Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Itabidi watu wajikombe sana na kulamba miguu ya wanene ili miradi yao itimie...Hilo liko wazi mkuu.
Kuna watu wanashangilia sana ila wote tutapata tabu na shida haitachagua mtu.
Watumishi wa umma mjipange, hususan walimu, askari na kada zingine ambazo hazina maslahi nje ya mshahara nawambia mjipange lijalo litawafurahisha sana.
Graduates ambao mmejiingiza kwenye siasa hamna connection yoyote aisee mjipange itafika hatua hata ugali hamtaweza kununua, mtahama mjini mrudi vijijini kwenu.
Wasanii mliounga mkono juhudi mjipange, mnaishi kwa kutegemea kuimba na show za hapa na pale, mjipange nawambia