijipa moyo baada ya kuona push ups na viduku tukajua sasafari hii CCM watakua wapya kabisa baada ya kutudanganya kwa miaka zaidi ya 50.

Lakini sasa ni wazi tumekosea zaidi ya mara zote...

Kiongozi wa nchi ambaye hajali masilahi ya wananchi wa chini ambao ndo hasa wapiga kura huyo mtu ni mbaya sana,

Zanzbar karibia hali ya hewa inachafuka yeye wala mapigo ya moyo haya shituki!

Mzazi wa dunia ipi anayeona wanawe wanataka kutoboana macho asitafute nanî mchokozi na kuwarekebisha?
Nafahamu unachokisema unamaanisha lkn hujijui pole yako
 
Hahahaha,ukiwaona kwenye midahalo ya kampeni kama wazalendo kweli wakipewa hela ya gongo usiku wa kupiga kura asubuhi wanasahau na kuchagua tena ccm,hivi ni nani ameturoga,Dah!!
 
Nini kimekufanya kusema kuwa Serikali ya JMT haijafanya interventions Zanzibar?...ziwe unazotaka wewe au usizozitaka.

Sababu ipi unaweza kuitoa kuwa kiongozi hajali maslahi ya watu wa chini??
 
Kama kweli mlishinda mnaogopa nn kurudiwa uchaguzi nyinyi si mlijifanya wajanja mtu wenu kaleta mihemko kajitangazia ushindi mnataka tufanyeje andamaneni suseni nendeni kokote uchaguzi uko pale pale
 
Naboreka Na watu wa aina yako, tuwaambia hadi tukaimba Na nyimbo kuwa CCM haifai, ukashupaza shingo kwa vijisenti ulivyopatiwa, bila haya hata nusu mwaka bado ukuja Na bandiko lako LA kijinga, wewe ni mpuuzi sana wafaa kufungiwa jiwe LA kusagia shingoni mwako ukatupwe baharini, hovyo kabisa
 
Hatukuwa na wapinzani wa kutosha kuwapa nchi, magufuli alikuwa ni bora kuliko huo upinzani wa kuunga Unga. Upinzani wa kuleta wale wale wachafu na tuliowaponda kwenye mavazi mapya masafi! Mimi nilikuwa UKAWA hadi pale nilipoona chukizo la uharibifu limesimama patakatifu.
 
Tulijipa moyo baada ya kuona push ups na viduku tukajua sasafari hii CCM watakua wapya kabisa baada ya kutudanganya kwa miaka zaidi ya 50.

Lakini sasa ni wazi tumekosea zaidi ya mara zote...

Kiongozi wa nchi ambaye hajali masilahi ya wananchi wa chini ambao ndo hasa wapiga kura huyo mtu ni mbaya sana,

Zanzbar karibia hali ya hewa inachafuka yeye wala mapigo ya moyo haya shituki!

Mzazi wa dunia ipi anayeona wanawe wanataka kutoboana macho asitafute nanî mchokozi na kuwarekebisha?
Hakujiandaa ndo yuko tuisheni anaelekezwa namna ya kuongoza, hawezi hata kuhudhuria mikutano muhim ya kimataifa, hajui kuhutubia labda
 
Tulijipa moyo baada ya kuona push ups na viduku tukajua sasafari hii CCM watakua wapya kabisa baada ya kutudanganya kwa miaka zaidi ya 50.

Lakini sasa ni wazi tumekosea zaidi ya mara zote...

Kiongozi wa nchi ambaye hajali masilahi ya wananchi wa chini ambao ndo hasa wapiga kura huyo mtu ni mbaya sana,

Zanzbar karibia hali ya hewa inachafuka yeye wala mapigo ya moyo haya shituki!

Mzazi wa dunia ipi anayeona wanawe wanataka kutoboana macho asitafute nanî mchokozi na kuwarekebisha?
Huo moyo ulijipa mwenyewe. Mm rais wangu lowassa. Hivi unadhani nilisahau nilipoambiwa nipige mbizi kutoka kigamboni? Chukua hatua
 
Hakujiandaa ndo yuko tuisheni anaelekezwa namna ya kuongoza, hawezi hata kuhudhuria mikutano muhim ya kimataifa, hajui kuhutubia labda
Anajifanya anajua kumbe hajui. sitakaa niiamini ccm hata ikichagua shetani ndo hawa rais.
 
Back
Top Bottom