Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

Status
Not open for further replies.
Na ikiwa yuko salama itabidi afanye tafakari nzito kwa nini inakuwa hivi kwa watu wake ambao yeye uwaita wanyonge.
Afanye TAFAKARI kwa ajili ya akina Zito?Kwani ye hajui nani nyoka na mwema?Mimi nakuambia % kubwa watu wanamuombea mema Magufuli. Hizi kelele unazoziona hata 1/3 ya watanzania haifiki
 
Kadri tetesi zinavozidi kuenezwa na radio mbao Ni wazi kuwa huko tuendako ulinzi wa anayeitwa Rais wa nchi utaimairishwa ajabu...

Ndiyo... Juhudi kubwa zitaongezwa kuimarisha ulinzi wa huyo Rais - karibu yake, around him, katikati ya kadamnasi. Juu na angani.... Wanaoonekana na wasioonekana.... Wanaojulikana na Wasiojulikana..
Like we never experienced before...

Na hatua hiyo itathibitisha kuwa tetesi zile za radio mbao zilikuwa zaidi ya tetesi..!

#FuturePost
Unaweza ukalinda vyote huwezi Linda ugonjwa,Mungu ajawahi shindwa na Mwanadamu.Bwana asipoulinda mji wakeshao ulinda bure
 
Vyovyote itakavyokuwa lazima mama anahusika. Ni samia? Wote hatujui hebu fuatana nami kufuatilia 'senema' hii hadi mwisho. Tafadhali usihame kitini kwako na ikiwezekana usihamishe chaneli kutoka kwenye kuibiwa kompyuta hadi kwingine. Tumalizie igizo hili hadi mwisho.

Nakutakia uangalizi mwema kabisa.
Sasa kama mtu kapatwa na heart atack. Mama samia anahusikaje hapo?
 
Kadri tetesi zinavozidi kuenezwa na radio mbao Ni wazi kuwa huko tuendako ulinzi wa anayeitwa Rais wa nchi utaimairishwa ajabu...

Ndiyo... Juhudi kubwa zitaongezwa kuimarisha ulinzi wa huyo Rais - karibu yake, around him, katikati ya kadamnasi. Juu na angani.... Wanaoonekana na wasioonekana.... Wanaojulikana na Wasiojulikana..
Like we never experienced before...

Na hatua hiyo itathibitisha kuwa tetesi zile za radio mbao zilikuwa zaidi ya tetesi..!

#FuturePost
Kwani kuna watu walitaka kumdhuru au ni ugonjwa tu wa kawaida?
 
Hakuna Mafumbo humu , sio kila kitu kinaweza kuwekwa wazi Muda huo huo kinapo tokea.Jipe Muda wa kupitia Comment za Watu huku pia elewa Mada inazungumzia nini pita humo humo。
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
 
Kama vp adanji tu kaumiza sanawatu huyo mtu so vyovyote freshi,kama mzima ajifunxe kuishi na watu na aache roho mbaya sabb saiv watu walikua wanatakiwa kumuombea ila sababu ya tabia zake watu wanamuombea adanji.Au wako busy kutafuta Body Double hawashindwi!
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
 
Tobaa!!
God forbids
Kila mtu atavuna apandacho, tusilazimishane kutaka mavuno mema kwenye pando la mtu, lets be serious in harvesting time!!!

Mlipanda bange halafu mnataka mvune mahindi. Hilo haliwezani
20191020_081914.jpeg
 
It's payback time broo...tulikuwa na mshua wetu mkali kinona alikuwa anatudunda kinona kosa akifanya m1 ni kisago kwa wote mpaka bi mkubwa nae anachezea....siku alipokata kamba ilikuwa bigparty na si msiba...

Halafu muache uchuro wa kumtakia Rais wetu adanji nyie mafisi. Rais wetu ni jiwe kweli kweli. Itabidi mwezi October ufutwe Tanzania
 
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfike
You cant be serious,amekufa kweli?Hongera yake maana anaweza kuwa mtanzania wa kwanza kama si binadamu wa kwanza kuteuliwa kuwa kiongozi wa malaika
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom