Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Habari wanaJf,
Najaribu kuwaza kwa upande tofauti na idadi kubwa ya watu namna wanasiasa wanaweza kuwafunga akili na mdomo bila nyie kujua mfano.
Ningekuwa mwanasiasa, kwakuwa nimeshajua maisha ya wengi ni ya mitandaoni na udaku, ningetengeneza account fake mtandaoni na kujitukana na kujikosoa halafu kesho hadharani kwa account zangu na media najibu zile hoja.
Hapa nitakuwa nimewafunga akili msiwaze hoja na kuhoji zaidi ya kupaste vile vya account yangu fake mtandaoni na hamtozungumzia zaidi ya mawazo yangu ya ukosoaji nliyojitupia.
FUNDISHO
Wengi tunarepost na kujadili kauli za watu mitandaoni bila hata wengine kuwajua ni kina nani, hii ni upungufu wa akili kwani wanasiasa wanaweza kutuchezea akili zetu kwa style hio hapo juu.
Ukifuatilia sasa, mtu akiamka asubuhi cha kwanza sio awaze maisha yake anawaza fulani mtandaoni kapost nini ascreenshort arushe au akajadili kijiweni, bila kujua anayekosolewa anaweza kuwa ndio mkosoaji.
AMKENI AMKENI NI MTAZAMO TU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Najaribu kuwaza kwa upande tofauti na idadi kubwa ya watu namna wanasiasa wanaweza kuwafunga akili na mdomo bila nyie kujua mfano.
Ningekuwa mwanasiasa, kwakuwa nimeshajua maisha ya wengi ni ya mitandaoni na udaku, ningetengeneza account fake mtandaoni na kujitukana na kujikosoa halafu kesho hadharani kwa account zangu na media najibu zile hoja.
Hapa nitakuwa nimewafunga akili msiwaze hoja na kuhoji zaidi ya kupaste vile vya account yangu fake mtandaoni na hamtozungumzia zaidi ya mawazo yangu ya ukosoaji nliyojitupia.
FUNDISHO
Wengi tunarepost na kujadili kauli za watu mitandaoni bila hata wengine kuwajua ni kina nani, hii ni upungufu wa akili kwani wanasiasa wanaweza kutuchezea akili zetu kwa style hio hapo juu.
Ukifuatilia sasa, mtu akiamka asubuhi cha kwanza sio awaze maisha yake anawaza fulani mtandaoni kapost nini ascreenshort arushe au akajadili kijiweni, bila kujua anayekosolewa anaweza kuwa ndio mkosoaji.
AMKENI AMKENI NI MTAZAMO TU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app