yoga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 1,808
- 8,306
Kuna mambo matatu kwenye hili toka nilipo liona juzi!!
1. Nikweli mzee aliumwa sereous, na sasa anaedelea vizuri, na wengine wame exagrate tu mambo mpaka kumsema hayupo duniani
AU
2. Nikweli mzee hatukonaye duniani na inafichwa kutengeneza mazingira sahihi ya watu kuelezwa
3. Mzee yuko salama, mapumziko mafupi baada ya ziara ndefu na anawachora tu wanao sambaza hizi story
Chakufunywa:
Tusubiri muda huwa haudanganyi lolote!! Yatajulikana tu!!
1. Nikweli mzee aliumwa sereous, na sasa anaedelea vizuri, na wengine wame exagrate tu mambo mpaka kumsema hayupo duniani
AU
2. Nikweli mzee hatukonaye duniani na inafichwa kutengeneza mazingira sahihi ya watu kuelezwa
3. Mzee yuko salama, mapumziko mafupi baada ya ziara ndefu na anawachora tu wanao sambaza hizi story
Chakufunywa:
Tusubiri muda huwa haudanganyi lolote!! Yatajulikana tu!!