The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa Wageni waliokuja ndiyo wanaweza kuileta hapa .... meaning that kwa sasa haipo!? SERIOUSLY!!Tunakumbushana tu hasa katika kipindi hiki ambacho kuna mikusanyiko ya kila aina na majirani wa nchi jirani wanavuka mipaka kuja kuhani msiba huu mkubwa tulionao.
Tafadhali tuchukue tahadhari wenzetu Kenya hali ni tete.
Zaidi soma > Wataalamu wa afya wanahofia kuwa wagonjwa wengi wa Corona wanafariki wakiwa nyumbani bila kujua wanaugua