yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Kuna mijadala inaendelea kuhusu kocha wa Taifa Stars Emmanuel Amunike, Wengi wanasema kocha huyu hatufai wengine wanadai hana ubora wa kuifundisha Stars,
Swali ni je hiyo miaka 39 ambayo hatukushiriki Afcon hao makocha walifanya nini Mpaka tuanze kumpa lawama Amunike , ni kipi kinatufanya tushindwe kuheshimu taaluma za watu?
Nini kinatufanya tusiwe na shukrani kwa kocha huyu aliyetuongoza mpaka tukashiriki Afcon baada ya miaka 39 kupita bila kushiriki.
Nani asiyetambua uwezo wa senegal inawachezaji bora na wanaocheza ulaya, Senegal inashika nafasi ya 1 kwa mataifa ya Africa kwenye rank za Fifa inacheza na Tanzania ambayo ni ya 23 na kati ya timu 24 zinazoshiriki Afcon mwaka huu Tanzania imemzidi Burundi pekee,sasa mtu anamlaumu kocha kwa kupoteza mchezo dhidi ya senegal amesahau kuwa wapinzani wetu ni bora zaidi.
Sisi kama watanzania tunatakiwa kujua sisi ni#Underdog kwenye mashindano haya tuache lawama siziso na misingi kikubwa tushiriki kutokana na uwezo wetu tusilazimishe kufanana na wenzetu ambao walishakuwa na mikakati tangu awali na wametuzidi kwa kila kitu katika maendeleo ya mpira wa miguu..
Hapa tulipo mpaka sasa ni mafanikio baada ya kuburuzwa kwa miaka mingi michuano hii kwa sasa iwe njia ya kujipatia uzoefu na kujipanga kwa michuano ya mbeleni sio muda wa kulaumu bali ni muda wa kujipanga..
Amunike wa muda mfupi ni bora kuliko makocha bora hewa ndani ya miaka 39 iliyopita
..
HAPA TULIPOFIKA CHINI YA AMUNIKE NI MAFANIKIO YATUPASA TUWENA SHUKRANI NA SI LAWAMA SISIZOJENGA..
Imeandikwa na #Gluka_de_sports..
Swali ni je hiyo miaka 39 ambayo hatukushiriki Afcon hao makocha walifanya nini Mpaka tuanze kumpa lawama Amunike , ni kipi kinatufanya tushindwe kuheshimu taaluma za watu?
Nini kinatufanya tusiwe na shukrani kwa kocha huyu aliyetuongoza mpaka tukashiriki Afcon baada ya miaka 39 kupita bila kushiriki.
Nani asiyetambua uwezo wa senegal inawachezaji bora na wanaocheza ulaya, Senegal inashika nafasi ya 1 kwa mataifa ya Africa kwenye rank za Fifa inacheza na Tanzania ambayo ni ya 23 na kati ya timu 24 zinazoshiriki Afcon mwaka huu Tanzania imemzidi Burundi pekee,sasa mtu anamlaumu kocha kwa kupoteza mchezo dhidi ya senegal amesahau kuwa wapinzani wetu ni bora zaidi.
Sisi kama watanzania tunatakiwa kujua sisi ni#Underdog kwenye mashindano haya tuache lawama siziso na misingi kikubwa tushiriki kutokana na uwezo wetu tusilazimishe kufanana na wenzetu ambao walishakuwa na mikakati tangu awali na wametuzidi kwa kila kitu katika maendeleo ya mpira wa miguu..
Hapa tulipo mpaka sasa ni mafanikio baada ya kuburuzwa kwa miaka mingi michuano hii kwa sasa iwe njia ya kujipatia uzoefu na kujipanga kwa michuano ya mbeleni sio muda wa kulaumu bali ni muda wa kujipanga..
Amunike wa muda mfupi ni bora kuliko makocha bora hewa ndani ya miaka 39 iliyopita
..
HAPA TULIPOFIKA CHINI YA AMUNIKE NI MAFANIKIO YATUPASA TUWENA SHUKRANI NA SI LAWAMA SISIZOJENGA..
Imeandikwa na #Gluka_de_sports..