Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Amsterdam ni wakili tapeli Rais Putin wa Russia alimkosakosa kumfunga. Kwa kifupi ada ya huyu wakili kunauwezekano unalipwa na makampuni makubwa yenye maslahi na Tanzania.Unaambiwa huyo Amsterdam kesi moja anachukua USD 4 million hata hawajiulizi Tundu lisu kazitoa wapi...Happ Happ Amsterdam Kampuni anayotokea ipo Canada barick gold ya Canada na na ndege yetu kesi yake ilianzia canada
Who is Robert Amsterdam?