Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,212
Kutenga watoto wa kike under 18 eti kapata mimba wakati kama jamii na serikali hatujamlinda ni ukatili na halikubaliki. Hao ni kundi linalohitaji ulinzi wetu na sio kulitenga.
Hayo ya ushoga tusiwe wanafiki hapa kwani ni faragha ya mtu na hakuna anaye mpima mwenzake kuwa sio shoga.
Jee kama siku mnagundua kumbe huyo apigaye kelele kuwa hataki ushoga yeye mwenyewe anawakung'uta wengine mtasemaje? Au yeye anakung'utwa je?
Yametokea haya nchi tofauti kwa mawaziri kujitangaza ni mashoga na watu hawakujali kwani shida nini kwa wengine unapotumia kiungo chako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ya ushoga tusiwe wanafiki hapa kwani ni faragha ya mtu na hakuna anaye mpima mwenzake kuwa sio shoga.
Jee kama siku mnagundua kumbe huyo apigaye kelele kuwa hataki ushoga yeye mwenyewe anawakung'uta wengine mtasemaje? Au yeye anakung'utwa je?
Yametokea haya nchi tofauti kwa mawaziri kujitangaza ni mashoga na watu hawakujali kwani shida nini kwa wengine unapotumia kiungo chako?
Sent using Jamii Forums mobile app