Hadi unabii wa Lema ukitimiaHeri yake maana sasa atakuwa kiongozi wa malaika
Hadi unabii wa Lema ukitimiaHeri yake maana sasa atakuwa kiongozi wa malaika
Na ikiwa yuko salama itabidi afanye tafakari nzito kwa nini inakuwa hivi kwa watu wake ambao yeye uwaita wanyonge.
Afanye TAFAKARI kwa ajili ya akina Zito?Kwani ye hajui nani nyoka na mwema?Mimi nakuambia % kubwa watu wanamuombea mema Magufuli. Hizi kelele unazoziona hata 1/3 ya watanzania haifikiNa ikiwa yuko salama itabidi afanye tafakari nzito kwa nini inakuwa hivi kwa watu wake ambao yeye uwaita wanyonge.
Msigwa hajawahi kutuangusha.Dah wametuchomesha sana mahindi. Mbona breaking news haiji?
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfikeKikubwa cha kushukuru Mungu ni wa wote si wakina fulani .
HahahahaNimeamini hiki kitufe cha new posts ni balaa tupu
Unaweza ukalinda vyote huwezi Linda ugonjwa,Mungu ajawahi shindwa na Mwanadamu.Bwana asipoulinda mji wakeshao ulinda bureKadri tetesi zinavozidi kuenezwa na radio mbao Ni wazi kuwa huko tuendako ulinzi wa anayeitwa Rais wa nchi utaimairishwa ajabu...
Ndiyo... Juhudi kubwa zitaongezwa kuimarisha ulinzi wa huyo Rais - karibu yake, around him, katikati ya kadamnasi. Juu na angani.... Wanaoonekana na wasioonekana.... Wanaojulikana na Wasiojulikana..
Like we never experienced before...
Na hatua hiyo itathibitisha kuwa tetesi zile za radio mbao zilikuwa zaidi ya tetesi..!
#FuturePost
Sasa kama mtu kapatwa na heart atack. Mama samia anahusikaje hapo?Vyovyote itakavyokuwa lazima mama anahusika. Ni samia? Wote hatujui hebu fuatana nami kufuatilia 'senema' hii hadi mwisho. Tafadhali usihame kitini kwako na ikiwezekana usihamishe chaneli kutoka kwenye kuibiwa kompyuta hadi kwingine. Tumalizie igizo hili hadi mwisho.
Nakutakia uangalizi mwema kabisa.
Kwani kuna watu walitaka kumdhuru au ni ugonjwa tu wa kawaida?Kadri tetesi zinavozidi kuenezwa na radio mbao Ni wazi kuwa huko tuendako ulinzi wa anayeitwa Rais wa nchi utaimairishwa ajabu...
Ndiyo... Juhudi kubwa zitaongezwa kuimarisha ulinzi wa huyo Rais - karibu yake, around him, katikati ya kadamnasi. Juu na angani.... Wanaoonekana na wasioonekana.... Wanaojulikana na Wasiojulikana..
Like we never experienced before...
Na hatua hiyo itathibitisha kuwa tetesi zile za radio mbao zilikuwa zaidi ya tetesi..!
#FuturePost
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfikeHakuna Mafumbo humu , sio kila kitu kinaweza kuwekwa wazi Muda huo huo kinapo tokea.Jipe Muda wa kupitia Comment za Watu huku pia elewa Mada inazungumzia nini pita humo humo。
Mungu msaidie rais wetu mpendwa jpm,wabaya wote washindwe kwa neno lako,na mabaya yote wanayomwombea yasimfikeKama vp adanji tu kaumiza sanawatu huyo mtu so vyovyote freshi,kama mzima ajifunxe kuishi na watu na aache roho mbaya sabb saiv watu walikua wanatakiwa kumuombea ila sababu ya tabia zake watu wanamuombea adanji.Au wako busy kutafuta Body Double hawashindwi!
Kila mtu atavuna apandacho, tusilazimishane kutaka mavuno mema kwenye pando la mtu, lets be serious in harvesting time!!!Tobaa!!
God forbids
It's payback time broo...tulikuwa na mshua wetu mkali kinona alikuwa anatudunda kinona kosa akifanya m1 ni kisago kwa wote mpaka bi mkubwa nae anachezea....siku alipokata kamba ilikuwa bigparty na si msiba...
acha kujidanganya
nyie wa mitandaoni sio wanyonge
Mapicha picha yanaendelea
Hali ya mkulu inawezekana kweli imeteteleka maana wazir wa viwanda na yy kaibuka kuongelea swala la ubinadamu
You cant be serious,amekufa kweli?Hongera yake maana anaweza kuwa mtanzania wa kwanza kama si binadamu wa kwanza kuteuliwa kuwa kiongozi wa malaika
Kijiwe cha wapi hicho kina mashangaziii hivyo, ili niwe nahudhuria ?