Watanzania tujiangalie jamani

Wakati wa kujibu hoja lazima mtangulize ushoga, why? sisi tunasema mtoto wa kike kwa nini mmpatie adhabu yote peke yake? Apate mimba under 18 (bado mtoto mdogo). alee mtoto wa shinda sasa hata shule umzuie aaaaa huu si uungwana kabisa.

Tunataka Taifa walau lim-support huyu binti apate elimu tu baada ya kujifungua....hapa tatizo ni lipi? kwa nini mzigo wote wa dhambi atwishwe huyu binti mwenye umri wa chini ya 18?

Sasa hilo la ushoga watanzania hawalijui ni lenu.
Sio kila kitu wananchi tunaambiwa hao wakuu wanavyoenda kusaini hiyo mikataba ya kupata loan au grants,wakuu ndio wanajua kuna nn ndani ya hizo mikataba .Ila kuna baadhi ya marais washawai vujisha hzo siri nikatolea mfano Nyusi.

Nyie mmeng'ang'ana haki haki hao wenyewe US wanaohuiri kuhusu haki hawaijui ,kama kuna haki wasingevamia Iraq .
 
mmmmh.. mtoto wa kike akipata mimba asisome eee? kwani kumruhusu akasoma wewe kama Mtanzania utapungukiwa nini? hao wanafunzi wanaopata ujauzito siyo watanzania? je tuwatenge mama zetu kisa walituzaa?

Unamjua lebron James Mama yake alimzaa akiwa na miaka 16 tu je kama jamii ingemnyanyapaa huyo jamaa si mimba yake ingefanyiwa abortion? why tunakuwa wabaguzi kwa ndugu zetu wenyewe?

Na huo ushoga wewe unakuhusu nini mpaka uingilie faragha za watu?
Hatujakataa asisome .asome QIT.shida iko wapi hapo?
 
Wakati mmoja nilipata nafasi ya kuishi Cabo Delgado - Mozambique. Wakati nipo huko nilistaajabu sana niliyoyaona kwenye nchi hiyo ambayo kiongozi wao mkuu ni Filipe Jacinto Nyusi mambo yanavyoenda.

Mambo niliyostaajabu ni, wanafunzi waliojifungua kurudi tena shule. Vilevile suala la USHOGA sio ishu wao wameruhusu swala hilo.

Hivyo basi nikagundua hawa MABEBERU ajenda zao kuu katika hili bara letu la Afrika ni mbili yaani 1) Wanafunzi wanaojifungua warudi tena shule, 2)Kueneza USHOGA ndani ya Afrika.

Hivyo basi kama kuna watu wanaunga mkono ajenda ya wanafunzi waliopata ujauzito na kujifungua kurudi tena mashuleni basi muda utakapofika ajiandae kuunga mkono ajenda ya USHOGA.

Mimi sio muumini wa siasa ila kwa suala la rais wetu John Pombe Magufuli kuonyesha msimamo juu ya suala la wajawazito wanaojifungua kurudi shule yupo sahihi kwa 100%, hatupaswi kubabaikia mikopo yao yenye masharti ambayo hayaendani na mila na tamaduni zetu.

Kifupi Rais wetu JOHN POMBE MAGUFULI ni mweledi na anazijua danganya toto za MABEBERU kupitia mikopo yao, hivyo basi kama tutakubali ajenda namba moja basi tujiandae kubanwa mbavu mpaka tukubali ajenda ya USHOGA kwani watajua Tanzania tunashawishika kwa pesa na hatuna msimamo, naomba Rais akazie msimamo wake.

Hayo ni maoni yangu mimi, maana hata Filipe Nyusi wa Msumbiji alipoona kwamba atabanwa mbavu na MABEBERU kwa kukosa uzalendo aliamua kuwadanganya wananchi wake kwa kuwaambia "Wazungu wanataka turasimishe USHOGA kwenye nchi yetu kwani kuna ubaya tukisaini harafu tusifanye, au wananchi wangu mtafanya l?"
Wananchi wakamjibu "Hatufanyi mheshimiwa wewe saini tu tupate hiyo mijihela".

Rais wetu JOHN POMBE MAGUFULI hana cha kupoteza hata akiamua kuruhusu hata USHOGA ila kwenye hili mheshimiwa ameamua kuwa mzalendo, kutunza maadili ya Tanzania.

Tuwapongeze pia na baadhi ya vyama vya upinzani ambavyo wamekaa kimya kwenye hili swala maana kukaa kimya nako ni busara kuliko kuropoka na kushinikiza World Bank na Wadau wengine wa maendeleo kuinyima mikopo Tanzania kwani tutakaoumia ni sisi wa uswahilini.

2)Kueneza USHOGA ndani ya Afrika hakuna -ushahidi kwenye hili
 
Wakati mmoja nilipata nafasi ya kuishi Cabo Delgado - Mozambique. Wakati nipo huko nilistaajabu sana niliyoyaona kwenye nchi hiyo ambayo kiongozi wao mkuu ni Filipe Jacinto Nyusi mambo yanavyoenda.

Mambo niliyostaajabu ni, wanafunzi waliojifungua kurudi tena shule. Vilevile suala la USHOGA sio ishu wao wameruhusu swala hilo.

Hivyo basi nikagundua hawa MABEBERU ajenda zao kuu katika hili bara letu la Afrika ni mbili yaani 1) Wanafunzi wanaojifungua warudi tena shule, 2)Kueneza USHOGA ndani ya Afrika.

Hivyo basi kama kuna watu wanaunga mkono ajenda ya wanafunzi waliopata ujauzito na kujifungua kurudi tena mashuleni basi muda utakapofika ajiandae kuunga mkono ajenda ya USHOGA.

Mimi sio muumini wa siasa ila kwa suala la rais wetu John Pombe Magufuli kuonyesha msimamo juu ya suala la wajawazito wanaojifungua kurudi shule yupo sahihi kwa 100%, hatupaswi kubabaikia mikopo yao yenye masharti ambayo hayaendani na mila na tamaduni zetu.

Kifupi Rais wetu JOHN POMBE MAGUFULI ni mweledi na anazijua danganya toto za MABEBERU kupitia mikopo yao, hivyo basi kama tutakubali ajenda namba moja basi tujiandae kubanwa mbavu mpaka tukubali ajenda ya USHOGA kwani watajua Tanzania tunashawishika kwa pesa na hatuna msimamo, naomba Rais akazie msimamo wake.

Hayo ni maoni yangu mimi, maana hata Filipe Nyusi wa Msumbiji alipoona kwamba atabanwa mbavu na MABEBERU kwa kukosa uzalendo aliamua kuwadanganya wananchi wake kwa kuwaambia "Wazungu wanataka turasimishe USHOGA kwenye nchi yetu kwani kuna ubaya tukisaini harafu tusifanye, au wananchi wangu mtafanya l?"
Wananchi wakamjibu "Hatufanyi mheshimiwa wewe saini tu tupate hiyo mijihela".

Rais wetu JOHN POMBE MAGUFULI hana cha kupoteza hata akiamua kuruhusu hata USHOGA ila kwenye hili mheshimiwa ameamua kuwa mzalendo, kutunza maadili ya Tanzania.

Tuwapongeze pia na baadhi ya vyama vya upinzani ambavyo wamekaa kimya kwenye hili swala maana kukaa kimya nako ni busara kuliko kuropoka na kushinikiza World Bank na Wadau wengine wa maendeleo kuinyima mikopo Tanzania kwani tutakaoumia ni sisi wa uswahilini.
Viongozi wetu wa CCM wanavyopenda kuingia mikataba ya siri na hao inaowaita mabeberu, kuna mtego mkubwa unawakabili wa kukosa fedha, wakinasa tu hawachelewi kuiingiza nchi chaka. Mara paa! Tutashangaa wanaridhia suala la hilo la mwanaume kupumuliwa pumzi kisogoni, huku wanachama wa CCM wakiliunga mkono kwa kauli moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa, na waathirika wakubwa wa hizi sheria ni watoto wakike ambao wazazi wao ni vipato vya chini hawawezi peleka watoto wao shule za gharama kuendelea na masomo baada ya kujifungua.
Mimba kwa mtoto wa kike mara nyingi sana haitokani na hiari yake. Tazama jogoo amfukuzapo mtetea hata akipanda mtini anaye tu.
Mabinti wengi wanajikuta katika mazingira hatarishi. Wale wanaopenda huo mchezo hawapati mimba sababu wanajua kuikwepa.
Kwa hiyo kuwafukuza shule hakuzuii mimba kwa wengine bali malezi bora ndio msaada mkubwa kwa mtoto wa kike.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom