Watanzania tufanye nini kuiondoa nchi yetu mikononi mwa madalali na wapigaji?

inchaji

JF-Expert Member
Jul 5, 2019
2,420
4,922
mpaka sasa sielewi dr. magufuli kafa kivipi? mtu aliejipambanua kutetea na kulinda mali za nchi bila kupepesa macho.

inaonekana wale wabaya wake. mimi nawaita madalali wa upigaji wanafurahia sana kutokuwepo kwake.

nchi hii ilishaibiwa sana. kongo ya felix tshisekedi inaibiwa usiku na mchana. siyo shaba, siyo dhahabu, siyo tungsten madini yote. hadi vumbi la kongo watu wanaiba.

tanzannia tuna dhahabu, tanzanite, rubi kila kitu. dr. magufuli alisimama kidete kupambana na wezi wa mali zetu sasa hayupo.

tunafanya nini kuendeleza legacy yake ya kuzilinda mali zetu? tupeane mawazo.
 
mpaka sasa sielewi dr. magufuli kafa kivipi? mtu aliejipambanua kutetea na kulinda mali za nchi bila kupepesa macho.

inaonekana wale wabaya wake. mimi nawaita madalali wa upigaji wanafurahia sana kutokuwepo kwake.

nchi hii ilishaibiwa sana. kongo ya felix tshisekedi inaibiwa usiku na mchana. siyo shaba, siyo dhahabu, siyo tungsten madini yote. hadi vumbi la kongo watu wanaiba.

tanzannia tuna dhahabu, tanzanite, rubi kila kitu. dr. magufuli alisimama kidete kupambana na wezi wa mali zetu sasa hayupo.

tunafanya nini kuendeleza legacy yake ya kuzilinda mali zetu? tupeane mawazo.
Ukitaka kuondokana na wapigaji, ungana na sisi Wazalendo na Wapenda mabadiliko ya kweli, kuhakikisha Ccm inatoka madarakani.

Kumlilia mtu aliyekufa, haitasaidia chochote! Maana hawezi kurudi tena duniani. Mafisadi na wapigaji wote wako ccm na pia wale marafiki zao Mabeberu! Na siyo nje ya hapo. 😞
 
mpaka sasa sielewi dr. magufuli kafa kivipi? mtu aliejipambanua kutetea na kulinda mali za nchi bila kupepesa macho.

inaonekana wale wabaya wake. mimi nawaita madalali wa upigaji wanafurahia sana kutokuwepo kwake.

nchi hii ilishaibiwa sana. kongo ya felix tshisekedi inaibiwa usiku na mchana. siyo shaba, siyo dhahabu, siyo tungsten madini yote. hadi vumbi la kongo watu wanaiba.

tanzannia tuna dhahabu, tanzanite, rubi kila kitu. dr. magufuli alisimama kidete kupambana na wezi wa mali zetu sasa hayupo.

tunafanya nini kuendeleza legacy yake ya kuzilinda mali zetu? tupeane mawazo.
japokua hata mbele upigaji ni kitu cha kawaida ila ni vema tu mahakama zipewe tu uhuru wa kufanya maamuzi ya kisheria na uchunguzi uwe unakamilika kwa mda anaestahili kwenda ndan aende apishe wengine wafanye,
 
mpaka sasa sielewi dr. magufuli kafa kivipi? mtu aliejipambanua kutetea na kulinda mali za nchi bila kupepesa macho.

inaonekana wale wabaya wake. mimi nawaita madalali wa upigaji wanafurahia sana kutokuwepo kwake.

nchi hii ilishaibiwa sana. kongo ya felix tshisekedi inaibiwa usiku na mchana. siyo shaba, siyo dhahabu, siyo tungsten madini yote. hadi vumbi la kongo watu wanaiba.

tanzannia tuna dhahabu, tanzanite, rubi kila kitu. dr. magufuli alisimama kidete kupambana na wezi wa mali zetu sasa hayupo.

tunafanya nini kuendeleza legacy yake ya kuzilinda mali zetu? tupeane mawazo.
Mataga Mataga nakuita tena Mataga,muda wenu ulishaisha tangu 17 March 2021.
 
japokua hata mbele upigaji ni kitu cha kawaida ila ni vema tu mahakama zipewe tu uhuru wa kufanya maamuzi ya kisheria na uchunguzi uwe unakamilika kwa mda anaestahili kwenda ndan aende apishe wengine wafanye,
Leo ndo mnautamani uhuru wa mahakama baada ya yule fashisti kufa? Si mliamini katika yeye binafsi?

Hivi mlijua jamaa ni immortal?
 
mpaka sasa sielewi dr. magufuli kafa kivipi? mtu aliejipambanua kutetea na kulinda mali za nchi bila kupepesa macho.

inaonekana wale wabaya wake. mimi nawaita madalali wa upigaji wanafurahia sana kutokuwepo kwake.

nchi hii ilishaibiwa sana. kongo ya felix tshisekedi inaibiwa usiku na mchana. siyo shaba, siyo dhahabu, siyo tungsten madini yote. hadi vumbi la kongo watu wanaiba.

tanzannia tuna dhahabu, tanzanite, rubi kila kitu. dr. magufuli alisimama kidete kupambana na wezi wa mali zetu sasa hayupo.

tunafanya nini kuendeleza legacy yake ya kuzilinda mali zetu? tupeane mawazo.
Mkuu una uhakika tukikukabidhi kitengo hutapiga na wewe😌
 
Hii nchi ikitaka iondokane na wapigaji ni kuhakikisha tu wale wote ambao wataonekana wameihujumu serikali kwa namna yoyote ile washitakiwe na hatua Kali za kisheria zichukuliwe dhidi yao bila huruma.

Ikishatokea kwa viongozi kadhaa kwenda jela kutumikia vifungo ninauhakika itachochea kupunguza kama sio kumaliza kabisa suala la upigaji. Ila linahitaji ujasiri sana kwa maana uongozi wa juu ukiamua kulivalia njuga basi watakumbana na upinzani mkubwa kutoka kwa watu ambao utakua umegusa maslahi yao kwa namna yoyote maana wengi wao hua wanauchumi wa hali ya juu sana.

Kwa utawala huu wa sasa chini ya mama sidhani kama jambo hilo litawezekana kwakweli.
 
mpaka sasa sielewi dr. magufuli kafa kivipi? mtu aliejipambanua kutetea na kulinda mali za nchi bila kupepesa macho.

inaonekana wale wabaya wake. mimi nawaita madalali wa upigaji wanafurahia sana kutokuwepo kwake.

nchi hii ilishaibiwa sana. kongo ya felix tshisekedi inaibiwa usiku na mchana. siyo shaba, siyo dhahabu, siyo tungsten madini yote. hadi vumbi la kongo watu wanaiba.

tanzannia tuna dhahabu, tanzanite, rubi kila kitu. dr. magufuli alisimama kidete kupambana na wezi wa mali zetu sasa hayupo.

tunafanya nini kuendeleza legacy yake ya kuzilinda mali zetu? tupeane mawazo.
Kifo ni wajibu kikikuita haukatai tulia Siku ukifa we we ndio utaacha maswali yako ya kizandiku kwani alizaliwa kuishi milele? Mkuu komaa kiakili basi
 
Ukitaka kuelewa kinachoendelea jaribu kusoma hii habari hapa chini kwa kina. Soma kila kitu....

The article is deep and contains a lot of facts. I mean it is a well researched article.

But it is a biased and speculative one. As on bias they writer only focused on the 'seemingly' good things that the late Magufuli did and the potential risks he faced because he angered mabeberu.

They have not written about his unearthly transgressions agains human right and democracy.

And by the way you all people know he had a history of health complications. And he did not give a damn about covid 19 even after the death of Kijazi who worked in the president's office. So could he not have died out of all that?

These speculations are just mere conspiracy theories.

R.I.P
 
Turejee mchakato wa katiba mpya ile ya Warioba. Kama jiwe angekuwa ametuachia katiba mpya inayoweza kuwadhibiti viongozi na ambayo mihimili inaweza kufanyiana 'checks and balance' usingekuwa na taharuki uliyonayo leo. Bahati mbaya bwana yule alipenda kuonekana yeye ni jiwe zaidi yeye kuliko taasisi imara.
 
mpaka sasa sielewi dr. magufuli kafa kivipi? mtu aliejipambanua kutetea na kulinda mali za nchi bila kupepesa macho.

inaonekana wale wabaya wake. mimi nawaita madalali wa upigaji wanafurahia sana kutokuwepo kwake.

nchi hii ilishaibiwa sana. kongo ya felix tshisekedi inaibiwa usiku na mchana. siyo shaba, siyo dhahabu, siyo tungsten madini yote. hadi vumbi la kongo watu wanaiba.

tanzannia tuna dhahabu, tanzanite, rubi kila kitu. dr. magufuli alisimama kidete kupambana na wezi wa mali zetu sasa hayupo.

tunafanya nini kuendeleza legacy yake ya kuzilinda mali zetu? tupeane mawazo.
Yeye sio wa kwanza wala wa mwisho katika kulinda mali za taifa hili.

Labda useme tu kwamba wewe ni mtoto wa juzi.

Sasa ngoja nikusaidie kujibu swali lako.

Kwanza ya yote, hata mimi nilipenda msimamo huo aliokuwa nao juu ya mali za taifa hili, ila hakujua njia bora za kuilinda, ndio maana sasa hivi wewe unamlilia yeye kana kwamba angekuwepo milele.

Makosa yake yanatokana na hilohilo la kujiona yeye ni kila kitu. Laiti kama angeimarisha mfumo wa kuilinda hiyo mali, pasingekuwepo na hali ya woga unayoionyesha sasa hivi.
Kwa hiyo, hilo ndilo kosa lake kubwa, la kushindwa kusuka mfumo endelevu.

Unajua? Uliwahi kusikia uwepo wa Mwalimu Julius Nyerere ndani ya nchi hii?

Hivi unavyoiona Tanzania ikinyemelewa na hao unaowaita "madalali wa upigaji" haikuanza leo. Wapigaji wamekuwa wakipigana na fikra za Mwalimu tokea aitoke Tanzania bila ya mafanikio yoyote, kwa sababu ya msingi imara (mfumo) aliouweka tokea mwanzo.

Hawa akina Magufuli unaowaona, wanatembelea humo humo hata kama wanatembea kwa mikogo batili.

Sasa sijui kama umenielewa chochote nilichoandika hapa.

Ngoja nikuache na hili: Magufuli angeimarisha CCM, pasingekuwepo na hofu hii kubwa unayoionyesha sasa mara hii baada tu ya kuondoka kwake!

Maana ya hii ni kwamba hakufanya kazi nzuri ya kulinda mali za taifa hili.
 
mpaka sasa sielewi dr. magufuli kafa kivipi? mtu aliejipambanua kutetea na kulinda mali za nchi bila kupepesa macho.

inaonekana wale wabaya wake. mimi nawaita madalali wa upigaji wanafurahia sana kutokuwepo kwake.

nchi hii ilishaibiwa sana. kongo ya felix tshisekedi inaibiwa usiku na mchana. siyo shaba, siyo dhahabu, siyo tungsten madini yote. hadi vumbi la kongo watu wanaiba.

tanzannia tuna dhahabu, tanzanite, rubi kila kitu. dr. magufuli alisimama kidete kupambana na wezi wa mali zetu sasa hayupo.

tunafanya nini kuendeleza legacy yake ya kuzilinda mali zetu? tupeane mawazo.
Unauliza kafa kivipi kwani kuna aina ya kifo wewe ulikuwa umemuandalia? Ripoti ya madaktari imeshaekeza chanzo cha kifo sasa wewe sijui unatakaje.
 
Back
Top Bottom