YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Wamarekani ndio hujifanya vinara wa kufundisha demokrasia na mojawapo ya haki za kibinadamu na kidemokrasia ni kuandamana kwanini Jeshi la Marekani lilizuia watu wasiandamane kwenda Ikulu alikokuwa akiapishwa Rais Biden?
Wao hutuambia kazi ya majeshi sio kuzuia waandamaji ni kuwalinda wanapoandamana.
Na huku kwetu wengine upinzani husema hayahitaji hata kibali kinachotakiwa ni kutaarifu tu polisi.
Sasa kwanini Jeshi la Marekani lilizuia watu wasiandamane kwenda Ikulu alikoapishwa Joe Biden?
Wao hutuambia kazi ya majeshi sio kuzuia waandamaji ni kuwalinda wanapoandamana.
Na huku kwetu wengine upinzani husema hayahitaji hata kibali kinachotakiwa ni kutaarifu tu polisi.
Sasa kwanini Jeshi la Marekani lilizuia watu wasiandamane kwenda Ikulu alikoapishwa Joe Biden?