Watanzania tujipongeze: Tz ni ya 5 duniani kwa kasi ya ukuaji uchumi.

Royal Warrior

JF-Expert Member
Nov 19, 2015
1,166
2,117
salaam...

kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Hii taarifa imetolewa na world bank (WB), uchumi wetu wa Tanzania unakua kwa kasi ya 7.2% kwa mwaka huu 2017. Hivyo kuifanya Tanzania kuwa ya 5 duniani na ya PILI kwa Africa kwa kasi ya ukuaji uchumi. naomba tujipigie makofi...

Capture.PNG


Ushauri: tusiendekeze sana siasa, tuchapeni kazi jamani. ugumu wa maisha hatoumaliza Magu wala Loawasa. ni sisi wenyewe raia tukichapa kazi kwa bidii tutau tokomeza umasikini. kila mtanzania kwa nafasi yake aliyopo ajenge nchi. siasa tufanye ikifika 2020. sasa hivi tuwaache waliochagulia wafanye kazi zao, huu sio muda wa kuwa evaluate. they need time to accomplish what they have promised.
 
salaam...

kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Hii taarifa imetolewa na world bank (WB), uchumi wetu wa Tanzania unakua kwa kasi ya 7.2% kwa mwaka huu 2017. naomba tujipigie makofi...

View attachment 526300

Ushauri: tusiendekeze sana siasa, tuchapeni kazi jamani. ugumu wa maisha hatoumaliza Magu wala Loawasa. ni sisi wenyewe raia tukichapa kazi kwa bidii tutau tokomeza umasikini. kila mtanzania kwa nafasi yake aliyopo ajenge nchi. siasa tufanye ikifika 2020. sasa hivi tuwaache waliochagulia wafanye kazi zao, huu sio muda wa kuwa evaluate. they need time to accomplish what they have promised.
Labda kwenye makaratasi, huku kwetu wananchi Hali ni mbaya sana
 
Sawa mkuu tunachapa kazi lakini huo ukuaji wa uchumi mwananchi wa hali ya chini haelewi kabisa, Hali ni ngumu analalamika pamoja na kujituma
 
Unawezaje sema uchumi unakua kwa kasi wakati HUKU KWETUUUU hata kula imekuwa tabu!!!!
 
Sawa mkuu tunachapa kazi lakini huo ukuaji wa uchumi mwananchi wa hali ya chini haelewi kabisa, Hali ni ngumu analalamika pamoja na kujituma
ugumu wa maisha (umasikini) hauwezi kumalizika over-night. hatuwezi leo kulala maskini kesho tukaamka sote matajiri. tupande ngazi kwa ngazi. tusikate tamaa, inshaaAllah tutafika tu.
 
Nchi ya vi-wonder TanzaNoah!!

Aliahidi mil 50 kwa kila kijiji...

Juzi akasema kila mtanzania atapata Noah moja kwa pesa za makinikia...

Kweli hii nchi ya vi-wonder!
 
Hizi report zinawasaidiaje waTz?
Watumishi Mwaka wa pili huu ameshindwa kuwaongezea Asilimia ata 15% tu ya mishahara! Ajifunze kwa JK ktk kipindi chake aliongeza mishahara zaidi ya 300%
 
Hizi report zinawasaidiaje waTz?
Watumishi Mwaka wa pili huu ameshindwa kuwaongezea Asilimia ata 15% tu ya mishahara! Ajifunze kwa JK ktk kipindi chake aliongeza mishahara zaidi ya 300%
Kwa kipindi cha JK hali ilikuwa nzuri?
 
Hizi report zinawasaidiaje waTz?
Watumishi Mwaka wa pili huu ameshindwa kuwaongezea Asilimia ata 15% tu ya mishahara! Ajifunze kwa JK ktk kipindi chake aliongeza mishahara zaidi ya 300%
nitajie nchi moja ambayo imeendelea kwa kuwaongezea mishahara wafanyakazi tu?.. tunahitaji tuwekeze kwenye miundo mbinu kwanza. kama kipato hakijitoshelezi, ongeza vyanzo vingine vya mapato.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom