Ndugu wana jamii
Ninaomba kuwaasa watanzania tuombe wagombea wote wakubali matokeo. Nimeshawishika kwamba matokeo ni sahihi kabisa kwa sababu wametoa matokeo jimbo kwa jimbo na taarifa zote hizi zinapatika wazi wazi kweny mtandao wa tume ya uchaguzi.
Kwa mwenye data tofauti na zilizotolewa alete
visit: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
Ninaomba kuwaasa watanzania tuombe wagombea wote wakubali matokeo. Nimeshawishika kwamba matokeo ni sahihi kabisa kwa sababu wametoa matokeo jimbo kwa jimbo na taarifa zote hizi zinapatika wazi wazi kweny mtandao wa tume ya uchaguzi.
Kwa mwenye data tofauti na zilizotolewa alete
visit: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage