Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Ufisadi uliokithiri kwenye serikali ya CCM ambayo inaongozwa na mmoja wa mafisadi waliotajwa na Dr.Slaa, huyo si mwengine ila bali ni Kikwete. Watanzania tusitegemee kabisa kuwa bei za bidhaa na vitu vingine kushuka. Kwa serikali iliyopo na inayokuja ni ya watu wachache na haijali wananchi. Ufisadi utakithiri kuliko ulivyokuwa, tujihurumieni maana manyanyaso na uonevu unarudi tena tena kwa kishindo pamoja na ufisadi. Mungu ibariki Tanzania na waangamize mafisadi hata kama ni viongozi waaaaaangamize maana ni maadui wa maendeleo ya Nchi na Mtanzania.eep: